Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila Zanzibar inamiliki kihalali

Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila Zanzibar inamiliki kihalali

Ardhi sio issue ya muungano, Zanzibar ina Ardhi yake na Tanzania bara ina Ardhi yake.
P
Maana yake wazanzibar wana ardhi yao na watanganyika wana ardhi yao. Na mmoja akienda kwingine kumiliki ardhi anakuwa kama muwekezaji wa kigeni, siyo? Maana unaposema nchi/Serikali unazungumzia wananchi wa nchi hizo.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na kwa maslahi ya taifa.

Maslahi ya leo ni hii issue ya SMZ kumiliki eneo la ekari 6000 Bagamoyo. Tangazo la SMZ Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
limeleta taharuki na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii hadi baadhi ya watu kutoa povu!.

Kuna watu wanatafsiri potofu kuwa sehemu ya Ardhi ya Tanzania Bara ni sehemu ya Zanzibar!.

Ukweli ni huu
Anza na bandiko hili la mwaka 2014 iujue historia ya eneo hilo lilimilikiwa vipi na Zanzibar Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku kisha soma majadiliano ya Bunge ya miaka ya nyuma kuhusu issue hii

View attachment 2644793

Shamba la Mifugo Linalomilikiwa na SMZ huko Bagamoyo

MHE. MOSSY SULEIMANI MUSSA
aliuliza:-

Kwa kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliwahi kuwa na shamba kubwa la mifugo (ng’ombe) ranchi huko Bagamoyo:-

(a) Je, Serikali ya SMZ bado inamiliki shamba hilo?
(b) Je, hadi kufikia kuboreshwa kwa shamba hilo SMZ ilitumia shilingi ngapi?

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na uvuvi naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mossy Suleimani Mussa Mbunge wa Mfenesini lenye vipengele (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Spika kwa kuzingatia Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA) iliyoko Makurunge katika Wilaya ya Bagamoyo inamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ranchi hiyo ilianzishwa mwaka 1976 baada ya kupata kibali kutoka kwa Kamishna wa Ardhi chenye kumbukumbu namba LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971, hivyo kwa taarifa hizo Wizara yangu bado inaamini shamba la RAZABA bado ni mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hata hivyo kwa vile swali linaloulizwa na Mheshimiwa Mbunge linahusu mali zilizo chini ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi sio Wizara ya Muungano napenda kumjulisha Mheshimiwa kuwa Wizara yangu haiwajibiki kujua kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar bado inamiliki au haimiliki shamba hilo.

(b) Mheshimiwa Spika, Wizara yangu haijui kama shamba hilo ambalo liko chini ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lilitumia shilingi ngapi katika kuliboresha, namshauri Mheshimiwa Mbunge akapate majibu ya takwimu hizo Wizara inayohusika katika Serilkai ya Mapinduzi Zanzibar.

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI:

Mheshimiwa Spika, pamoja na majibu mazuri ya Naibu Waziri naomba kutoa maelezo ya nyongeza kama ifuatavyo.

Mheshimiwa Spika, shamba hilo ambalo ni kweli kama alivyosema Naibu Waziri lilimilikishwa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lakini kwa miaka mingi sana karibu 30 halitumiki, kwa hivi karibuni Serikali imemega sehemu na kuwapa wawekezaji, watawekeza katika mambo ya biofuel na Sehemu bado inaendelea kuwa mali ya SMZ.

View attachment 2644761

My Take
  1. Wabara ondoeni shaka kuhusu umiliki wa SMZ eneo Bagamoyo, SMZ inalimiliki eneo hilo kihalali kabisa kwa vile walipewa na Mwalimu Nyerere.
  2. Kitendo cha SMZ kumiliki eneo huku Tanzania bara, hakulifanyi eneo hilo kuwa sehemu ya Zanzibar, ni eneo halali la SMZ ila ardhi ni ya Tanzania bara.
  3. Nchi yoyote inaweza kumiliki eneo nchi nyingine yoyote, umiliki huo haulifanyi hilo eneo kuwa sio sehemu ya nchi husika.
  4. Japo SMZ inalimiliki eneo hilo lililokuwa hekta 6,000, kwanza SMZ, haina hati ya umiliki bali ina kibali cha umiliki No. LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971.
  5. SMZ ililitelekeza eneo hilo kwa miaka 45, hivyo serikali ikalimega kumpa mwekezaji, Halmashauri ya Bagamoyo imelipima viwanja inaviuza.
  6. Kwa vile ni eneo halali la SMZ, na sasa SMZ imeibuka kuonyesha ina interest na eneo lake, then itarudi serikalini kuelezea hiyo interest, serikali itakwenda kulipima limebakia kiasi gani, SMZ itapimiwa upya na kugawa.
  7. Iwapo SMZ bado italihitaji eneo lote la awali la ekari 6,000, then italazimika kuwalipa fidia watu wote waliomegewa kihalali.
  8. Kama pia limevamiwa na wananchi, then sheria yetu ya Ardhi ya Vijiji No. 5 ya mwaka 1999 will apply kwa mtu aliyetelekeza eneo lake kwa miaka 45, wale wavamizi wana haki fulani.
  9. Ikionekana madhara ya kuwaondoa wavamizi ni makubwa kuliko kuirejeshea SMZ eneo hilo, then kile kibali cha umiliki wa SMZ kinafutwa, wananchi wanapimiwa, na SMZ wanapewa eneo jingine, tuna mapori kibao ya kumwaga, hata wakitaka heka 10,000 wanapewa.
  10. Hii ya kuwagaiya wavamizi imefanyika sana kwenye maeneo ya jeshi na maeneo ya RTD, wavamizi wamepimiwa na kuhalalishiwa!.
Hivyo Watanzania wenzangu isiwe na wasiwasi kabisa kuhusu hili, after all eneo lote la Zanzibar ni sehemu ya JMT hakuna sababu ya watu kutoa povu, Wanzanzibari kuniliki Ardhi Bara lakini Wabara hawewezi kumiliki ardhi Zanzibar, kwasababu Wazanzibari ni Watanzania wenzetu wana haki zote za Utanzania, ila Zanzibar ni the minority, visiwa vyao ni very tiny, tukiruhusu kila Mtanzania kumiliki ardhi Zanzibar, itaelemewa na kuvizamisha visiwa vile!.

