[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikipokea boom 592000
Mchele 5Kg 10,000/=
Maji umeme mwezi : 10,000/=
Mayai : 9000
Matumizi madogo madogo 10,0000/=
Pesa inayobaki sijui ilikua inaenda wapi
spo sitoboi100000/-
Nanunua dagaa kilo 2..10000/-
Maharage 2kgs....5000/-
Sembe 5kg...5000/-
Mchele 3kgs...4500/-
Mafuta kupikia 1ltr...3000/-
Ngano 1kg...1300/-
Sukari 1kg 2600/-
Total 31,100/--
Mengineyo..
Pamba ya kike 2000/-
Parachute ndogo 3000/-
Total 5000/-
Jumla kuu 36,100/-
apo sitoboiWeka mawazo ya bajeti yako endapo unapokea kwa mwezi
a.100,000
b.150,000
c.200,000
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa utachemsha maharage saa ngapi na wewe mwanafunzi?
Halafu kama msomi kwa nini utumie mkaa?mkaa unahamasisha uharibifu wa mazingira.
Parachute ndogo ndio kitu gani hicho mkuu?100000/-
Nanunua dagaa kilo 2..10000/-
Maharage 2kgs....5000/-
Sembe 5kg...5000/-
Mchele 3kgs...4500/-
Mafuta kupikia 1ltr...3000/-
Ngano 1kg...1300/-
Sukari 1kg 2600/-
Total 31,100/--
Mengineyo..
Pamba ya kike 2000/-
Parachute ndogo 3000/-
Total 5000/-
Jumla kuu 36,100/-
Parachute ndogo ndio kitu gani hicho mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja aje kunipa jibu hapaNahisi itakua condom [emoji23]
Nguo, viatu na vitu vingine vyote vnaingia kwenye bajeti ya mboga hapo?! Au inakuaje?Mshahara wangu ni laki 200000
Akiba naweka 50000
Unga na mchele 40000
Vocha 10000
Mboga na mambo mengine 50000
Umeoa???Mshahara wangu ni laki 200000
Akiba naweka 50000
Unga na mchele 40000
Vocha 10000
Mboga na mambo mengine 50000
Mafuta ya nazi
Katika vitu vilivyonishinda ni kujibana kula.Duh...lavish life!..mjini msihame tu kwa menu hizi[emoji3]...unakumbuka had tunda[emoji1732][emoji1732]
Ugali dagaa hata mie kwa kweli kila siku nakula.Hhahahaahaahha
Hiyo mazingira kwio ...hii ni huko maporini upatikanaji wa mkaa ni easy. . .alafu mie maharage huwa sitapendi kbs hapa unapika coz Huli alone..maharage huwez pikia gesi...mie napenda ugali dagaa na mchicha..daily naweza piga hii kitu
Mimi ninanunua wa kilo 1400.Sukari 1kg mwezi mzima? Mchele wa 1500 unapatikana wapi?
Akikutumia usisahau kunigawiaUgali dagaa hata mie kwa kweli kila siku nakula.
Fanya unitumie kilo 2 za dagaa mshkaji wangu
Yeah sema misimu inatofautianaMimi ninanunua wa kilo 1400.
Upo 1500.
Sema kuna msimu huwaga tunakoma mchele unaanzia 2,200.
Ila kwa sasa michele iko mingi
Kwenye kodi ilitakiwa upigie kwa mwezi sawa na unalipa shilingi ngapi then uiweke kwenye hesabu ulizopiga juu maana ikifika muda wa kulipa iyo miezi minne hashushiwi kitoka mbinguni.Mkuu mimi siyo mlaji sana.
Vocha nanunua mara moja moja maana su mzungumzsji sana wa simu.
Binafsi natumia sana internet, nikiwa sina kabisa pesa ya bundle JF natumia Freebasics.
Kodi ni kila baada ya miezu 4.
"Ikiisha omba nyumbani" wewe mtoto wangapi wa Bakhresa Mkuu.Ujinga wa kubana matumizi ulifanya ufaulu wangu chuoni ukawa chini.Ilifika kipindi unachonga na wapishi wa caftelia unaandaliwa special menu yani ukoko.Mbaya zaidi nikawa najibana kumsaidia demu wangu ili baadae nije nimuoe.Baada ya kumaliza chuo demu akanipiga chini.Nilijikondea kama nimefanyiwa operation ya utumbo.We kula tu usihangaike kujibana ikiisha omba nyumbani wakutumie maana bado ni mwanafunzi.