Wabana matumizi plus, tunga bajeti yako hapa kwa vipato hivi ukiwa kama mwanafunzi chuoni

Wabana matumizi plus, tunga bajeti yako hapa kwa vipato hivi ukiwa kama mwanafunzi chuoni

Ninassume hakuna stationary na maji yapo available chuo no way chuo kikakosa maji
Asubuhi napiga dash.
Mchana wali kuku au pilau kuku 3,000.
Usiku chips kavu au na mshikajki mmoja 2,000.

Jumla 5,000 kwa siku

Kwa mwezi 150,000

Inabakia 50,000.
Hapo ni nauli na matumizi madogo madogo kama kununua ndizi 200,kipande cha tikiti 200 au chungwa 200.
 
Ninassume hakuna stationary na maji yapo available chuo no way chuo kikakosa maji
Asubuhi napiga dash.
Mchana wali kuku au pilau kuku 3,000.
Usiku chips kavu au na mshikajki mmoja 2,000.

Jumla 5,000 kwa siku

Kwa mwezi 150,000

Inabakia 50,000.
Hapo ni nauli na matumizi madogo madogo kama kununua ndizi 200,kipande cha tikiti 200 au chungwa 200.
Umetisha!!
 
Ujinga wa kubana matumizi ulifanya ufaulu wangu chuoni ukawa chini.​
Ilifika kipindi unachonga na wapishi wa caftelia unaandaliwa special menu yani ukoko.​
Mbaya zaidi nikawa najibana kumsaidia demu wangu ili baadae nije nimuoe.​
Baada ya kumaliza chuo demu akanipiga chini.​
Nilijikondea kama nimefanyiwa operation ya utumbo.​
We kula tu usihangaike kujibana ikiisha omba nyumbani wakutumie maana bado ni mwanafunzi.​
Daaa mzee babaaa usirudie tena hayo masihara ya kusomesha mtoto wa mwenzio!!!!


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
100000/-
Nanunua dagaa kilo 2..10000/-
Maharage 2kgs....5000/-
Sembe 5kg...5000/-
Mchele 3kgs...4500/-
Mafuta kupikia 1ltr...3000/-
Ngano 1kg...1300/-
Sukari 1kg 2600/-
Total 31,100/--

Mengineyo..
Pamba ya kike 2000/-
Parachute ndogo 3000/-
Total 5000/-
Jumla kuu 36,100/-
Nishati mbona hujaweka au hivyo vyakula vyajipika vyenywe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa utachemsha maharage saa ngapi na wewe mwanafunzi?
Halafu kama msomi kwa nini utumie mkaa?mkaa unahamasisha uharibifu wa mazingira.
Hhahahaahaahha
Hiyo mazingira kwio ...hii ni huko maporini upatikanaji wa mkaa ni easy. . .alafu mie maharage huwa sitapendi kbs hapa unapika coz Huli alone..maharage huwez pikia gesi...mie napenda ugali dagaa na mchicha..daily naweza piga hii kitu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa utachemsha maharage saa ngapi na wewe mwanafunzi?
Halafu kama msomi kwa nini utumie mkaa?mkaa unahamasisha uharibifu wa mazingira.
Hhahahaahaahha
Hiyo mazingira kwio ...hii ni huko maporini upatikanaji wa mkaa ni easy. . .alafu mie maharage huwa sitapendi kbs hapa unapika coz Huli alone..maharage huwez pikia gesi...mie napenda ugali dagaa na mchicha..daily naweza piga hii kitu
 
Ninassume hakuna stationary na maji yapo available chuo no way chuo kikakosa maji
Asubuhi napiga dash.
Mchana wali kuku au pilau kuku 3,000.
Usiku chips kavu au na mshikajki mmoja 2,000.

Jumla 5,000 kwa siku

Kwa mwezi 150,000

Inabakia 50,000.
Hapo ni nauli na matumizi madogo madogo kama kununua ndizi 200,kipande cha tikiti 200 au chungwa 200.
Duh...lavish life!..mjini msihame tu kwa menu hizi😀...unakumbuka had tunda🤸🤸
 
  • Thanks
Reactions: amu
100000/-
Nanunua dagaa kilo 2..10000/-
Maharage 2kgs....5000/-
Sembe 5kg...5000/-
Mchele 3kgs...4500/-
Mafuta kupikia 1ltr...3000/-
Ngano 1kg...1300/-
Sukari 1kg 2600/-
Total 31,100/--

Mengineyo..
Pamba ya kike 2000/-
Parachute ndogo 3000/-
Total 5000/-
Jumla kuu 36,100/-
Sukari 1kg mwezi mzima? Mchele wa 1500 unapatikana wapi?
 
Ninassume hakuna stationary na maji yapo available chuo no way chuo kikakosa maji
Asubuhi napiga dash.
Mchana wali kuku au pilau kuku 3,000.
Usiku chips kavu au na mshikajki mmoja 2,000.

Jumla 5,000 kwa siku

Kwa mwezi 150,000

Inabakia 50,000.
Hapo ni nauli na matumizi madogo madogo kama kununua ndizi 200,kipande cha tikiti 200 au chungwa 200.
Duh...lavish life!..mjini msihame tu kwa menu hizi😀...unakumbuka had tunda🤸🤸
 
Sukari 1kg mwezi mzima? Mchele wa 1500 unapatikana wapi?
We khantwe wewe....mchele wa buku jero hakuna?mbona ipo mingi tu? Yes sukari mie natumia kilo per month...kwanza asbh sinywag chai ..nakulaga saa5 ugali mbuzi...hiyo ndo nitolee had usk nakula ndizi mbivu 2 nalala. Hapa Kama nna majukumu...Ila km nipo tu ndo ntapika..Tena hiyo kilo inawezekana ikaguswa once in a month...mchele huku meeengi ..bt hata Moro mchele wa buku jero bwelele balaa...
 
Back
Top Bottom