Wakati wa kuumbika nchi, Zanzibar ilikuwa eneo la bara likamegeka kwa sea erosion, hivyo Visiwa vya Zanzibar ni sehemu halali ya Tanzania bara ndio maana dhima ya muungano wetu adhimu ni udugu, sisi ni ndugu moja, Waarabu walipokuja Zanzibar ile 1732 Sultan Seyyid Said alipohamoshia Sultanet take toka Oman kuja Zanzibar, aliwakuta wenyeji halisi ni Wahadimu, kutoka Bara, alivitwaa visiwa hivyo toka ukoo wa Mwinyimkuu, na waliompindua Sultan kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni wajukuu wa Mwinyimkuu wenye Zanzibar yao, ndio maana slogan ya Mapinduzi Daima ipo, na baada ya muungano tumekuwa kitu kimoja, ndio maana slogan ya muungano ni tutaulinda kwa gharama yoyote.

Miongoni mwa gharama hizo ni kumsamehe madeni, kumpa 4.5% ya fedha za mikopo na misaada, ajira na hata kumpa eneo lolote Wazanzibari watakalotaka.

Watanzania bara tujifunze kuwa na shukrani, tushukuru sana Zanzibar, ukanda wa eneo la maili 10 ya Pwani ya ya bahari ya hindi, lilikuwa eneo la Zanzibar, ikatugawia!, miji yote ya Pwani kuanzia Dar, Tanga, Bagamoyo imejengwa na Sultan of Zanzibar!.

Hata mjengo wa Ikulu ya Magogoni, imejengwa na Sultan of Zanzibar, hata ile replica ya Ikulu pale Chamwino ni mjengo wa Kiarabu!, mbona watu mnakosa shukrani kwa mambo mazuri kama haya, mnaona nongwa Zanzibar kumiliki eneo huku Bara!.

Mapinduzi Daima
Muungano Tutaulinda kwa gharama yoyote!.

Paskali.
Acha bla bla mheshimiwa Paskali.
Huwezi miliki ardhi kwenye nchi ya jirani.
Full Stop!
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na kwa maslahi ya taifa.

Maslahi ya leo ni hii issue ya SMZ kumiliki eneo la ekari 6000 Bagamoyo. Tangazo la SMZ Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
limeleta taharuki na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii hadi baadhi ya watu kutoa povu!.

Kuna watu wanatafsiri potofu kuwa sehemu ya Ardhi ya Tanzania Bara ni sehemu ya Zanzibar!.

Ukweli ni huu
Anza na bandiko hili la mwaka 2014 iujue historia ya eneo hilo lilimilikiwa vipi na Zanzibar Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku kisha soma majadiliano ya Bunge ya miaka ya nyuma kuhusu issue hii

View attachment 2644793

Shamba la Mifugo Linalomilikiwa na SMZ huko Bagamoyo

MHE. MOSSY SULEIMANI MUSSA
aliuliza:-

Kwa kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliwahi kuwa na shamba kubwa la mifugo (ng’ombe) ranchi huko Bagamoyo:-

(a) Je, Serikali ya SMZ bado inamiliki shamba hilo?
(b) Je, hadi kufikia kuboreshwa kwa shamba hilo SMZ ilitumia shilingi ngapi?

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na uvuvi naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mossy Suleimani Mussa Mbunge wa Mfenesini lenye vipengele (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Spika kwa kuzingatia Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA) iliyoko Makurunge katika Wilaya ya Bagamoyo inamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ranchi hiyo ilianzishwa mwaka 1976 baada ya kupata kibali kutoka kwa Kamishna wa Ardhi chenye kumbukumbu namba LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971, hivyo kwa taarifa hizo Wizara yangu bado inaamini shamba la RAZABA bado ni mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hata hivyo kwa vile swali linaloulizwa na Mheshimiwa Mbunge linahusu mali zilizo chini ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi sio Wizara ya Muungano napenda kumjulisha Mheshimiwa kuwa Wizara yangu haiwajibiki kujua kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar bado inamiliki au haimiliki shamba hilo.

