Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

16554476778113.jpg
 
Hiyo nakumbuka el adde Somalia hadi video yake ninayo wanajeshi wa Kenya walipigiwa vby mnooo na wanamgambo wa Al shabab dah hiyo video ukiiona ndio utajua Al shabab sio watu wa kawaida walianza kuvamia alfajir hadi inafika saa nne wanajeshi wote walishazibitiwa, hao jamaa kauli mbiu yao kuwa wanapenda kufa kama wengine wanavyopenda kuishi
 
Hiyo nakumbuka el adde Somalia hadi video yake ninayo wanajeshi wa Kenya walipigiwa vby mnooo na wanamgambo wa Al shabab dah hiyo video ukiiona ndio utajua Al shabab sio watu wa kawaida walianza kuvamia alfajir hadi inafika saa nne wanajeshi wote walishazibitiwa, hao jamaa kauli mbiu yao kuwa wanapenda kufa kama wengine wanavyopenda kuishi
Share video
 
Hiyo nakumbuka el adde Somalia hadi video yake ninayo wanajeshi wa Kenya walipigiwa vby mnooo na wanamgambo wa Al shabab dah hiyo video ukiiona ndio utajua Al shabab sio watu wa kawaida walianza kuvamia alfajir hadi inafika saa nne wanajeshi wote walishazibitiwa, hao jamaa kauli mbiu yao kuwa wanapenda kufa kama wengine wanavyopenda kuishi
Nalikumbuka Hilo tukia lilitokea Kati ya 2016,2017 au 2018 Kati ya miaka hio.
 
Ninavyo jua Mimi vifaa vingi Kenya wanavyonunua Ni kea ajili ya kwenda navyo Somalia, maada ya kupata changamoto nyingi kule wakawa wanauhitaji wa vifaa vya kijeshi hasa magari Aina MRAP mazingira ya kule kutokana na kutokuwepo na mti mingi Ni rahisi kutumia.
 
unataka wamkemeee nan ? hiyo ni vita baina ya raia na serikali sio uvamiz , ELEWA ASEE MNTUFANYA WATZ WOTE TUONEKANE VILAZA kwenye civil wars raia ana haki ya kuikabili serikali kama ikikataa kutimiza natakwa yao , ila hao waasi wana asili ya kitutsi basi tunalazimisha ionekane vita baina ya rwanda na drc ila hatuna ushaidi ( kituko cha waswahili kuhukumu bila ushaidi )
Watu wamekamatwa na vitambulisho vya jeshi la Rwanda bado unabisha tu!?
 
Kama ningekuwa Rais wa Tanzania basi bila kuchelewa ningeingia makubaliano na DRC hasa ya kibiashara, ikumbukwe DRC wanatumia Bandari yetu kwa kiasi kikubwa, hivyo kukosa amani maeneo hayo ni kutingisha uchumi wetu.

Ningepeleka kikosi si cha kulinda amani bali kuzichapa mazima na hao M23.

Wakati mwingine nchi huingilia nchi nyingine kwa maslahi mapana.

Rwanda hata awe vizuri vipi hawaiwezi Tanzania kwa kila kitu.

Ningeingia mazima kuwaondoa M23 afu mnakubaliana kwenye usafirishaji wa madini na bidhaa muhimu zipitie TZ
Wewe huna akili ndio maana huwezi kuwa rais wa Tanzania, kwanza kwa maelezo yako inaonesha hawajui M23 chanzo chao na malengo yao ya kupigana ni nini, yani unachangia mada kwa mihemko kama vile inajadiri mambo ya simba na yanga. Mgogoro wa Congo hauwezi kumalizwa kwa vita, ni sawa na Israel na nguvu zake zote haiwezi kuimaliza Hamas kwakuwa wanajua wanchokipigania, hata wapiganaji wakifa wote kizazi kinachofuata kitaendeleza mapambano, serikali ya kongo inapaswa kuwatambua Watutsi waliopo kongo vinginevyo vita haitakuja kuisha.
 
Kenya wana silaha nyingi za kisasa na training kali kuliko inavyodhaniwa na wabongo. Na hivi karibuni wamefanya mission ya kisasa kuliko JWTZ. Ukitazama hata maonesho yao ya mwezi huu unaona silaha mpya na relatively modern kuliko sisi.

Wana artillery, APC, tanks, MRAP na helicopters za kisasa na nyingi kuliko sisi
JWTZ wana silaha nyingi kubwa na za kisasa lkn nidhamu ya jeshi letu ni pamoja na kuficha silaha muhimu kwa maslahi ya nchi. Naamini Kenya wana vifaa vingi na vya kisasa lkn hawatofautiani sana na Jeshi la Tz, kinachowatofautisha ni nidhamu na mafunzo. Upande huo wa nidhamu na mafunzo Jeshi ka Kenya ni dhaifu mno mno mno.
 
Wewe na nani. Unajuaje kwamba sijui silaha zilizopo Tanzania? Silaha sio maparachichi kwamba utayaficha kwenye gunia. Russia, Ukraine, Syria, China, US wajulikane wana silaha gani wewe hapa nchi inayojengewa vyoo na IMF usijulikane?
Basi taja silaha za Tz kama unazifahamu. Huo ni utaratibu wa Jwtz.
 
