Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila Zanzibar inamiliki kihalali

Nadhani unachanganya mambo.

Settlers siyo nchi, Znz ni nchi. Hoja hapa ni nchi siyo mtu (mwekezaji). Wapemba wamejazana bara wanamiliki mashamba na maghorofa lkn hawajawahi kulalamikiwa na wabara.

Suala ni nchi siyo mtu, Znz ni nchi maana ina serikali kamili.



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
PM
Nadhani ukijivua kwenye utumwa wa historia potofu utakuwa huru kuelewa uhalisia wa dhana nzima ya sovereignty ya nchi.

Jukumu la kwanza kabisa linalofanyika kipaumbele cha kwanza cha rais yeyote wa nchi huru ni ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi na raia wake. Ndiyo maana ndiye M'kiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Taifa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio essence ya bandiko hili elimishi, kuwaelimisha watu kama nyinyi kuwa SMZ kumiliki eneo Tanzania bara, SMZ ni wamiliki tuu kama wamiliki wengine wowote, na umiliki wao wa eneo hilo hakulifanyi eneo hilo kuwa ni sehemu ya Zanzibar!, eneo hilo bado ni eneo la Tanzania bara milele!.

Na kwa msio jua pale mpakani Rusumo, Tanzania tumewapa eneo Rwanda, Burundi na DRC wajenge ICD zao. Maeneo hayo hayawi sehemu ya Rwanda, Burundi or DRC!. Maeneo yote ya Balozi mbalimbali tumewapa, hakuyafanyi yasiwe nchi yetu!. Tanzania tunamiliki maeneo ya balozi zetu mbalimbali, hakuyafanyi kuwa sehemu ya Tanzania!.
P
 
Taja faida zake Ili uweze kutuambia utaulinda kwa Gharama zote!
 
No it's not that, japo ni kweli ardhi sio jambo la muungano, lakini uraia wa JMT tuu ni jambo la muungano, hivyo Wazanzibari wote ni Watanzania, wana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki ardhi, na taasisi zote za Zanzibar ikiwemo SMZ, wana haki ya kumiliki ardhi Tanzania bara kwa Utanzania wao, ila ulaazi wa Zanzibar sio wa muungano, ni kwa Wanzanzibari pekee, hivyo Mtanzania wa bara au taasisi ya bara, ikitaka kumiiki ardhi Zanzibar, inamilikishwa kama mwekezaji.
P
 
Waliotemwa wako mtaani na umri mdogo sasa Hata kulima hawawezi.
 

Attachments

  • CCEFEDC0-200C-4C93-892D-A3BEB6C59968.jpeg
    32.9 KB · Views: 6
Wengine amefukuzwa wamekimbilia mahakamani.
Brother P, jitume utoona majibu na Matokeo mazuri kimaisha
 

Attachments

  • 51FBDDF6-EB31-4529-95A1-4F6169D7A925.jpeg
    186.7 KB · Views: 5
Brother P, ukiamua kujituma kiakili na kifkra unaweza kuwa bilionea ukaachana na kusifia kisichosifika.

Udc salary ni basic 3.8m utaipeleka wapi wakati una kichwa chenye uwezo wa kuzalisha mabilioni kwa mwezi?
Kiukweli Peno, watu tunadharauliana sana humu!. Mimi nikiwa New Delhi, niliajiriwa CFO kama LE-1, nikawa posted BHC Dar es Salaam, take home ni 7 figure!, niliacha mwenyewe voluntarily na kuwa busy na PPR, sasa mtu kunifikiria nautafuta u DC ni kama kunitukana!.
P
 
Kuwa raia wa JMT si guarantee ya kuwa utapata ardhi popote ndani ya Tanzania. Ndiyo maana Zanzibar ni sehemu ya JMT lakini raia kamili kutoka Mwanza au Kigoma hawezi kumiliki ardhi Zanzibar. So wazanzibar kuwa raia wa JMT si kigezo cha wao kuwa na "haki zote za Utanzania na kupata ardhi popote."

Kwa mantiki yako ni kwamba watu wa Tanzania bara hawana haki zote za Utanzania kwa sababu hawaruhusiwi kumiliki ardhi katika baadhi ya sehemu za nchi yao!!!
 
Why are you speaking with such authority mkuu? Wewe ni Msemaji wa Serikali ya SMZ? Nani kakupa ruksa ya kutoa matamshi kwa niaba ya SMZ? Yaani unataka kusema haya yote uliyoandika umefanya hivyo kama mfuatiliaji binafsi wa mambo?
 
Hoja nyingine zinatia hasira!. Uraia wa JMT ni uraia wa aina moja!. Haki za kiraia kwa Mtanzania zinafanana kabisa!, kuna Watanzania bara wanajidhania wana haki zaidi kuliko Wanzanzibari!, ni wajinga tuu.
P
 
Kwa sababu ardhi ya visiwani Zanzibar ni ndogo sana sioni kama kuna tatizo wao kumiliki ardhi huku bara !
 
Why are you speaking with such authority mkuu? Wewe ni Msemaji wa Serikali ya SMZ? Nani kakupa ruksa ya kutoa matamshi kwa niaba ya SMZ? Yaani unataka kusema haya yote uliyoandika umefanya hivyo kama mfuatiliaji binafsi wa mambo?
Umelisoma bandiko hili tangu mwanzo?, hukuona the authority niliyoitumia?. Sii wengi wanajua kuwa sisi watu wa media we are an authority of our own!. Sisi ni mhimili!, the fourth Estate or the Fourth Protocol!.
P
 
1. Malawi Cargo Dar.

2. Zambia Cargo Dar na Mtwara.

3. Kumbe ndiyo maana Magufuli alikuwa mjanja akamgomea Museveni kwamba lazima JMT nayo imiliki EACOP Bomba la Mafuta la Hoima Chongoleani badala ya Uganda pekee. Urefu wa bomba 1443 km, 80% ikimilikiwa (iko) JMT na 20% Uganda.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…