(b) Mheshimiwa Spika, Wizara yangu haijui kama shamba hilo ambalo liko chini ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lilitumia shilingi ngapi katika kuliboresha, namshauri Mheshimiwa Mbunge akapate majibu ya takwimu hizo Wizara inayohusika katika Serilkai ya Mapinduzi Zanzibar.

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI:

Mheshimiwa Spika, pamoja na majibu mazuri ya Naibu Waziri naomba kutoa maelezo ya nyongeza kama ifuatavyo.

Mheshimiwa Spika, shamba hilo ambalo ni kweli kama alivyosema Naibu Waziri lilimilikishwa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lakini kwa miaka mingi sana karibu 30 halitumiki, kwa hivi karibuni Serikali imemega sehemu na kuwapa wawekezaji, watawekeza katika mambo ya biofuel na Sehemu bado inaendelea kuwa mali ya SMZ.

View attachment 2644761

My Take
  1. Wabara ondoeni shaka kuhusu umiliki wa SMZ eneo Bagamoyo, SMZ inalimiliki eneo hilo kihalali kabisa kwa vile walipewa na Mwalimu Nyerere.
  2. Kitendo cha SMZ kumiliki eneo huku Tanzania bara, hakulifanyi eneo hilo kuwa sehemu ya Zanzibar, ni eneo halali la SMZ ila ardhi ni ya Tanzania bara.
  3. Nchi yoyote inaweza kumiliki eneo nchi nyingine yoyote, umiliki huo haulifanyi hilo eneo kuwa sio sehemu ya nchi husika.
  4. Japo SMZ inalimiliki eneo hilo lililokuwa hekta 6,000, kwanza SMZ, haina hati ya umiliki bali ina kibali cha umiliki No. LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971.
  5. SMZ ililitelekeza eneo hilo kwa miaka 45, hivyo serikali ikalimega kumpa mwekezaji, Halmashauri ya Bagamoyo imelipima viwanja inaviuza.
  6. Kwa vile ni eneo halali la SMZ, na sasa SMZ imeibuka kuonyesha ina interest na eneo lake, then itarudi serikalini kuelezea hiyo interest, serikali itakwenda kulipima limebakia kiasi gani, SMZ itapimiwa upya na kugawa.
  7. Iwapo SMZ bado italihitaji eneo lote la awali la ekari 6,000, then italazimika kuwalipa fidia watu wote waliomegewa kihalali.
  8. Kama pia limevamiwa na wananchi, then sheria yetu ya Ardhi ya Vijiji No. 5 ya mwaka 1999 will apply kwa mtu aliyetelekeza eneo lake kwa miaka 45, wale wavamizi wana haki fulani.
  9. Ikionekana madhara ya kuwaondoa wavamizi ni makubwa kuliko kuirejeshea SMZ eneo hilo, then kile kibali cha umiliki wa SMZ kinafutwa, wananchi wanapimiwa, na SMZ wanapewa eneo jingine, tuna mapori kibao ya kumwaga, hata wakitaka heka 10,000 wanapewa.
  10. Hii ya kuwagaiya wavamizi imefanyika sana kwenye maeneo ya jeshi na maeneo ya RTD, wavamizi wamepimiwa na kuhalalishiwa!.
Hivyo Watanzania wenzangu isiwe na wasiwasi kabisa kuhusu hili, after all eneo lote la Zanzibar ni sehemu ya JMT hakuna sababu ya watu kutoa povu, Wanzanzibari kuniliki Ardhi Bara lakini Wabara hawewezi kumiliki ardhi Zanzibar, kwasababu Wazanzibari ni Watanzania wenzetu wana haki zote za Utanzania, ila Zanzibar ni the minority, visiwa vyao ni very tiny, tukiruhusu kila Mtanzania kumiliki ardhi Zanzibar, itaelemewa na kuvizamisha visiwa vile!.

Wakati wa kuumbika nchi, Zanzibar ilikuwa eneo la bara likamegeka kwa sea erosion, hivyo Visiwa vya Zanzibar ni sehemu halali ya Tanzania bara ndio maana dhima ya muungano wetu adhimu ni udugu, sisi ni ndugu moja, Waarabu walipokuja Zanzibar ile 1732 Sultan Seyyid Said alipohamoshia Sultanet take toka Oman kuja Zanzibar, aliwakuta wenyeji halisi ni Wahadimu, kutoka Bara, alivitwaa visiwa hivyo toka ukoo wa Mwinyimkuu, na waliompindua Sultan kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni wajukuu wa Mwinyimkuu wenye Zanzibar yao, ndio maana slogan ya Mapinduzi Daima ipo, na baada ya muungano tumekuwa kitu kimoja, ndio maana slogan ya muungano ni tutaulinda kwa gharama yoyote.

