Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ila mwanadamu ni mbinafsi siku zote, baada ya bomu kudondoshwa na majengo kuharibika, kwenye video wapo wapalestina wengien unawaona kabisa hawatafuti miili ya kuokoa, wanatafuta maokoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
❗️President Putin said Russia is prepared to mediate in the Israeli-Palestinian settlement.Russi, mwenyewe anasema Israel yuko sahihi kujilinda , japo ameiweka kimkakati kwa kusema wasizidishe dozi na kuua raia wasio na hatia
Tunasubiri kuona infantry ya Israel ikiingia Gaza !Kipindi Palestine inavamia raia wa Israel na kuawauwa na wengine kuchukuliwa mateka kupelekwa Gaza mlikata viuno na kushangilia.
Sasa hivi wanapelekewa moto mnajifanya kuwaonea huruma sana.
Mpalestina aliyatafuta mwenyewe, mimi siwezi kumuonea huruma. Acha apigwe ili siku nyingine awe na heshima.
Waislamu huwa wakanza kuua watu ovyo na kuunda makundi ya kigaidi.
Shida ya waislamu wanapenda ugomvi na kuua watu ovyo na kujiona wao ndiyo wanahaki kuliko wengine
- Boko haramu/ Islamic state, Al Shabab n.k wanaua watu ovyo lkn hakuna waislamu waliondamana kuhusu haya makundi
- Libya 99% ni waislamu lkn walichinjana km kuku
- Sudan ni waislamu 89% lkn sasa hivi wanagombea madaraka
- Angalia Pakistan, ni vurugu tupu
- Iran, binti hajafunika kichwa wamemuua.
- Somalia mpaka wamegawana nchi na wote 99% ni waislamu.
Ndivyo ilivyo kufa kufaana !ila mwanadamu ni mbinafsi siku zote, baada ya bomu kudondoshwa na majengo kuharibika, kwenye video wapo wapalestina wengien unawaona kabisa hawatafuti miili ya kuokoa, wanatafuta maokoto.
Hapo ndipo mnapokwama.
Hiyo Corona ni ugonjwa wa kutengeneza.
Haohao wayahudi walivurumushwa eneo hilohilo kipindi cha Dola la Rumi.
Misri ya zamani ilikuwa mali ya Watu weusi, nenda leo ukaone nini kimetokea.
Marekani ilikuwa ni mali ya Wahindi Wekundu, nenda sasa hivi kaangalie nini kimetokea.
Kumtegemea mungu kwa kujifariji kwa kauli tuu haina maana yoyote ile.
Kabla ya mwaka 1948 Wapalestina walikuwa wanaimiliki hiyo nchi kwa asilimia 100% lakini baada ya hapo mpaka leo wamenyang'anywa na wanamiliki sio zaidi ya 30% zilizobaki zote wamechukua hao Wayahudi bila kujali mataifa mengine watasema nini.
Uongo huu.
Wale ni watoto wa baba mmoja !! Ukiwaona huwezi kuwatofautisha kwa rangi zao ! Rangi yao ni moja !!Tuanzie Hapo 1948,
Je kabla ya 1948 Nchi ilikuwa inaitwa Palestine,Ok,
1.Waisrael walikuwa wanaishi wapi?
Humo humo?
2.Inasemekana Wapalestina ni Waarabu na Waisrael sio waarabu!
kwahiyo walikuwa wanaishi Nchi moja rangi mbili Tofauti?
Mfano hapa Tz,Wahindi na Wasomali wamehamia kutoka India na Somali,Je Vipi kuhusu huko Israel?
3.Je zilikiwa Nchi mbili tofauti? Au walikuwa Nchi moja lakini Rangi tofauti wanaishi
Maoni yangu!
woote asili yao ni hapo hapo!
Ila Ufumbuzi wanatakiwa Kila Mtu Awe na Nchi yake.
Je Unajua asili yao wote?
