Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Usijali nitakutumia Sept ..Ugali dagaa hata mie kwa kweli kila siku nakula.
Fanya unitumie kilo 2 za dagaa mshkaji wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali nitakutumia Sept ..Ugali dagaa hata mie kwa kweli kila siku nakula.
Fanya unitumie kilo 2 za dagaa mshkaji wangu
Hata Mimi kula na kununua maua nimeshindwa kujicontrol kbs ...! Acha tunenepe tu eishKatika vitu vilivyonishinda ni kujibana kula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naweaa kubaki na 10,000 nikaenda nunua jogoo nikachemsha supu [emoji28][emoji28] mengine sijui
Hahaa pesa ya kula 5000 aisee Spending hio ndani ya week ya mwisho lazima simu za kuomba pesa ya kula zihusike nyumbani.Ninassume hakuna stationary na maji yapo available chuo no way chuo kikakosa maji
Asubuhi napiga dash.
Mchana wali kuku au pilau kuku 3,000.
Usiku chips kavu au na mshikajki mmoja 2,000.
Jumla 5,000 kwa siku
Kwa mwezi 150,000
Inabakia 50,000.
Hapo ni nauli na matumizi madogo madogo kama kununua ndizi 200,kipande cha tikiti 200 au chungwa 200.
Nitakutumia maharage [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila si dagaa.Akikutumia usisahau kunigawia
Hata km naishi peke angu laki hainitoshi, yani ukishaenda kuichenchi tu ndio utajua laki si pesa. Hapo kuiandikia matumizini rahisi sana ila kiuhalisia nakuambia hiyo laki ukirudi nyumbn haipo.
Na usinunue nguo wala chupi wala kiunyunyu wew ni kula tu uone utafika wapi
[emoji23][emoji23][emoji23] dohNitakutumia maharage [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila si dagaa.
Dah 🙆🏽♂️
Unaishi kwenuMshahara wangu ni laki 200000
Akiba naweka 50000
Unga na mchele 40000
Vocha 10000
Mboga na mambo mengine 50000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahisha sana kiongozi. PoleeeUjinga wa kubana matumizi ulifanya ufaulu wangu chuoni ukawa chini.Ilifika kipindi unachonga na wapishi wa caftelia unaandaliwa special menu yani ukoko.Mbaya zaidi nikawa najibana kumsaidia demu wangu ili baadae nije nimuoe.Baada ya kumaliza chuo demu akanipiga chini.Nilijikondea kama nimefanyiwa operation ya utumbo.We kula tu usihangaike kujibana ikiisha omba nyumbani wakutumie maana bado ni mwanafunzi.
HahahaaUjinga wa kubana matumizi ulifanya ufaulu wangu chuoni ukawa chini.Ilifika kipindi unachonga na wapishi wa caftelia unaandaliwa special menu yani ukoko.Mbaya zaidi nikawa najibana kumsaidia demu wangu ili baadae nije nimuoe.Baada ya kumaliza chuo demu akanipiga chini.Nilijikondea kama nimefanyiwa operation ya utumbo.
We kula tu usihangaike kujibana ikiisha omba nyumbani wakutumie maana bado ni mwanafunzi.
Kodi huwa nalipa pesa ya nauli.Kwenye kodi ilitakiwa upigie kwa mwezi sawa na unalipa shilingi ngapi then uiweke kwenye hesabu ulizopiga juu maana ikifika muda wa kulipa iyo miezi minne hashushiwi kitoka mbinguni.
Kwa bajeti hiyo huwezi toka shavu[emoji23]80000tzs kwa mwezi inantosha nagawa kwa wiki 4
>Chakula 3000 kwa siku 5 siku ya 6&7 ni 2500 tu....sawa na 20k kwa wiki =8000 per month
●20000 ilobaki ni 5000 kwa wiki kwa ajili ya vocha na juice ya matunda kujenga shavu[emoji525][emoji521][emoji483]
Mkuu huu msosi umetuhesabu nasie wazamiaji na wale mabebiz wako wawili watatu au?Mimi nikiwa na Tsh 80,000 mwezi unakata.
Tsh 50,000 = Chakula.
Tsh 30,000= Nauli