Miongoni mwa gharama hizo ni kumsamehe madeni, kumpa 4.5% ya fedha za mikopo na misaada, ajira na hata kumpa eneo lolote Wazanzibari watakalotaka.

Watanzania bara tujifunze kuwa na shukrani, tushukuru sana Zanzibar, ukanda wa eneo la maili 10 ya Pwani ya ya bahari ya hindi, lilikuwa eneo la Zanzibar, ikatugawia!, miji yote ya Pwani kuanzia Dar, Tanga, Bagamoyo imejengwa na Sultan of Zanzibar!.

Hata mjengo wa Ikulu ya Magogoni, imejengwa na Sultan of Zanzibar, hata ile replica ya Ikulu pale Chamwino ni mjengo wa Kiarabu!, mbona watu mnakosa shukrani kwa mambo mazuri kama haya, mnaona nongwa Zanzibar kumiliki eneo huku Bara!.

Mapinduzi Daima
Muungano Tutaulinda kwa gharama yoyote!.

Paskali.
afadhali kuna watu kama nyinyi munaosoma historia na kueleza kisawasawa, hawa wengine ni kupiga kelele bila ya kufanya reference ya mambo yaliyopita. Na hasa hao waliotoka mabara ya Tanganyika ndiyo wanajifanya nchi hii ni yao bila ya kuijua historia yake.

Ila hiyo ya kulitelekeza kwa miaka 45 siyo kweli kwani kwa kumbukumbu zangu kulikuwa na wafanyakazi wa ranchi mpaka kwenye miaka ya tisini, walikuwa wanahamishwa Zanzibar na kupelekwa Bagamoyo. Miaka ile ilikuwa ukipelekwa Bagamoyo ni kama ulikuwa unapelekwa Kigoma kikazi.
 
Hata mjengo wa Ikulu ya Magogoni, imejengwa na Sultan of Zanzibar,
Mbona hapa Mayala inaelekea kama umesema uwongo. Tunavyojua ni kwamba ikulu ya Magogoni ilijengwa na waingereza mwaka 1919 chini ya usimamizi wa Gavana Horace Byatt. Hata jiwe la msingi lililopo hapo Magogoni limeandikwa jina hilo la Horace Byatt.

 
afadhali kuna watu kama nyinyi munaosoma historia na kueleza kisawasawa, hawa wengine ni kupiga kelele bila ya kufanya reference ya mambo yaliyopita. Na hasa hao waliotoka mabara ya Tanganyika ndiyo wanajifanya nchi hii ni yao bila ya kuijua historia yake.

Ila hiyo ya kulitelekeza kwa miaka 45 siyo kweli kwani kwa kumbukumbu zangu kulikuwa na wafanyakazi wa ranchi mpaka kwenye miaka ya tisini, walikuwa wanahamishwa Zanzibar na kupelekwa Bagamoyo. Miaka ile ilikuwa ukipelekwa Bagamoyo ni kama ulikuwa unapelekwa Kigoma kikazi.
Eneo walilopewa ni ekari 6000, Zanzibar walishindwa kulitumia hata robo, likabaki kuwa pori tuu!. Hata serikali yetu ilipoamua kulimega kuwapa wawekezaji, serikali iliwaarifu SMZ, hawakuonyesha pingamizi yoyote, hivyo kuhesabiwa they are not interested. Hiyo Ranchi ya Makurunge imetumia kama 1/10 ya eneo!. Hekari 6,000 is huge!, eneo hilo ni theluthi ya Zanzibar!.
P
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na kwa maslahi ya taifa.

Maslahi ya leo ni hii issue ya SMZ kumiliki eneo la ekari 6000 Bagamoyo. Tangazo la SMZ Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
limeleta taharuki na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii hadi baadhi ya watu kutoa povu!.

Kuna watu wanatafsiri potofu kuwa sehemu ya Ardhi ya Tanzania Bara ni sehemu ya Zanzibar!.

Ukweli ni huu
Anza na bandiko hili la mwaka 2014 iujue historia ya eneo hilo lilimilikiwa vipi na Zanzibar Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku kisha soma majadiliano ya Bunge ya miaka ya nyuma kuhusu issue hii

View attachment 2644793

Shamba la Mifugo Linalomilikiwa na SMZ huko Bagamoyo

MHE. MOSSY SULEIMANI MUSSA
aliuliza:-

Kwa kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliwahi kuwa na shamba kubwa la mifugo (ng’ombe) ranchi huko Bagamoyo:-

(a) Je, Serikali ya SMZ bado inamiliki shamba hilo?
(b) Je, hadi kufikia kuboreshwa kwa shamba hilo SMZ ilitumia shilingi ngapi?

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na uvuvi naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mossy Suleimani Mussa Mbunge wa Mfenesini lenye vipengele (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Spika kwa kuzingatia Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo (RAZABA) iliyoko Makurunge katika Wilaya ya Bagamoyo inamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ranchi hiyo ilianzishwa mwaka 1976 baada ya kupata kibali kutoka kwa Kamishna wa Ardhi chenye kumbukumbu namba LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971, hivyo kwa taarifa hizo Wizara yangu bado inaamini shamba la RAZABA bado ni mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hata hivyo kwa vile swali linaloulizwa na Mheshimiwa Mbunge linahusu mali zilizo chini ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi sio Wizara ya Muungano napenda kumjulisha Mheshimiwa kuwa Wizara yangu haiwajibiki kujua kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar bado inamiliki au haimiliki shamba hilo.

