Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshindwa kujibu swali Dogo tu, sasa hata ukipewa fursa una uwezo wa kumuelewesha consular ni kwa nini akupe viza?Mkuu Qualification siyo ishu,kuna watu wanaingiza mpunga mrefu na hawana hizo qualification unazotaka wewe.
Fursa zipo kibao,wewe unachotakakiwa ni kuzimwaga humu hapa na namna ya kuzifikia.Tunafahamu kufika huko ndiko tatizo,wewe inapaswa utusaidie namna ya kufika huko kwakuwa unauzoefu hata kama ni kwa pesa tutalipa.
Namuuliza mtu nikusaidie vipi, halafu yeye bado ananipa mzigo wa kumsaidia anisaidie nijue nimsaidie vipi!Umeshindwa kujibu swali Dogo tu, sasa hata ukipewa fursa una uwezo wa kumuelewesha consular ni kwa nini akupe viza?
Hiyo visa unaweza kunyimwa vilevile hata kama ukimuelewesha consular,jambo la msingi ni kuwsshirikisha watanzania namna gani ya kupata visa kwa urahisi na siyo blah blah.Umeshindwa kujibu swali Dogo tu, sasa hata ukipewa fursa una uwezo wa kumuelewesha consular ni kwa nini akupe viza?
Mkuu wewe unafahamu mambo kibao tu ambayo unapaswa kuwasaidia wabongo wafike huko na kufanikiwa hata kama si mimi,wasaidieni watanzania na muache roho mbayaNamuuliza mtu nikusaidie vipi, halafu yeye bado ananipa mzigo wa kumsaidia anisaidie nijue nimsaidie vipi!
Mpaka hapo kashatuonesha tatizo ni yeye, si mimi.
Hebu tuambie umeshasaidia watanzania wangapi tangu umeishi ughaibuni waliofanikiwa kufika huko kwa msaada wako.Wewe hubebeki, halafu unapenda kulaumu watu wengine kwa matatizo yako mwenyewe.
Nasemaje hapa duniani ukitaka kuwa na amani kuwa mwenyewe mwenyewe tu, shirikiana na watu penye ulazima tu, watu wanakera mno...Siyo vizuri kuwa kisiwa. Ni vizuri kushosolaiz na kujichanganya kigumu hivyo hivyo.
Kuna nature kama kifo na kuuguwa. Japo mibongo mingi ni mitambo ya umbea hivyo hivyo tu itasaidia.
Lakini tabia zetu mtoni ni mbofumbofu na kukera.
Nimekuuliza, wewe ushajiridhisha hizo fursa sijawahi kuziweka hapa?Mkuu wewe unafahamu mambo kibao tu ambayo unapaswa kuwasaidia wabongo wafike huko na kufanikiwa hata kama si mimi,wasaidieni watanzania na muache roho mbaya
Mbona EBM anawapa free consultation gharama bundle lako tu?Hiyo visa unaweza kunyimwa vilevile hata kama ukimuelewesha consular,jambo la msingi ni kuwsshirikisha watanzania namna gani ya kupata visa kwa urahisi na siyo blah blah.
Huu ujuaji ndiyo jamaa anaouzungumzia hapo,mkikaa huko nje huwa mnaonaga watanzania wenzenu ni wajinga na hawana akili.
Kwa kifupi watanzania muishio nje mna roho mbaya sana
Mwaka jana tu nimeingiza wawili. Huo mwaka jana tu.Hebu tuambie umeshasaidia watanzania wangapi tangu umeishi ughaibuni waliofanikiwa kufika huko kwa msaada wako.
Acha uongoMwaka jana tu nimeingiza wawili. Huo mwaka jana tu.
Mkuu habebeki kivipi?Wewe hubebeki, halafu unapenda kulaumu watu wengine kwa matatizo yako mwenyewe.
Sasa hapa umemgeuza Kiranga kuwa UNICEF?Hebu tuambie umeshasaidia watanzania wangapi tangu umeishi ughaibuni waliofanikiwa kufika huko kwa msaada wako.
Mkuu hiyo ndo slogan ninayotembea nayo siku zote...... Watu ni chanzo cha stress....Nasemaje hapa duniani ukitaka kuwa na amani kuwa mwenyewe mwenyewe tu, shirikiana na watu penye ulazima tu, watu wanakera mno...
Huu ujuaji ndiyo jamaa ametoka kuueleza hapo juu.Sasa hapa umemgeuza Kiranga kuwa UNICEF?
Sasa unauliza swali halafu hutaki jibu.Acha uongo
Kama aliyejuzaa anavyokalia dushelele?Mpuuzi wewe na hao wabongo wenzako, Waarabu wa Pemba hujuana kwa Vilemba.