Hamas walitafuta Sifa za Kijinga eti wamewaUa Waisraeli bila kikwazo. Leo hii ngoja wachakazwe. Ingawa naonaga hao Watu Maisha kwao si kitu, hawajali Uhai wao Kabisa.yeyote mwenye akili hawezi kukubaliana na mauaji ya wayahudi ya juzi. ataiunga mkono israel tu.
na hawahawa wapalestina walikaribishwa lebanon ambayo ilikuwa ya kikristo, walivyokula na kushiba wakageuka wakachinja walebanon wakaibadilisha nalebanon kuwa ya kiislam, hawana shukran, fujo na vita ndio chakula yao. waacheni wapate wanachostahili. hakuna mwema hapo.Hamas walitafuta Sifa za Kijinga eti wamewaUa Waisraeli bila kikwazo. Leo hii ngoja wachakazwe. Ingawa naonaga hao Watu Maisha kwao si kitu, hawajali Uhai wao Kabisa.
Una tatizo kubwa kwenye akili Yako! Angalia usiharibu wanao!Israel haina makosa mwenye makosa ni palestina na hamas yao hivyo wakifutwa kwenye uso wa dunia ni sawa tu
Huyo mungu wa kuleta nusura kwa magaidi?atakuwa mungu dhalimu Sana🤔Na hapo ndipo Mwenyezi Mwingi wa Rehema atakapoleta Nusura yake (Insha Allah) ili dunia ijue kuwa yeye ndiye mmiliki wa hii dunia.
Hawa wakubwa wamesahau juzi tu walikuwa kwenye kimuhemuhe cha COVID wakachachawa, wakapagawa?.
Mungu hufanya kazi katika mysterious ways!
Tatizo lenu mnataka kila mtu awe active kwenye uwanja wa vita. Hilo halitawezekana. Nikupe mfano tu kwanini Misri haifungui mpaka wake na Palestina. Ni kwamba wakifungua mpaka wapalestina wataikimbia Gaza hivyo israel wanaweza kutanua makazi kirahisi. Kutofungua mpaka kutailazimisha Israel isitishe lashambulizi maana itahofia kudhuru watu wengi zaidi. Vita ni pamoja na kutumia akili pia sio kurusha mabomu na risasiKwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.
Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
Ukiondoa mambo ya udini kuna vitu nakubalia a nawe hasa kuhusu vita ya ardhini. Hapo kweli ni nusu kwa nusu hakuna mbabe mwenye uhakika wa kushinda inapokuja suala la vita ya ardhini.Una tatizo kubwa kwenye akili Yako! Angalia usiharibu wanao!
Wewe uko tayari kufutwa duniani?
Wewe uko tayari bongo yako ikaliwe kijeshi na jamii ingine?
Usichokijua jews na wazungu sio wakristo ni wapagani kama unawaza kwa chuki za kidini! Ulaya na marekani makanisa yamebaki kuwa ni nyumba za makumbusho na kumbi za kufanyia makongamano na sherehe za kijamii.
Waarabu wanasuburi jews waende vita ya ardhini Gaza utakachokiona hutaamini! Waarabu ni hatari Sana! Sio kinyonge kama media zinavyoonesha, kuna Hamas system of underground tunnels Gaza silaha nyingi ziko chini ya ardhi!
kwa hiyo COVID ililetwa na Mungu?.Hawa wakubwa wamesahau juzi tu walikuwa kwenye kimuhemuhe cha COVID wakachachawa, wakapagawa?.
Mungu hufanya kazi katika mysterious ways!
Bado Palestina ina baadhi ya nchi za kiarabu zinazoisupport.Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China, Marekani, Urusi, Uingereza na India.
Wote hao wametoa kauli za kuwa na huruma Sana Israel kwa kile kilichofanywa na Hamasi kuliko vile Israel unavyofanya kwa Hamas, je huu ndo mwisho wa Hamas na Palestina kwa ujumla?
Bila ga shaka ushindi upo karibuNa hapo ndipo Mwenyezi Mwingi wa Rehema atakapoleta Nusura yake (Insha Allah) ili dunia ijue kuwa yeye ndiye mmiliki wa hii dunia.
Hawa wakubwa wamesahau juzi tu walikuwa kwenye kimuhemuhe cha COVID wakachachawa, wakapagawa?.
Mungu hufanya kazi katika mysterious ways!
Naam[emoji1488]Mungu hufanya kazi kupitia wanadamu
Vita, Maradhi, Neema, Usitawi unaweza kufanywa na mikono ya wanadamu lakini kwa influence ya Mungu behind the scene.
Usiniulize hekima ya evil duniani ni nini, siijui ila Njia za Mungu hazichunguziki.
Hata hao Wayahudi wamekula kibano kuliko mtu yeyote duniani kwa miaka mingi sana.