(b) Mheshimiwa Spika, Wizara yangu haijui kama shamba hilo ambalo liko chini ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lilitumia shilingi ngapi katika kuliboresha, namshauri Mheshimiwa Mbunge akapate majibu ya takwimu hizo Wizara inayohusika katika Serilkai ya Mapinduzi Zanzibar.

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI:

Mheshimiwa Spika, pamoja na majibu mazuri ya Naibu Waziri naomba kutoa maelezo ya nyongeza kama ifuatavyo.

Mheshimiwa Spika, shamba hilo ambalo ni kweli kama alivyosema Naibu Waziri lilimilikishwa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lakini kwa miaka mingi sana karibu 30 halitumiki, kwa hivi karibuni Serikali imemega sehemu na kuwapa wawekezaji, watawekeza katika mambo ya biofuel na Sehemu bado inaendelea kuwa mali ya SMZ.

View attachment 2644761

My Take
  1. Wabara ondoeni shaka kuhusu umiliki wa SMZ eneo Bagamoyo, SMZ inalimiliki eneo hilo kihalali kabisa kwa vile walipewa na Mwalimu Nyerere.
  2. Kitendo cha SMZ kumiliki eneo huku Tanzania bara, hakulifanyi eneo hilo kuwa sehemu ya Zanzibar, ni eneo halali la SMZ ila ardhi ni ya Tanzania bara.
  3. Nchi yoyote inaweza kumiliki eneo nchi nyingine yoyote, umiliki huo haulifanyi hilo eneo kuwa sio sehemu ya nchi husika.
  4. Japo SMZ inalimiliki eneo hilo lililokuwa hekta 6,000, kwanza SMZ, haina hati ya umiliki bali ina kibali cha umiliki No. LD/70254/12/TBR cha tarehe 24/09/1971.
  5. SMZ ililitelekeza eneo hilo kwa miaka 45, hivyo serikali ikalimega kumpa mwekezaji, Halmashauri ya Bagamoyo imelipima viwanja inaviuza.
  6. Kwa vile ni eneo halali la SMZ, na sasa SMZ imeibuka kuonyesha ina interest na eneo lake, then itarudi serikalini kuelezea hiyo interest, serikali itakwenda kulipima limebakia kiasi gani, SMZ itapimiwa upya na kugawa.
  7. Iwapo SMZ bado italihitaji eneo lote la awali la ekari 6,000, then italazimika kuwalipa fidia watu wote waliomegewa kihalali.
  8. Kama pia limevamiwa na wananchi, then sheria yetu ya Ardhi ya Vijiji No. 5 ya mwaka 1999 will apply kwa mtu aliyetelekeza eneo lake kwa miaka 45, wale wavamizi wana haki fulani.
  9. Ikionekana madhara ya kuwaondoa wavamizi ni makubwa kuliko kuirejeshea SMZ eneo hilo, then kile kibali cha umiliki wa SMZ kinafutwa, wananchi wanapimiwa, na SMZ wanapewa eneo jingine, tuna mapori kibao ya kumwaga, hata wakitaka heka 10,000 wanapewa.
  10. Hii ya kuwagaiya wavamizi imefanyika sana kwenye maeneo ya jeshi na maeneo ya RTD, wavamizi wamepimiwa na kuhalalishiwa!.
Hivyo Watanzania wenzangu isiwe na wasiwasi kabisa kuhusu hili, after all eneo lote la Zanzibar ni sehemu ya JMT hakuna sababu ya watu kutoa povu, Wanzanzibari kuniliki Ardhi Bara lakini Wabara hawewezi kumiliki ardhi Zanzibar, kwasababu Wazanzibari ni Watanzania wenzetu wana haki zote za Utanzania, ila Zanzibar ni the minority, visiwa vyao ni very tiny, tukiruhusu kila Mtanzania kumiliki ardhi Zanzibar, itaelemewa na kuvizamisha visiwa vile!.

Wakati wa kuumbika nchi, Zanzibar ilikuwa eneo la bara likamegeka kwa sea erosion, hivyo Visiwa vya Zanzibar ni sehemu halali ya Tanzania bara ndio maana dhima ya muungano wetu adhimu ni udugu, sisi ni ndugu moja, Waarabu walipokuja Zanzibar ile 1732 Sultan Seyyid Said alipohamoshia Sultanet take toka Oman kuja Zanzibar, aliwakuta wenyeji halisi ni Wahadimu, kutoka Bara, alivitwaa visiwa hivyo toka ukoo wa Mwinyimkuu, na waliompindua Sultan kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni wajukuu wa Mwinyimkuu wenye Zanzibar yao, ndio maana slogan ya Mapinduzi Daima ipo, na baada ya muungano tumekuwa kitu kimoja, ndio maana slogan ya muungano ni tutaulinda kwa gharama yoyote.

