Wababe wote wa dunia wameitenga Palestina

Wababe wote wa dunia wameitenga Palestina

Geneous99

Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16
Reaction score
24
Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.

Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
 
Na hapo ndipo Mwenyezi Mwingi wa Rehema atakapoleta Nusura yake (Insha Allah) ili dunia ijue kuwa yeye ndiye mmiliki wa hii dunia.

Hawa wakubwa wamesahau juzi tu walikuwa kwenye kimuhemuhe cha COVID wakachachawa, wakapagawa?.

Mungu hufanya kazi katika mysterious ways!

Hapo ndipo mnapokwama.

Hiyo Corona ni ugonjwa wa kutengeneza.

Haohao wayahudi walivurumushwa eneo hilohilo kipindi cha Dola la Rumi.
Misri ya zamani ilikuwa mali ya Watu weusi, nenda leo ukaone nini kimetokea.

Marekani ilikuwa ni mali ya Wahindi Wekundu, nenda sasa hivi kaangalie nini kimetokea.

Kumtegemea mungu kwa kujifariji kwa kauli tuu haina maana yoyote ile.

Kabla ya mwaka 1948 Wapalestina walikuwa wanaimiliki hiyo nchi kwa asilimia 100% lakini baada ya hapo mpaka leo wamenyang'anywa na wanamiliki sio zaidi ya 30% zilizobaki zote wamechukua hao Wayahudi bila kujali mataifa mengine watasema nini.
 
Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.

Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
Wanaogopa kitu kama hicho kutokea kwenye nchi zao. Ikitokea watakua kwenye hali mbaya sana. Nafasi zao, maisha yao nk

Unahitaji watu mia moja au chini tu kuleta mpasuko mkubwa kwenye taifa lolote. Hasa wakiamua kujitoa muhanga na kuchukua mateka kuvamia vituo vya polisi na jeshi kupora silaha, magari ya kivita, kujilimbikizia silaha taratibu hadi siku ya tukio. Tena wakiwa ndqni ya nchi vigumu kuwathibiti wakichukua mateka Mawaziri, wakuu wa mikoa nk
 
Hapo ndipo mnapokwama.

Hiyo Corona ni ugonjwa wa kutengeneza.

Haohao wayahudi walivurumushwa eneo hilohilo kipindi cha Dola la Rumi.
Misri ya zamani ilikuwa mali ya Watu weusi, nenda leo ukaone nini kimetokea.

Marekani ilikuwa ni mali ya Wahindi Wekundu, nenda sasa hivi kaangalie nini kimetokea.

Kumtegemea mungu kwa kujifariji kwa kauli tuu haina maana yoyote ile.

Kabla ya mwaka 1948 Wapalestina walikuwa wanaimiliki hiyo nchi kwa asilimia 100% lakini baada ya hapo mpaka leo wamenyang'anywa na wanamiliki sio zaidi ya 30% zilizobaki zote wamechukua hao Wayahudi bila kujali mataifa mengine watasema nini.

Mungu hufanya kazi kupitia wanadamu

Vita, Maradhi, Neema, Usitawi unaweza kufanywa na mikono ya wanadamu lakini kwa influence ya Mungu behind the scene.

Usiniulize hekima ya evil duniani ni nini, siijui ila Njia za Mungu hazichunguziki.

Hata hao Wayahudi wamekula kibano kuliko mtu yeyote duniani kwa miaka mingi sana.
 
Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.

Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
Israel haina makosa mwenye makosa ni palestina na hamas yao hivyo wakifutwa kwenye uso wa dunia ni sawa tu
 
Mungu hufanya kazi kupitia wanadamu

Vita, Maradhi, Neema, Usitawi unaweza kufanywa na mikono ya wanadamu lakini kwa influence ya Mungu behind the scene.

Usiniulize hekima ya evil duniani ni nini, siijui ila Njia za Mungu hazichunguziki.

Hata hao Wayahudi wamekula kibano kuliko mtu yeyote duniani kwa miaka mingi sana.

Ndio hivyo.
Kwa hiyo wanachotakiwa kufanya Wapelestina ni kupambana, na ndugu zao hao wapalestina wanatakiwa wamsaidie na sio kusema mungu atawasaidia,

Ni sawa na ndugu yako anaumwa hana pesa ya hospitali na dawa unashindwa kumsaidia iwe kwa uwezo huna au hauna alafu useme mungu atamsaidia, haina maana yoyote. Na wengi wamekufa
 
Na hapo ndipo Mwenyezi Mwingi wa Rehema atakapoleta Nusura yake (Insha Allah) ili dunia ijue kuwa yeye ndiye mmiliki wa hii dunia.