JWTZ wana silaha nyingi kubwa na za kisasa lkn nidhamu ya jeshi letu ni pamoja na kuficha silaha muhimu kwa maslahi ya nchi. Naamini Kenya wana vifaa vingi na vya kisasa lkn hawatofautiani sana na Jeshi la Tz, kinachowatofautisha ni nidhamu na mafunzo. Upande huo wa nidhamu na mafunzo Jeshi ka Kenya ni dhaifu mno mno mno.
Unaijua inventory ya main battle tanks za Tanzania. Humo kuna T-55 nyingi, Chinese VT2.
Kuna reconnaissance vehicles kama Scorpion, IFV fulani Chinese ambazo ni amphibious na silaha nyingine. Sikumbuki kama kuna MRAPS, hakuna attack helicopters.

Silaha hazifichwi, unaficha ambacho huna? Kwanza kwa bajeti gani ya kununua hizo silaha. Kenya sio dhaifu kwenye training, kuna tofauti kubwa sana ya shambulizi la Al Shabaab pale Westgate na wanajeshi kufeli, dhidi ya shambulizi la Hamza mwenye minyamauzembe, hajui kukimbia wala hajawahi pata mafunzo ila askari walizungushana nae sana wakati alipita hata mtaani akapuuza waliokuwa kwenye dala dala na wasiomhusu. Yule angekuwa ni gaidi trained pale angeua mpaka ambapo angejichokea.

Kenya wako Somalia wana mission imeendelea miaka sasa, wana silaha kila muda wanaongeza kurahisisha mission, wana trainers wa Marekani na Uingereza palepale ndani ya Kenya wana kambi yao. Hao hao British and US forces ndio waliifundisha Ukraine. Kigezo gani unatumia kusema hawana training.

Alafu nani kakwambia jeshi la Kenya halina nidhamu? Unadhani Kenya huwa kuna upuuzi wa wanajeshi kupita lane isiyo upande wao, kupiga makonda na madereva na kutishia raia. Nidhamu unaipimaje kusema Kenya hawana
 
MRAP za Kenya gani wewe zinakutisha Kaka zipi hizo au hivi zilizoenda huko Somalia
View attachment 2263581
Unajua kazi ya MRAP? Kazi yake ni kulinda maisha ya wanajeshi walio ndani, sio kutoharibika. Hizo zimetengenezwa zikiharibika maisha ya wanajeshi ndani yabaki salama. Hapo unapoona imelipuka na moto uliowaka baadae ndio uliiteketeza. Utambue kazi ya silaha kwanza kabla ya kulalamika, kwahiyo hapo kama wanajeshi wamesalimika basi imefanya kazi yake 100%
 
Ndugu Vita sio vifaa vya kisasa Sasa sijajua huyu jamaa T14 Armata anaogopa Nini kulalamika kuhusu Tanzania na vifaa vya kijeshi tulivyonavyo mkuu. Vifaa vya kijeshi vya kisasa vinamsaada ila sio Sana.
Yaliyotokea Ukraine sio POA Kaka urusi na vifaa vyao vya kisasa vyote ila Moto wameona kule urusi wamepoteza battle tanks nyingi Sana , helicopter nyingi, Hizo PCV na ndege nyingi tuu,
Japo wanaendelea na kuadvance ila Hali sio POA.
Kama vita sio silaha beba bastola kapigane dhidi ya adui wenye rifles, machine guns, mortars, MLRS, etc na mtashinda.

Hakuna justification ya kutonunua silaha. Sasa zilizopo ni za nini si tuachane nazo kabisa tuwe kama Vatican
 
Kama vita sio silaha beba bastola kapigane dhidi ya adui wenye rifles, machine guns, mortars, MLRS, etc na mtashinda.

Hakuna justification ya kutonunua silaha. Sasa zilizopo ni za nini si tuachane nazo kabisa tuwe kama Vatican
Soma vizuri elewa ndugu,
Kwani bastola sio siraha?
 
Hivi vifaa vya MRAP, jeshi kuwanavyo inategemeana na uongozi wa jeshi wenyewe, kama wao wanaona nilazima kuwa navyo,
Sidhani Kama serikali za Uganda, rwanda, Tanzania na Burundi hawana uwezo wa kununua , uwezo wanao, ila inategemea na mahitaji ya jeshi na uongozi wanavyoona
 
halafu watz mnachekelea tu, hamjui kuwa nanyi ni majirani wa rwanda kwa upande mwingine. siku karagwe itachukuliwa mtalia kilio cha mbwa mwitu, yuko wapi mtikila?
 
Mkuu Ndio maana unaona machafuko hayaishi
Wanachonganishwa na France yuko nyuma mali zinaenda Paris Mkuu

Siku wakijielewa wataungana na kuzuia mali zao ili ziwafaidishe na wao
Dunia hii
Magogo yanamalizwa kwenda Ulaya na sasa China
Angalia YouTube wanavyosomba mali

Hawa France hawajui mwisho wao wamejimilikisha tangu 1800 nchi nyingi na mpaka leo wanavuna taratibu

Hawawezi kuifanya Congo tajiri kwa sababu ya ujinga wao na kukubali kuchonganishwa
Drc haijawahi kuwa koloni la France, isipokuwa Rwanda (France ilikuwa na ushawishi hapo) ambayo kwa Sasa imejiunga na Anglophone (common wealth) na kujiondoa Francophone.

Sasa Ufaransa inahusikaje na mzozo wa Drc ?
mtu chake zitto junior Count Capone Moronight walker
 
Back
Top Bottom