Miongoni mwa gharama hizo ni kumsamehe madeni, kumpa 4.5% ya fedha za mikopo na misaada, ajira na hata kumpa eneo lolote Wazanzibari watakalotaka.

Watanzania bara tujifunze kuwa na shukrani, tushukuru sana Zanzibar, ukanda wa eneo la maili 10 ya Pwani ya ya bahari ya hindi, lilikuwa eneo la Zanzibar, ikatugawia!, miji yote ya Pwani kuanzia Dar, Tanga, Bagamoyo imejengwa na Sultan of Zanzibar!.

Hata mjengo wa Ikulu ya Magogoni, imejengwa na Sultan of Zanzibar, hata ile replica ya Ikulu pale Chamwino ni mjengo wa Kiarabu!, mbona watu mnakosa shukrani kwa mambo mazuri kama haya, mnaona nongwa Zanzibar kumiliki eneo huku Bara!.

Mapinduzi Daima
Muungano Tutaulinda kwa gharama yoyote!.

Paskali.
PM.
Umedurusu historia kwa kiasi chako ulichoweza.

My take:-

1. Hatuwezi kamwe kuegemea historia ya aliyoyafanya Sultani kwa kuwa kabla ya kuja Sultani EA tulikuwa na historia yetu.

2. Kuacha historia yetu na kuipa adhama historia ya Sultani ni kuthibitisha kwamba bado tuko kwenye utumwa wa Kiarabu na kwamba Mapinduzi siyo matukufu bali ni Mapinduzi-dhambi yaliyofanya dhambi kumpindua Sultani, hivyo Waznz wote 1.8 ml wanastahili kushitakiwa na kunyongwa kwa kufanya uhaini dhidi ya utawala halali (unaodumu) wa Sultani Jamshid.

3. Uhalali wa Sultani unatokana na fikra ulizowasilisha za kumuenzi Jahili Sultani ila uko sahihi kidogo kutokana na kwamba Znz imeendelea kuenzi ustaarabu wake ikiwemo dini aliyoleta Znz (Znz haina utamaduni wa kitaifa wa Kiznz, inahitaji Mapinduzi ya pili ya kitamaduni kama walivyofanya Wachina, Wagiriki, Warumi (waliokuwa chini ya Mesopotamia pia), Wamarekani, Wafaransa, Warusi, Wajapani, Wajerumani, Wareno na Wayahudi)

4. No.3 hapo juu inathibitisha kwamba Znz ilipindua tu serikali ya Sultani lakini haikupindua tunu, mila na desturi za Sultani alizopandikiza Znz. Hii inafanya Mapinduzi kutokuwa matukufu na yanapoteza dhima yake pia kwa kutengeneza Masultani uchwara (Masultani mbadala) wa Kiznz ambao kinyume na Masultani Majid Bin Said na Jamshid Bin Abdullah waliojenga Znz; wao Masultani uchwara hawa wanabomoa Znz na kuhamishia milki Oman na pia kumrejeshea kinyemela visiwa 52 nk kwa jina la wawekezaji. Yaani walimpindua Jamshid na sasa wanamrejeshea milki zake Oman na humu humu Znz. Duh! Maskini Field Marshal John Okello bora Nyerere alikunyima kuishi Tz maana haya yangekuumiza mtima wako.

"I found city of Rome in bricks and left it in carrara marble Augustus Caesar 27 BC"

5. Mapinduzi ya Znz na Uhuru wa Tanganyika vinafuta mipaka dhalimu ya Kisultani iliyowekwa kati ya Znz na Tanganyika na Sultani Majid Bin Said na kuendelezwa na Sultani Jamshid Bin Abdullah. Hii inachagiza suala la Makurunge RAZABA kutazamwa upya.

6. Nadhani hatupaswi na hatulazimiki kuendelea kuwa Watumwa wa Utumwa.

Sitaki kuamini tulikulupuka kumpindua Sultani Znz.

Bitter truth live it or leave it.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Eneo walilopewa ni ekari 6000, Zanzibar walishindwa kulitumia hata robo, likabaki kuwa pori tuu!. Hata serikali yetu ilipoamua kulimega kuwapa wawekezaji, serikali iliwaarifu SMZ, hawakuonyesha pingamizi yoyote, hivyo kuhesabiwa they are not interested. Hiyo Ranchi ya Makurunge imetumia kama 1/10 ya eneo!. Hekari 6,000 is huge!, eneo hilo ni theluthi ya Zanzibar!.
P
nadhani muhimu ni kukaa na kufanya majadiliano tu
 
Hakuna mkanganyiko wowote wala hakuna chochote tumeficha, tatizo ni uelewa hafifu wa wananchi, ndio maana hapa naelimisha.

No sii kweli. Waziri anapewa majibu na wahusika na yote aliyojibu ni kweli tupu.

