Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Nitawaombea novena wote wanaochezea kodi za watanzania ambao hawana madawa kwa masilahi yao ya kisiasa. OFISI ya spika kuweni makini mtakwenda na maji.
Ukiwa ccm unakuwa na DNA za shetani imagine walifoji barua na saini ya mnyika lakini bado Wana guts za kwenda mahakamani.
 
Acha porojo,hujui kuwa Halima ni Mwanasheria kitaaluma?

Unadhani hajui jinsi ya kuulinda ubunge wake?

Kama mlimfukuza kihuni kama alivyosema Mahakama itamoa haki hake
Kwahiyo atarudishiwa uanachama wake? posho za bunge sawa lkn kuendelea kuwa mpangaji na mwenye nyumba umemfikisha mahakamani hiyo sahau.
 
Najua CDM wana utaratibu wa kuwarudisha wanachama waliofukuzwa kwa makosa mbalimbali, kwanini Mdee na wenzake wasifuate utaratibu huo ili kupata uwanachama wao? wanaweza kushinda kesi kwa sababu judicial under CCM ni rushwa tupu na good chance watashinda kesi, ila wakirudi CDM watapigwa tena kwa kura au kunyimwa ushirikiano na wana CDM, huwezi kulazimisha kukubalika ndani ya chama watafute suluhu tuu kwa utaratibu wa chama sio mahakama mbuzi za CCM
 
mwendazake na ayubu ndio waliolipandikiza jini hili na litaendelea kusumbua sana bomani
Mimi si muhumini wa kuamini 'eti mtu anaathiriwa' na mtangulizi wake NO, kwa nini iwe kwa late ila wengine hatusikii wakiathiriwa!.
 
Wa
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Wanajisumbua , na kuendelea jifedheisha
 
Mbowe alikuwa Ikulu kabla ya mkutanio wa Baraza kuu la Chadema
Waambie serikali ilikua inajua Chadema inaenda kuwa fukuza hawa na ubaya wa hili hadi watu wa Tume ya Uchaguzi walikuwepo mpaka wakati wa hukumu hii!!!..watu wamesahau Kauli ya mama hivi Karibuni!!.. wanadhani mama anataka nini?!!..
 
Acha porojo,hujui kuwa Halima ni Mwanasheria kitaaluma?

Unadhani hajui jinsi ya kuulinda ubunge wake?

Kama mlimfukuza kihuni kama alivyosema Mahakama itamoa haki hake
Anaenda wapi kama yeye hakustahili kuwa viti maalum anaenda wapi kama yeye pia alishiriki kuteua viti maalum ambao hawapo Bungeni?!!..hivi unaweza kuhoji kuna Mahabusu gani anatolewa Gerezani 2 Usiku?!!..unajua hichi ni nini?!!.. Nadhani Halima anajua zaidi kuliko Ndugai?!!
 
Itakuwa ni kama ile ya Zitto na Chadema- Tundu Lissu na Yule wakili sijui nani vile kwa sasa mkuu wa wilaya... nafikiri chadema walisha jifunza zile technicalities za kumfukuza mtu uanachama na kosa si kutenda kosa bali kurudia kosa ndio kosa lenyewe. Isidingo part 3 inasubiriwa kwa hamu sana, Martin Maranja Masese kaa tayari kutuletea habari za mahakamani na viunga vyake...
Zitto Alikua Mbunge wa kupigiwa Kura na wananchi?!!.. Gharama za Uchaguzi Unajua?!!..
 
Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.

The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.

Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P


  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
Kama unakuja hivi, tokea siku ya kwanza had Leo akili yangu imegoma kabisa kuamini eti Hawa covid 19 walijipeleka bungeni ,yule makengeza alicheza trick moja matata Sana tena kwa kiapo kikubwa Sana na hao wabunge.

Nimefuatilia namna halima anavyojibu maswali ya waandishi wa habari Kuna kitu anajitahidi Sana kukwepa na hii ndio silaa yao kubwa .
Mtazame makengeza kwa jicho la kawaida tu unamwona ni mtu mwenye mashaka Sana juu ya hili Jambo .

Utabairi wangu unaniambia makengeza ataenda kuumbuka vibaya mno siku za mbeleni ,kupona kwake kutoumbuka ni kuhakikisha mdee na wenzake wachache km bulaya ,matiko ,kishoa na wajanja wengine wasiopungua wanne wanateuliwa upya na chama kurudi bungeni tofauti na hapo hao wamama watamwaga kila kitu peupe kwa lengo la kila mtu akose ,na endapo ikawa hivyo huo ndio utakua mwisho wa chadema maana hakuna atakaekuja waamini Tena.

Naishia hapa ila akili yangu inaniambia makengeza ndie master wa huu mchezo.
 
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Pascal mnaonekana wajinga!!..majina ya viti maalum yapo lakini hayakupelekwa kwasababu gani?!...Hawa sio viti maalum kwanini wamepeleka majina yao?!!..Nani alifanya haya?!!..
 
Kama unakuja hivi, tokea siku ya kwanza had Leo akili yangu imegoma kabisa kuamini eti Hawa covid 19 walijipeleka bungeni ,yule makengeza alicheza trick moja matata Sana tena kwa kiapo kikubwa Sana na hao wabunge.

Nimefuatilia namna halima anavyojibu maswali ya waandishi wa habari Kuna kitu anajitahidi Sana kukwepa na hii ndio silaa yao kubwa .
Mtazame makengeza kwa jicho la kawaida tu unamwona ni mtu mwenye mashaka Sana juu ya hili Jambo .

Utabairi wangu unaniambia makengeza ataenda kuumbuka vibaya mno siku za mbeleni ,kupona kwake kutoumbuka ni kuhakikisha mdee na wenzake wachache km bulaya ,matiko ,kishoa na wajanja wengine wasiopungua wanne wanateuliwa upya na chama kurudi bungeni tofauti na hapo hao wamama watamwaga kila kitu peupe kwa lengo la kila mtu akose ,na endapo ikawa hivyo huo ndio utakua mwisho wa chadema maana hakuna atakaekuja waamini Tena.

Naishia hapa ila akili yangu inaniambia makengeza ndie master wa huu mchezo.
Mkuu mbwe , heshima ni kitu cha bure!, usitukane watu!, ingawa siungi mkono hoja ya kuwatukana viongozi halali kwa majina ya ajabu ajabu yanayotweza, ila naunga mkono hoja, tena usikute...
P
 
Kwa hiyo majina yao si itabidi yabadilike kutoka Covid - 19 na kuwa Wabunge wa Mahakama?
 
Mkuu mbwe , heshima ni kitu cha bure!, usitukane watu!, ingawa siungi mkono hoja ya kuwatukana viongozi halali kwa majina ya ajabu ajabu yanayotweza, ila naunga mkono hoja, tena usikute...
P
Unga mkono vyote maana akili yako haina tofauti na huyo.
 
Sarakasi zote hizi sababu ni marupurupu na masurufu yanayoambatana na ubunge...
 
Mkuu mbwe , heshima ni kitu cha bure!, usitukane watu!, ingawa siungi mkono hoja ya kuwatukana viongozi halali kwa majina ya ajabu ajabu yanayotweza, ila naunga mkono hoja, tena usikute...
P
Ni fasihi tu mkuu Wala sijabeza mtu .
Naomba ieleweke hivyo .
 
Back
Top Bottom