Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Tatizo liko hapa bhangosha, hicho kiinglish unitafisire sasa mi nshapata makengeza....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†.

By the way, Happy June, Happy Summer, Happy half year 2023 πŸ˜‰.
Happy June, Happy Summer and Happy half year 2023.

Hiyo tafsiri naweza Kisukuma tu!
 
Basi ndio umwambie hayo ili akusaidie, mimi huwa ninapata nafasi za kazi za gulf countries na watu kadhaa nimewaunganisha huko, pia huwa napata za Canada ila gharama zake huwa kubwa.
Bei gani mkuu .Niko interested
 
Ukiwa nchi yoyote usimzoee na kuwa karibuni na mtu anayeitwa Mbongo, Mkenya na Mnigeria. Angalau Wakongoman niliwaona kidogo wastaarabu
 
Mamamamee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji13]

Kiranga unashushua asee, sipati picha unachambanana mtu hapo
 
Hahahaha daah
 
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Acha kuwaonea wivu wabongo wanaokaa Ughaibuni chuki zako hazito kusaidia kitu .
 
Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.

And even parents are obligated only to a certain age.

So, when seeking help, humble yourself.

This is a very basic principle in life.
For sure sir[emoji848]
 
duu kama na wewe mgerasi yamekushinda mimi mnubi nitayaweza?
wabongo nuksi!
 
Wanapata wapi muda wa kupiga majungu mbele huko! Muda wanapata wapi? Anyway kila mtu na experience yake huko mbele.
 
Bufa on 1 & 2




Big up
 
Tatizo lako ndiyo hili.

Unajiandikia tu, badala ya kuandika kwa malengo.
We naye fala tu ,kujifaragua kama malaya wa kimboka ,kwanza sidhani hata upo States na kama upo huko ,wewe ndio hao hao malimbukeni kama unaowalalamikia hapa ,wengi mmeopigwa na maisha na mnaishi paycheck to paycheck Kwa minimum wage ,ndio maana mna roho mbaya na chuki za kisenge , mna survive Tu , huna lolote wewe makalio ya nyani wewe .

Na hizo unskilled jobs zenu za kudeki vyoo na kubeba maboksi zinaenda kuisha kama hizo retail na Amazon wanafanya layoffs za maelfu ya watu , huo upuuz wenu wa kudharau watu utaisha tu we subiri tu .
 
Duuh kumbe waswahili hivi?[emoji848][emoji848][emoji15]
 
Hahaaaaaa, jamaa anakomaa na kukosoa uwepo wa Mungu eti ndio mafanikio pekee aliyoyapata huko USA
 
We kiranga watu wanakula za uso pale embassy acha acha....

Consular anakuuliza maswali chapchap hata hasikilizi, utasikia next, hapo umetupwa hakuna cha visa[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…