Ni kweli, ila kuna utaratibu wa serikali kutwaa maeneo, baada ya eneo hilo kupewa Zanzibar, na Zanzibar kulitelekeza, serikali ya JMT haikufuata utaratibu rasmi wa kulitwaa hilo eneo, serikali ilichofanya ni kuwajulisha Zanzibar kwa taarifa kuwa imelimega eneo lao kumpa mwekezaji lakini serikali haikufanya a due process kulitwaa eneo hilo, hivyo Zanzibar wako very right to claim eneo lao lore la ekari 6,000.

It's true ila wote wawili walivunja sheria, Zanzibar wame abandoned the land kwa miaka 45, serikali ikalimega bila kufuata taratibu.

Mimi niombe radhi kwa kosa gani?.

SMZ inalimiliki hilo eneo kihalali kabisa, ila baada ya kulitelekeza serikali yetu ika asume hawalitaki, ikalimega. Aliyepora ni serikali imepora eneo la Zanzibar na kuwapa wawekezaji.
P
Kama unakiri serikali zote mbili zinafanya makosa kwenye hili jambo, kwanini usiseme ukweli kwamba wamekosea, badala yake nakuona unalazimisha waonekane hawana makosa.

Sheria inatakiwa kufuatwa kwa yule ambaye hataendeleza eneo lake bila kujali yeye ni nani, badala ya kumjulisha kwa kulimega eneo husika, na jingine kumuachia, unayajua haya kwasababu umesoma sheria, lakini unayapuuza kwa interest zako tu, unaacha siasa iingizwe kwenye mambo ya sheria.

Unakiri kwenye majibu yako kwamba serikali haikufuata taratibu rasmi kulitwaa eneo hilo, kwa nini? hakuna aliyepo juu ya sheria Tanzania hii, ndio maana unatakiwa kuomba radhi kwa hiki ulichoandika hapa, lakini ajabu zaidi ndio unadai unatoa elimu!.
 
Mbona hapa Mayala inaelekea kama umesema uwongo. Tunavyojua ni kwamba ikulu ya Magogoni ilijengwa na waingereza mwaka 1919 chini ya usimamizi wa Gavana Horace Byatt. Hata jiwe la msingi lililopo hapo Magogoni limeandikwa jina hilo la Horace Byatt.


Wazungu wametufanya vibaya sana!, wameongopa!. Ukweli ni kuwa Mjengo wa Ikulu ulijengwa na Sultan of Zanzibar, ili uwe makao makuu ya Uislamu Africa Mashariki. Jengo hilo liliitwa Dursalaam.

Enzi hizo a 10 miles za coastline ilikuwa chini yavSultan of Zanzibar. Humo ndani kulikuwa na msikiti na makaburi ya wana Sultani.

Wajerumani waliponunia ukanda huo ile 1890 kupitia mkataba wa Hellingoland, The Zanzibar Treaty, wakabadili msikiti kuugeuza kanisa!. Wakayahamisha makaburi, baadhi ya makaburi ya manguli wao, yakawagomea kuhamishika.

Waingereza walipoichukua Tanzania, ile 1918, ndio wakaweka hicho kibao cha uongo kuonyesha ni wao walijenga!. Ni waongo!. Ila walichofanya ni kuiboresha na kuongeza mjengo. Wazungu ni waongo sana, ila kwa vile ukweli wetu haujaandikwa, na wao uongo wao wameuweka kwenye maandishi, then uongo wao ndio unaonekana ni ukweli!.

Hata Ziwa Victoria, lilikuwepo kabla wakoloni hawajaja likiwa na jina la kiasili, wakalibatiza jina Queen Victoria, hivyo Ziwa hilo ni Ziwa Victoria mpaka leo!.

Story ya kweli ya Ikulu yetu iko hapa Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
P
 
tunataka tujue alipewa Kama mwekezaji au ni nchi ndani ya nchi nyingine!!??
Nyerere alimpa Jumbe eneo hilo bure ile 1971, kwenye the spirit of sisi ni nchi moja. Hivyo SMZ ilipewa kama eneo lao ndani ya Tanzania bara kama mtu au taasisi yoyote anavyoweza kumiliki Ardhi mahali popote. Kwa Zanzibar kumiliki eneo Tanzania bara, haimanishi kuwa eneo hilo ni sehemu ya Zanzibar!. Eneo hilo bado ni eneo la Tanzania bara mpaka mwisho wa dunia!.
P
 
Nyerere alimpa Jumbe eneo hilo bure ile 1971, kwenye the spirit of sisi ni nchi moja. Hivyo SMZ ilipewa kama eneo lao ndani ya Tanzania bara kama mtu au taasisi yoyote anavyoweza kumiliki Ardhi mahali popote. Kwa Zanzibar kumiliki eneo Tanzania bara, haimanishi kuwa eneo hilo ni sehemu ya Zanzibar!. Eneo hilo bado ni eneo la Tanzania bara mpaka mwisho wa dunia!.
P
Basi sio vibaya , Hilo eneo lirudi serikalini (bara)kwa kuwa walipewa kwa matumizi ya ufugaji , ili iwe rahisi kwa wao ku suply nyama kwao zbar. nakwakuwa walishindwa hakuna haja liendelee kushikiliwa na zbar with no plofit , NOR utilization!! Halafu wananchi wa bagamoyo wanashida na ardhi , na Hata Kama. wakienda kutafuta maisha zbar hawaruhusiwi kwa sheria za zbar kumiliki ardhi huko, Basi si warudishiwe ardhi yao iwafae maishani!!??

