Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
TehtehMbona nssikia Hezbollah kkamsambaratisha Mzauuni hadi Mzayuni kaomba kusitishwa kwa vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TehtehMbona nssikia Hezbollah kkamsambaratisha Mzauuni hadi Mzayuni kaomba kusitishwa kwa vita
Kiongozi wao ana akili kidogo, at least kawaambia wafix issue zao za nyumbani wakati Netanyahu ana wadaiWaaambieni sumu hailambwi
Wewe siyo tu Jerusalem bali hata hiyo Kaaba yenu ya MeccaWaasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Israel inafahamu hivyo kuwa Waislamu lengo lao ni kuchukuwa nchi ya Israel na Yerusalemu. Lakini haitawezejana. Vita vya dunia vitapiganiwa hapo lakini hawataweza kumtoa tena Muisraeli. Mungu ndiye aliwatoa na akawaambia atawarejesha siku za mwisho na hakuna mtu atakayewatoa tena!Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Sawa, tumewasikia,,, tusuburi matokeo, atakayelia au kucheka.Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Na myahudi naye huwa akisema anatekelezaga sasa hapo ngoma inogileTatizo hao jamaa wakisema huwa wanatekeleza. Siyo jamaa zetu ambao wanatumia ahadi hewa kusalia madarakani
Modern warfare wingi wa watu ni upuusi!Subirini muone kolabo zitazopigwa hapo,watatoka hadi iraq,mtu 2m upambane nao
Yaani ukiwafatilia unaishia kucheka tu. Mara ndiyo watakaomtoa netapaka na serikali yake. Kituko tupu. Natapaka atatokewa na wayahudi wenyewe tu.Mnakuza mambo ambayo hayapo. Mara Israel imewasaidia mara wataiteka yerusalem.
Hajakuelewa vizuri mkuuModern warfare wingi wa watu ni upuusi!
One click inasambaratisha watu bilioni moja kwa sekunde.
Wapi one click ilisambaratisha watu bilioni?Modern warfare wingi wa watu ni upuusi!
One click inasambaratisha watu bilioni moja kwa sekunde.
Onjeni muone yahudi alivyo katili!Wapi one click ilisambaratisha watu bilioni?