Hawa wakubwa wamesahau juzi tu walikuwa kwenye kimuhemuhe cha COVID wakachachawa, wakapagawa?.

Mungu hufanya kazi katika mysterious ways!
so unaamini itakuja nusura hivi karibuni?
 
Twende kazi
Muda utaongea
Jeshi la Hamas wanasema wako vijana 50,000. Wanahifadhi silaha shuleni, hospitalini nyumba za wazee, univervities, vyuo. Itakuwa kazi kubwa na umwagaji mkubwa wa damu.

Ila wana mahandaki yanapita chini ya ardhi hadi Misri kama Mahandaki ya Mexico- USA. Wote watasepa Egypt watakaouawa ni wananchi wa kawaida.
 
so unaamini itakuja nusura hivi karibuni?
Naam naamini hivyo.

Hawa Wayahudi miaka yote "wanalelewa" na Superopwers wa wakati huo, lakini baadae anatokea superpower mwingine anawapa kibano kikali. Naona sasa hivi wamo katika zama za "kulelewa" na Superpower wa sasa.

Walipewa Kibano na Ufalme wa Babylon
Wakaja kulelewa na Ufalme wa Kiajemi

Walikula kibano chini ya Ufalme wa Kirumi
Wakaja kulelewa na Dola za Kiislamu (Ottoman Empire)

Walikula kibano wakati wa Utawala wa Hitler
Sasa wanalelewa na Utawala wa USA

Sasa wasipobadilika na kuacha uovu wao, wasishangae kibano kingine kinakuja!
 
Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.

Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
Wakati wa Mungu wa Israeli kujitwalia utukufu wake.
 
Hapo ndipo mnapokwama.

Hiyo Corona ni ugonjwa wa kutengeneza.

Haohao wayahudi walivurumushwa eneo hilohilo kipindi cha Dola la Rumi.
Misri ya zamani ilikuwa mali ya Watu weusi, nenda leo ukaone nini kimetokea.

Marekani ilikuwa ni mali ya Wahindi Wekundu, nenda sasa hivi kaangalie nini kimetokea.

Kumtegemea mungu kwa kujifariji kwa kauli tuu haina maana yoyote ile.

Kabla ya mwaka 1948 Wapalestina walikuwa wanaimiliki hiyo nchi kwa asilimia 100% lakini baada ya hapo mpaka leo wamenyang'anywa na wanamiliki sio zaidi ya 30% zilizobaki zote wamechukua hao Wayahudi bila kujali mataifa mengine watasema nini.
Kwa mfano sisi tunamgogoro wa ardhi na Malawi
Hapo ndipo mnapokwama.

Hiyo Corona ni ugonjwa wa kutengeneza.

Haohao wayahudi walivurumushwa eneo hilohilo kipindi cha Dola la Rumi.
Misri ya zamani ilikuwa mali ya Watu weusi, nenda leo ukaone nini kimetokea.

Marekani ilikuwa ni mali ya Wahindi Wekundu, nenda sasa hivi kaangalie nini kimetokea.

Kumtegemea mungu kwa kujifariji kwa kauli tuu haina maana yoyote ile.

Kabla ya mwaka 1948 Wapalestina walikuwa wanaimiliki hiyo nchi kwa asilimia 100% lakini baada ya hapo mpaka leo wamenyang'anywa na wanamiliki sio zaidi ya 30% zilizobaki zote wamechukua hao Wayahudi bila kujali mataifa mengine watasema nini.
Mfano kuntu sisi TZ tuko na mgogoro wa ardhi na Malawi tunagombea ziwa Nyasa aka lake Malawi ,Kuna kipindi jeshi la Malawi lilifanya uhuni wa kukamata wavuvi wetu na kufanya mazoez ya kijeshi pande ambozo sisi tunasema ni kwetu na wao wanadai ni zao Kuna ujumbe ulitumwa kwao nadhan waliangalia possibility Yao kushinda endapo vita ndio ingekua suluhu wakaamua tu kukaa kitalaamu na bro wao
 
Back
Top Bottom