Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.

View attachment 3172882

Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.

View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Wewe siyo tu Jerusalem bali hata hiyo Kaaba yenu ya Mecca
 
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.

View attachment 3172882

Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.

View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Israel inafahamu hivyo kuwa Waislamu lengo lao ni kuchukuwa nchi ya Israel na Yerusalemu. Lakini haitawezejana. Vita vya dunia vitapiganiwa hapo lakini hawataweza kumtoa tena Muisraeli. Mungu ndiye aliwatoa na akawaambia atawarejesha siku za mwisho na hakuna mtu atakayewatoa tena!
 
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.

View attachment 3172882

Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.

View attachment 3172884


Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.

Tuendelee kuombea amani
Sawa, tumewasikia,,, tusuburi matokeo, atakayelia au kucheka.
 
Mnakuza mambo ambayo hayapo. Mara Israel imewasaidia mara wataiteka yerusalem.
Yaani ukiwafatilia unaishia kucheka tu. Mara ndiyo watakaomtoa netapaka na serikali yake. Kituko tupu. Natapaka atatokewa na wayahudi wenyewe tu.
 
Back
Top Bottom