Huu muungano ni kichomi !! Na anaeumia ni Tanzania asili na sio wa zbar, 90% huu muungano unawa farvour wa zbar na sio watanzania (bara).

Hata hivyo wa Zanzibar wakiwa ughaibuni hawapendi kujitambulisha wao ni watanzania !!

Muungano huu ni very bias.
 
Hakuna mkanganyiko wowote wala hakuna chochote tumeficha, tatizo ni uelewa hafifu wa wananchi, ndio maana hapa naelimisha.

No sii kweli. Waziri anapewa majibu na wahusika na yote aliyojibu ni kweli tupu.

Ni kweli, ila kuna utaratibu wa serikali kutwaa maeneo, baada ya eneo hilo kupewa Zanzibar, na Zanzibar kulitelekeza, serikali ya JMT haikufuata utaratibu rasmi wa kulitwaa hilo eneo, serikali ilichofanya ni kuwajulisha Zanzibar kwa taarifa kuwa imelimega eneo lao kumpa mwekezaji lakini serikali haikufanya a due process kulitwaa eneo hilo, hivyo Zanzibar wako very right to claim eneo lao lore la ekari 6,000.

It's true ila wote wawili walivunja sheria, Zanzibar wame abandoned the land kwa miaka 45, serikali ikalimega bila kufuata taratibu.

Mimi niombe radhi kwa kosa gani?.

SMZ inalimiliki hilo eneo kihalali kabisa, ila baada ya kulitelekeza serikali yetu ika asume hawalitaki, ikalimega. Aliyepora ni serikali imepora eneo la Zanzibar na kuwapa wawekezaji.
P
Ni ngumu sana kuelewa

Wao wanafikiri jambo hilo limeanza leo

Ova
 
Basi sio vibaya , Hilo eneo lirudi serikalini (bara)kwa kuwa walipewa kwa matumizi ya ufugaji , ili iwe rahisi kwa wao ku suply nyama kwao zbar. nakwakuwa walishindwa hakuna haja liendelee kushikiliwa na zbar with no plofit , NOR utilization!!
It's true ndio maana serikali yetu iliishalimega hilo eneo kuwamegea wawekezaji.
Halafu wananchi wa bagamoyo wanashida na ardhi , na Hata Kama. wakienda kutafuta maisha zbar hawaruhusiwi kwa sheria za zbar kumiliki ardhi huko, Basi si warudishiwe ardhi yao iwafae maishani!!??
Ni kweli na hili ndio linakwenda kutimizwa kwa SMZ kufutiwa kibali chao, maana hawana hati ya umiliki, na eneo hilo kukabidhiwa kwa halmashauri, kuwagawia wananchi.
Huu muungano ni kichomi !! Na anaeumia ni Tanzania asili na sio wa zbar, 90% huu muungano unawa farvour wa zbar na sio watanzania (bara).
Ni kweli kwasababu Tanzania bara na Tanzania Visiwani hazilingani!. Zanzibar ni the minority, siku zote the minority are favoured.
Hata hivyo wa Zanzibar wakiwa ughaibuni hawapendi kujitambulisha wao ni watanzania !!
Ni kweli, ila hata kama hawapendi kujitambulisha kama Watanzania, the facts ni Watanzania, hakuna mtu yoyote duniani anayetambulika kimataifa kama Mzanzibari, kwasababu Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT, tuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.
Muungano huu ni very bias.
True
P
 
Eneo walilopewa ni ekari 6000, Zanzibar walishindwa kulitumia hata robo, likabaki kuwa pori tuu!. Hata serikali yetu ilipoamua kulimega kuwapa wawekezaji, serikali iliwaarifu SMZ, hawakuonyesha pingamizi yoyote, hivyo kuhesabiwa they are not interested. Hiyo Ranchi ya Makurunge imetumia kama 1/10 ya eneo!. Hekari 6,000 is huge!, eneo hilo ni theluthi ya Zanzibar!.
P
Umesahau miaka ya nyuma wafungwa walikuwa wanatoka zenji
Na kuja kufanya kazi kwenye ranchi hiyo
Kulikuwa na mpaka gereza lao

Ova
 
Nyerere alimpa Jumbe eneo hilo bure ile 1971, kwenye the spirit of sisi ni nchi moja. Hivyo SMZ ilipewa kama eneo lao ndani ya Tanzania bara kama mtu au taasisi yoyote anavyoweza kumiliki Ardhi mahali popote. Kwa Zanzibar kumiliki eneo Tanzania bara, haimanishi kuwa eneo hilo ni sehemu ya Zanzibar!. Eneo hilo bado ni eneo la Tanzania bara mpaka mwisho wa dunia!.
P
Tanzania bara yenyewe inasemekana
Nao huko unguja wana sehemu yao pia

Ova
 
Back
Top Bottom