UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Mkuu ingia kichwa kichwa ule za usoWeeeee usiniambie mkuu, kumbe hao ni majizi. [emoji3064][emoji50][emoji15][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ingia kichwa kichwa ule za usoWeeeee usiniambie mkuu, kumbe hao ni majizi. [emoji3064][emoji50][emoji15][emoji119][emoji119]
Dah we jamaa umeshindikana, unataka msaada bado unabweka kama mbwa wa mitaroniWewe ni Muongo ndiyo maana nimekutumia details umeingia mitini na kuja na sababu kibwena.
Kuna level fulani ya mazoea inabidi iwepo ku maintain maisha mazuri na jamii, yani mtu kujikata kabisa ni vigumu na haifai.Ndivyo anavyodai kuwa walimpandikizia.
Na alivyokamatwa wabongo walifurahia sana hadi wakawa wanaonesha furaha yao waziwazi huko facebook walijua atafungwa.Sasa hivi hana rafiki.mbongo akijisikia kuongea kiswahili anapigia ndugu zake Tz.
Ni kweli nyumbani sio pakupeleka watu hovyo hovyo.
Ndo nilichomaanisha mkuu.Wabongo sio kama ni watu wabaya kuliko mataifa mengine bali mazoea ndo yanaleta shida.Siku zote mtu akikuzoea hata kama unamzid anahisi mnalingana na ndio chanzo cha kuharibiana ili mlingane vizuri.
Binafsi mim hata hapa bongo sipendi mazoea kabisa na majirani zaid ya mambo ya kijamii tu.
Wewe unajiita mwalimu wa tuisheni,hivi unaakili timamu kweli?Dah we jamaa umeshindikana, unataka msaada bado unabweka kama mbwa wa mitaroni
Halafu huyo naye watu wakikataa kumsaidia atalalamika.Dah we jamaa umeshindikana, unataka msaada bado unabweka kama mbwa wa mitaroni
Acha ujuaji wewe umsaidie nani?Halafu huyo naye watu wakikataa kumsaidia atalalamika.
Huna chochote unachoweza kunisaidia zaidi ya kuwa msindikizaji huku uzee ukikunyemelea kwa kasi ya kimbunga,kinachokuumiza akili ni kwamba hakuna la maana ulilofanya zaidi ya sifa za kijinga kutoka kwa ndugu zakoHalafu huyo naye watu wakikataa kumsaidia atalalamika.
Imekaa sawa! Weka juhudi, hakuna ugumu wowote kwenda viwanjani ni kuamua tuWatu kama wakina nani?
Hivi kwa akili yako unadhani nategemea msaada?Huo msaada wapelekee ndugu zako.
Mimi Marekani lazima nije kwa juhudi zangu na uwezo wangu binafsi,nyie endeleeni na roho mbaya zenu na uzwazwa wenu
Hakuna mtu hapo, mawenge tuuHalafu huyo naye watu wakikataa kumsaidia atalalamika.
Kabisa mkuu ni juhudi tuImekaa sawa! Weka juhudi, hakuna ugumu wowote kwenda viwanjani ni kuamua tu
Hivi kumbe katika makaratasi una jaza masocial network?Na siku hizi wana mchezo wa kupitia social networks account zako zote, sasa wale lopolopo na kupost ujinga kazi wanayo.
Mara paap unaomba visa kama muinjilist huku FB uko na totozi.club umeshika michupa ya Moet.Na siku hizi wana mchezo wa kupitia social networks account zako zote, sasa wale lopolopo na kupost ujinga kazi wanayo.
Hakuna msaada hapo!Wewe tulia bhana upewe msaada acha pigo za kirembo, kupinga pinga hoja za msingi. 😊
Michongo ya Uarabuni hiyo kuendesha tracks.EBWANA EEE HAPA KIJIJINI NILIPO KAHAMA..kuna jamaa wawili wanaenda sana nnje kupiga kazi kwenye miradi ni madereva sasa wanavyobana michongo ili wakirudi bongo wanajifanya ma driller sijui makorokocho gani..walichonacho ni michongo na washikaji zao ila kukupa au kuwapa hata ndugu zao ni kazi sana na haijawahi kutokea nanaenda anarudi na kiinua mgongo anakula kinakwisha anakwenda tena...mavyeti mengi ni ya kuforg maana hizo ndio mishe zangu alafu sio smart kiivyo labda ndio maana wanaona wakikupa mchongo itakuwa jau.... wengine ni wanaofanya un yaani hata ndugu zao kuwapa mchongo hakuna....
Achana na PhD za wakina babu taleMara paap unaomba visa kama muinjilist huku FB uko na totozi.club umeshika michupa ya Moet.
Consular anakwambia pita kule, try next time.Mara paap unaomba visa kama muinjilist huku FB uko na totozi.club umeshika michupa ya Moet.
Tayari unakupwita? Mpikie chai basha wako hapo Lumumba jioni upate buku saba yako.Achana na PhD za wakina babu tale