Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana, yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu. Yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu, nasema hii tabia inakera.

Ndio maana mie huwa napenda kujitenga na wabongo, aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu, unafiki, uzandiki pamoja na ukora tu.

Juzi kuna watu wabongo wajinga wamemchoma mwenzao mpaka ameenda kwa sello kisa jamaa mambo yake yanaenda na anapiga hela nyingi, kwahiyo wajamaa wameamua kumchoma, upuuzi! Nyie wabongo tabia yenu ya kipuuzi huko kwenu muiachane huko huko.
 
Ila wabongo wanachomana sana. Wanawapigia hadi polisi na migration kukuchongea eti urudishwe.

Halafu kuna katabia na hulka flani ka umaskini wabongo wanayo hadi mton. Msosi mtoni siyo big deal lakini eti wanashindana kujaza friji msosi na kuringishiana unabaki kushangaa tu Wtf!
 
Ila wabongo wanachomana sana. Wanawapigia hadi polisi na migration kukuchongea eti urudishwe. Halafu kuna katabia na hulka flani ka umaskini wabongo wanayo hadi mton. Msosi mtoni siyo big deal lakini eti wanashindana kujaza friji msosi na kuringishiana unabaki kushangaa ty Wtf!
Ila wabongo wanachomana sana. Wanawapigia hadi polisi na migration kukuchongea eti urudishwe.

Halafu kuna katabia na hulka flani ka umaskini wabongo wanayo hadi mton. Msosi mtoni siyo big deal lakini eti wanashindana kujaza friji msosi na kuringishiana unabaki kushangaa ty Wtf!
Nikiwa nje ya sio kila mtu wa nyumbani nakuwa na mazoea nae

Wana tabia za kishamba sana
 
🤣🤣nesi mkunga wamekuudh nn asubuh hii,kwa bongo ni asubuh🤔mie nawaheshimu Sana nesi wakunga manake walinisaidia kumleta mwanangu wa pili duniani,daktari alichelewa kufika hospital afu ,dogo alikuwa ashachungulia njia ya kuja duniani🤣Dokta kafika kakuta muuguzi mkunga kashamaliza shughuli yote🙏
 
🤣🤣nesi mkunga wamekuudh nn asubuh hii,kwa bongo ni asubuh🤔mie nawaheshimu Sana nesi wakunga manake walinisaidia kumleta mwanangu wa pili duniani,daktari alichelewa kufika hospital afu ,dogo alikuwa ashachungulia njia ya kuja duniani🤣Dokta kafika kakuta muuguzi mkunga kashamaliza shughuli yote🙏
Aisee
 
Nikiwa nje ya sio kila mtu wa nyumbani nakuwa na mazoea nae

Wana tabia za kishamba sana
Siyo vizuri kuwa kisiwa. Ni vizuri kushosolaiz na kujichanganya kigumu hivyo hivyo.

Kuna nature kama kifo na kuuguwa. Japo mibongo mingi ni mitambo ya umbea hivyo hivyo tu itasaidia.

Lakini tabia zetu mtoni ni mbofumbofu na kukera.
 
Kuna dogo flani nimeshawahi kuletaga uzi humu kitambo kidogo nadhani 2015 au 2016.

Dogo aliletwa mtoni akiwa mdogo kutoka bongo. Anapendaga kushindana na mimi hadi leo. Nampango wa kumuanzishia uzi humu jinsi nilivyomuwin kisaikolojia.

2009 nilipokuwa bado mgeni hapa dogo aliniudhi kichiz. Aliniambia sasa wote mkija huku nani atabaki bongo? Nilimaindi kichiz

Hadi akinunua kitanda ananiringia nabaki kushangaa kitanda tu mtoni jamani.

Kaeni mkao wa kula ntaleta uzi mwengine kumhusu karibuninilivyomuwin kisaikolojia nakumnyamazisha
 
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu nasema hii tabia mkiendelea nae nitamuua mtu hivi hivi kwa ujinga na uzandiki wen...
Sawa wewe non-bongoman
 
Watanzania wengi hawana akili

Nimewahi kusema hapa ya kwamba huko nje kuna fursa kibao ila huwezi ona watanzania waishio huko akiwemo Kiranga wanakusanua kuhusu hilo,wao wamekalia ujinga na uzwazwa tu.

Ukiuliza fursa huko utaambiwa maisha ni magumu kwa kulipa bills,yaani kila ukiluza utaambiwa bills ni tatizo.

KWA KIFUPI.

WATANZANIA WENGI WAISHIO NJE HUKO HASA MAREKANI NI WAJINGA NA MAZUMBUKUKU
 
Mkuu wewe unataka fursa gani? Una qualification gani? Unataka mtu aliye nje akusaidie vipi?
Mkuu Qualification siyo ishu,kuna watu wanaingiza mpunga mrefu na hawana hizo qualification unazotaka wewe.

Fursa zipo kibao,wewe unachotakakiwa ni kuzimwaga humu hapa na namna ya kuzifikia.Tunafahamu kufika huko ndiko tatizo,wewe inapaswa utusaidie namna ya kufika huko kwakuwa unauzoefu hata kama ni kwa pesa tutalipa.
 
Mkuu Qualification siyo ishu,kuna watu wanaingiza mpunga mrefu na hawana hizo qualification unazotaka wewe.

Fursa zipo kibao,wewe unachotakakiwa ni kuzimwaga humu hapa na namna ya kuzifikia.Tunafahamu kufika huko ndiko tatizo,wewe inapaswa utusaidie namna ya kufika huko kwakuwa unauzoefu hata kama ni kwa pesa tutalipa.
Na ushajiridhisha kwamba sijawahi kuzimwaga hapa mpaka ukanitukana hivyo ulivyonitukana?

Au umehemuka tu?
 
Back
Top Bottom