Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
PM.JPM alikuwa mzalendo wa kweli wa Tanzania, wengi bado wanamuombea Mungu apumzike kwa amani, mimi nimeisha elezwa alipo Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani ni anakula raha kwa kwenda mbele.
P
Yaani hapa ndio ilitakiwa watanzania waende wakanikatie maeneo maana eneo limetelekezwa Kwa mda mrefu Sasa hivyo wavamizi Wana uhalaliKila nikirudia kusoma majibu ya hao mawaziri wawili, nikitazama na kichwa chako cha habari, naona kuna mkanganyiko mkubwa, wote watatu kuna jambo mnaficha, na maelezo yenu hayajitoshelezi.
Huyo Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi akijibu swali hilo 2014 alionesha wazi hakustahili kuwepo kwenye hiyo nafasi, alikuwa hajui chochote kinacholihusu hilo shamba, yani alikuwa analipwa mshahara wa bure tu.
Majibu ya nyongeza ya Waziri nayo yana ukakasi, kwanza tunajua, ardhi isiyotumika kwa muda fulani kisheria isipotumika inachukuliwa na serikali, lakini kwa hii ya huko Bagamoyo, serikali badala ya kuichukua, wakaimega, nusu ikabaki kwa Wazanzibari, nyingine ikapelekwa kwa wawekezaji, hapa tayari kwa maoni yangu walivunja sheria.
Nikimalizia na kile ulichoandika Mayalla, wewe ndio unatakiwa utuombe radhi kabisa, hilo shamba hata kama serikali haina hati, limetelekezwa miaka 45, lakini bado kupitia majibu ya Waziri hapo juu tumeona kuna portion ya ardhi bado wazanzibari wanaimiliki, sasa kwanini wazanzibari waimiliki hiyo ardhi isivyo halali? wametupora?! if yes, basi serikali yetu Bara imeridhia huo uporwaji.
Sababu Moja ya kijinga sana"tukiruhusu kila Mtanzania kumiliki ardhi Zanzibar, itaelemewa na kuvizamisha visiwa vile"
Ngachoka mavhalee kundesaa
Katoliki kumbe nayo ni nchi?Zanzibar haimiiki eneo hilo kama mwekezaji, Zanzibar inamiliki eneo hilo kama taasisi nyingine yoyote ya Tanzania ambayo inaruhusiwa kumiliki Ardhi. Mtu au taasisi yoyote pia inaweza kumiiki Ardhi kwa ajili ya uwekezaji.
Eneo hilo ni eneo la Tanzania bara, sio sehemu ya Zanzibar.
Eneo hilo sio sehemu ya Zanzibar.
Zanzibar haikupewa kwa ajili ya uwekezaji, Zanzibar ilipewa kwa ajili ya Ranchi ya Makurunge kuhifadhi wanyama wake.
Yes nchi moja inaweza kuwa na eneo nchi nyingine, Guantanamo Bay ni eneo la Marekani ndani ya Cuba. Visiwa vya Falkland ni eneo la Uingereza ndani ya Argentina. Vatican City ni mji Mtakatifu wa Katoliki ndani ya Italy. Nchi za Swaziland na Lesotho, ziko ndani ya Africa Kusini.
Ni kweli kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, haki ya umiliki wa Ardhi Zanzibar ni kwa Wanzanzibari pekee, ila Mtanzania anaweza kumiliki ardhi Zanzibar kama mwekezaji.
Hakuna confusion yoyote!.
P
Pascal sheria inasemaje unapotelekeza eneo? Tujikite hapaHakuna mkanganyiko wowote wala hakuna chochote tumeficha, tatizo ni uelewa hafifu wa wananchi, ndio maana hapa naelimisha.
No sii kweli. Waziri anapewa majibu na wahusika na yote aliyojibu ni kweli tupu.
Ni kweli, ila kuna utaratibu wa serikali kutwaa maeneo, baada ya eneo hilo kupewa Zanzibar, na Zanzibar kulitelekeza, serikali ya JMT haikufuata utaratibu rasmi wa kulitwaa hilo eneo, serikali ilichofanya ni kuwajulisha Zanzibar kwa taarifa kuwa imelimega eneo lao kumpa mwekezaji lakini serikali haikufanya a due process kulitwaa eneo hilo, hivyo Zanzibar wako very right to claim eneo lao lore la ekari 6,000.
It's true ila wote wawili walivunja sheria, Zanzibar wame abandoned the land kwa miaka 45, serikali ikalimega bila kufuata taratibu.
Mimi niombe radhi kwa kosa gani?.
SMZ inalimiliki hilo eneo kihalali kabisa, ila baada ya kulitelekeza serikali yetu ika asume hawalitaki, ikalimega. Aliyepora ni serikali imepora eneo la Zanzibar na kuwapa wawekezaji.
P
Hii hata ukimwambia mtoto wa darasa la pili atakushangaa. Yaani wabara tunachukuliwa poa sanaHahaaa! Hii sayansi mzee mkubwa naona umeiweka vizuri zaidi!
P kumbuka 7 figure inaanzia Millioni Moja Kwa hizi pesa zetu za madafuKiukweli Peno, watu tunadharauliana sana humu!. Mimi nikiwa New Delhi, niliajiriwa CFO kama LE-1, nikawa posted BHC Dar es Salaam, take home ni 7 figure!, niliacha mwenyewe voluntarily na kuwa busy na PPR, sasa mtu kunifikiria nautafuta u DC ni kama kunitukana!.
P
No sio the Big Bang Theory!, ni the Tectonic theory, it's very unfortunately kwenye mitaala ya elimu yetu, hakuna topic ya Tectonic!. Mimi mwenyewe nimesoma HGL, kwenye vitabu vya physical geography, topic ya Tectonic ipo ila haifundishwi, hivyo Watanzania wala Wazanzibari hawajui inchi yao iliumbika vipi na ilimegeka kutokea wapi.Hapa Paskali unaweza kutuweke proof? Dhana ya kwamba Unguja/Pemba zilikuwa Part ya Ardhi ya Tanganyika before erosion au ndiyo Elimu ya kukariri "Big Bang Theory"?
Hayo ya visiwa kuzidiwa na kuzama, ni haya na yale ya Pasco, ila sometimes kwa watu wazito kuelewa unaweza kujikuta unaitwa mahali kuhojiwa!. Kwenye lile bandiko langu humu kuhusu Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? kuna line nilisema "Baadhi ya Wabunge wa viti maalum, wako pale kutimiza tuu yale mahitaji ya kijamii ya kibinaadamu", Spika alikuja juu!, nilipoitwa Dodoma kuhojiwa na kama kamati, niliwafafanulia. Kuna baadhi ya hoja zangu naziwasilisha kwa kutumia tamathali za semi, mfano bandiko hili Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile! watu walishtuka!. Hata nilipopandisha bandiko hili Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe? Wanzanzibari walikuja juu kuuliza kwenye hii ndoa ya muungano, nani mke nani mume?, nikawaambia mke ni aliyeposwa, mume ni aliyelipa mahari, mume ni anayechuma, mke ni golikipa anayepokea!.Visiwa vitazama kwa kuzidiwa na nini?
Hili kiukweli silijui, ninachojua ni Zanzibar ilikuwa sehemu ya Tanganyika, ikamegeka!. Mwarabu akavamia visiwa vyetu, akajifanya ni vyake, mwaka 1964, wanamume wakaingia kazini kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakaikomboa nchi yao, hivyo Mapinduzi Daima, na muungano wetu huu adhimu tutaulinda kwa gharama yoyote!.Hiyo erosion ilitokeaje? Hivi unajua kwamba maji yakitoka ardhi ya Unguja/Pemba kuja Tanga/Dsm ni flat tu wala hakuna bonde? Na yakijaa unaweza kuzamisha hata minazi mitatu kwenda chini?
Figures ya Six figures, zinahesabika tuu zile zero zero!.P kumbuka 7 figure inaanzia Millioni Moja Kwa hizi pesa zetu za madafu
Watu lazima mjifunze kusoma authority!. Bandiko hili limeanza kwa a very high authority!. Taarifa ya Zanzibar kumiliki eka 6,000 Bagamoyo imetolewa na Mkuu wa Kitengo, data za bandiko hili zimetolewa kwenye Mhimili!.Kwani wewe ni msemaji wa SMZ?
No sio the Big Bang Theory!, ni the Tectonic theory, it's very unfortunately kwenye mitaala ya elimu yetu, hakuna topic ya Tectonic!. Mimi mwenyewe nimesoma HGL, kwenye vitabu vya physical geography, topic ya Tectonic ipo ila haifundishwi, hivyo Watanzania wala Wazanzibari hawajui inchi yao iliumbika vipi na ilimegeka kutokea wapi.
Karibu ujiongezee maarifa kuhusu tectonics
Plate Tectonics
Plate tectonics is the study of the lithosphere, the outer portion of the Earth consisting of the crust and part of the upper mantle. The lithosphere is divided into about a dozen large plates which move and interact with one another to create earthquakes, mountain ranges, volcanic activity, ocean trenches and many other features. Continents and ocean basins are moved and changed in shape as a result of these plate movements. View attachment 2647512
Na kinachofuata miaka milioni ijayo ni hiki View attachment 2647517
Kazi ya kumegeka inaendelea and no one can do anything!.
Hayo ya visiwa kuzidiwa na kuzama, ni haya na yale ya Pasco, ila sometimes kwa watu wazito kuelewa unaweza kujikuta unaitwa mahali kuhojiwa!. Kwenye lile bandiko langu humu kuhusu Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? kuna line nilisema "Baadhi ya Wabunge wa viti maalum, wako pale kutimiza tuu yale mahitaji ya kijamii ya kibinaadamu", Spika alikuja juu!, nilipoitwa Dodoma kuhojiwa na kama kamati, niliwafafanulia. Kuna baadhi ya hoja zangu naziwasilisha kwa kutumia tamathali za semi, mfano bandiko hili Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile! watu walishtuka!. Hata nilipopandisha bandiko hili Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe? Wanzanzibari walikuja juu kuuliza kwenye hii ndoa ya muungano, nani mke nani mume?, nikawaambia mke ni aliyeposwa, mume ni aliyelipa mahari, mume ni anayechuma, mke ni golikipa anayepokea!.
Hili kiukweli silijui, ninachojua ni Zanzibar ilikuwa sehemu ya Tanganyika, ikamegeka!. Mwarabu akavamia visiwa vyetu, akajifanya ni vyake, mwaka 1964, wanamume wakaingia kazini kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakaikomboa nchi yao, hivyo Mapinduzi Daima, na muungano wetu huu adhimu tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Vatican ina serikali inaitwa Holy See, inaendeshwa na Theokrasia badala ya Demokrasia.Katoliki kumbe nayo ni nchi?
PMNo sio the Big Bang Theory!, ni the Tectonic theory, it's very unfortunately kwenye mitaala ya elimu yetu, hakuna topic ya Tectonic!. Mimi mwenyewe nimesoma HGL, kwenye vitabu vya physical geography, topic ya Tectonic ipo ila haifundishwi, hivyo Watanzania wala Wazanzibari hawajui inchi yao iliumbika vipi na ilimegeka kutokea wapi.
Karibu ujiongezee maarifa kuhusu tectonics
Plate Tectonics
Plate tectonics is the study of the lithosphere, the outer portion of the Earth consisting of the crust and part of the upper mantle. The lithosphere is divided into about a dozen large plates which move and interact with one another to create earthquakes, mountain ranges, volcanic activity, ocean trenches and many other features. Continents and ocean basins are moved and changed in shape as a result of these plate movements. View attachment 2647512
Na kinachofuata miaka milioni ijayo ni hiki View attachment 2647517
Kazi ya kumegeka inaendelea and no one can do anything!.
Hayo ya visiwa kuzidiwa na kuzama, ni haya na yale ya Pasco, ila sometimes kwa watu wazito kuelewa unaweza kujikuta unaitwa mahali kuhojiwa!. Kwenye lile bandiko langu humu kuhusu Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? kuna line nilisema "Baadhi ya Wabunge wa viti maalum, wako pale kutimiza tuu yale mahitaji ya kijamii ya kibinaadamu", Spika alikuja juu!, nilipoitwa Dodoma kuhojiwa na kama kamati, niliwafafanulia. Kuna baadhi ya hoja zangu naziwasilisha kwa kutumia tamathali za semi, mfano bandiko hili Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha Maumbile! watu walishtuka!. Hata nilipopandisha bandiko hili Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe? Wanzanzibari walikuja juu kuuliza kwenye hii ndoa ya muungano, nani mke nani mume?, nikawaambia mke ni aliyeposwa, mume ni aliyelipa mahari, mume ni anayechuma, mke ni golikipa anayepokea!.
Hili kiukweli silijui, ninachojua ni Zanzibar ilikuwa sehemu ya Tanganyika, ikamegeka!. Mwarabu akavamia visiwa vyetu, akajifanya ni vyake, mwaka 1964, wanamume wakaingia kazini kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakaikomboa nchi yao, hivyo Mapinduzi Daima, na muungano wetu huu adhimu tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
PMArdhi ya Zanzibar ni ardhi ya muungano interns of composition, ila in terms of kumiliki ardhi, sio ardhi ya muungano, ni ardhi ya Wanzanzibari wakaazi tuu, Watanzania wanahesabika ni kama wageni, hivyo wanaweza kumiliki ardhi kama wawekezaji.
Yes, ardhi ya bara ni ardhi ya muungano, kila Mtanzania yuko huru kumiliki.
Sio yote mawili sio, ni moja sio na moja ndio.
Ardhi ya muungano ni ardhi yote ya Tanzania bara, iliyokuwa Tanganyika na ardhi ya Zanzibar ila cha wote ni ardhi ya Tanzania bara, ya Zanzibar ni kwa Wanzanzibari.
Muungano wetu ni muungano unique wenye nchi mbili zilizoungana kuunda nchi moja ya JMT, yenye sehemu mbili, ardhi ya JMT ni adhi yote ya Tanzania bara na Tanzania Visiwani ila kwenye umiliki ardhi ya muungano ni ardhi ya Tanzania bara ndio inamilikiwa na wote wakiwemo Wazanzibari lakini ardhi ya Zanzibar ni kwa Wanzanzibari pekee!.
Ni mawazo mazuri, mchakato wa katiba mpya ukianza, yapeleke.
Asante kunistua.
P
Tulipoungana kwa mujibu wa hati za muungano, tulikuwa na mambo 11 tuu ya muungano, hati zikatamka sheria, taratibu na kanuni za kuongeza au kupunguza jambo lolote la muungano.Mbona mafuta walikataa kwamba siyo ya muungano wakati sisi tukiuza rasilimali za bara wanapata 4.5%? Rasilimali za muungano ni zipi kumbe? Nauliza kwa nia ya kujifunza.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Zanzibar haimiiki eneo hilo kama mwekezaji, Zanzibar inamiliki eneo hilo kama taasisi nyingine yoyote ya Tanzania ambayo inaruhusiwa kumiliki Ardhi. Mtu au taasisi yoyote pia inaweza kumiiki Ardhi kwa ajili ya uwekezaji.
Eneo hilo ni eneo la Tanzania bara, sio sehemu ya Zanzibar.
Eneo hilo sio sehemu ya Zanzibar.
Zanzibar haikupewa kwa ajili ya uwekezaji, Zanzibar ilipewa kwa ajili ya Ranchi ya Makurunge kuhifadhi wanyama wake.
Yes nchi moja inaweza kuwa na eneo nchi nyingine, Guantanamo Bay ni eneo la Marekani ndani ya Cuba. Visiwa vya Falkland ni eneo la Uingereza ndani ya Argentina. Vatican City ni mji Mtakatifu wa Katoliki ndani ya Italy. Nchi za Swaziland na Lesotho, ziko ndani ya Africa Kusini.
Ni kweli kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, haki ya umiliki wa Ardhi Zanzibar ni kwa Wanzanzibari pekee, ila Mtanzania anaweza kumiliki ardhi Zanzibar kama mwekezaji.
Hakuna confusion yoyote!.
P
Naunga mkono hoja.Kujipanga na tukio hilo lililo karibu sana kutukia na kukata mzizi wa mgogoro kuhusu ardhi kati ya Znz na bara napendekeza serikali ya SMZ izindue mpango mkakati wa land fill au ocean reclamation ambao umeokoa UAE iliyoelemewa na population.
Hakuhitajiki ombi lolote UN kufanya land fill,SMZ itafute uwezo wa kutekeleza mradi huu wa land fill na ikibidi iombe UN iiongezee eneo la bahari ya kimataifa ili kutanua mpaka wake.
Naunga mkono hojaKwa njia hii mgogoro unaodhaniwa kuwepo wa Znz kuchukuwa ardhi ya bara utaisha asilani na hata Wabara wengi watahamia Znz kununua hiyo ardhi ya land fill.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app