Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erdogan ni mnafiki ....😂😂😂Iran wameanza kumuita Erdoğan kuwa ni Kafiri.😆🤣😂
Waturuki wana IQ kubwa ndio maana Nchi yao ni Secular.Erdogan ni mnafiki ....😂😂😂
Wajinga wajinga kwa kujifariji oh mara Iran itapiga Israeli mara waasi wakike kabisa wakapambane na koo za mfalme daudi never ever can't happenWaasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Mara ya kwanza waasi walipochukua nchi nikasoma mahali kuwa White House is monitoring the situation. Leo nomeona tena Kremlin is watching the situation. Kwa wakubwa hawa kujipa muda na kuangalia situation, ni dhahiri hili anguko la utawala wa Assad limeambatana na vigugumizi vya wadau wa eneo hilo, na imebidi wajipe muda kutoa msimamoHii vita ina mchanyato mwingi sana
Una maana gani?Hapo ni sawa na kujichosha tu.
Naleta data haf wewe unaleta kaswida,..you can't handle this battleData ndugu wkt uko Israe walijua watafekwa kwa wingi wakawai kupitosha Sheria ya kuzuia Habari zao zisitoke. Tofaut na upande w pili watu wapo huru kupost chochote. MAKOMANDO MBONA AWENGI WAMEKUFA ukiacha IDF wakawaida amba ndio usiseme utaona tu vilio vyao IDF.msimu wamezika IDF wengi acha Ubishi
A kuonesha Israel hajahusika na ni adui yao wenye akili tushafika mbele yao wapuuz waache wajenge nchi kwa miaka 30 then muisrael aje azibomoe tena mpk waache unafiki kami quran inavyoahidiTatizo hao jamaa wakisema huwa wanatekeleza. Siyo jamaa zetu ambao wanatumia ahadi hewa kusalia madarakani
Technically Erdogan kamshinda Putin.Iran wameanza kumuita Erdoğan kuwa ni Kafiri.😆🤣😂
Kabisa,Iran nao wanalia kwamba ile Axis of Resistance yaani Iran Hezbola Houthi imeuwawa na Erdoğan 😁😆Technically Erdogan kamshinda Putin.
Hivi ww una akili timamu kweli kwmb urusi haon umuhmu wowote wa syria kwasasa hujui marekan inataka peleka gas ulaya ili ulaya waachane na gas ya urusi na njia ya bomba hlo ni syria tu ktu ambacho kilimfanya urusi kuingia hapo sa we mnywa kahawa hapo masjid unapga soga eti syria n useless sjui kama una akili timamu wwIran ana focus kwenye front ya Lebanon na Houthi, Russia ana focus Ukraine so interest zao Syria zimeisha ndio maana waasi walitumia wiki 2 tu kuchukua nchi bila upinzani mkubwa.
Ila hao Russia na Iran wangetumia airforce si wangemalizwa tu kama miaka yote!! Assad wa useless to them
Hawana mshauri?Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani
Huwezi kutumia CNN halafu ukasema unakwenda kuiteka Jerusalemu. Labda kama Wana kwenda kuteka East Jerusalemu hapo nitawaelewa....na kitendo cha Hamas kumshangilia kuanguka kwa Assad kumeongeza uvumi wa Hamas kuwa ulikuwa mpango West Jerusalem!!!Tatizo hao jamaa wakisema huwa wanatekeleza. Siyo jamaa zetu ambao wanatumia ahadi hewa kusalia madarakani
Mwenyewe Israel anajipigia tu muda huuWaasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani