Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Zitto Alikua Mbunge wa kupigiwa Kura na wananchi?!!.. Gharama za Uchaguzi Unajua?!!..
Ni nacho maanisha ni kwamba, mawakili wa chadema watatoana jasho na mawakili wa utetezi ...kama ilivyokuwa kati ya Lissu na Msando... mwisho wa siku , judge alisema , ukiwa mwanachama wa kikundi, kuna masharti, kanuni , taratibu na miongozo ya kikundi hicho. Hivyo kukiuka hayo huwezi vumiliwa - achilia mbali hizo gharama za uchaguzi...mahakama ina kazi moja tu- kutafsiri kama katiba ya nchi ilivunjwa na kama c19 walipewa due process huko cdm...
Uchungu wa fedha za uchaguzi wanaotakiwa kuzijua ni hao wanao lazimisha kupewa malipo hewa ili hali hawataki kukubaliana na miongozo ya chama chao...
 
TULIA ACKSON ANADHALILISHA SANA UKRISTO, ULOKOLE WAKE PAMOJA NA KANISA LAKE LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD ( T.A.G).

ANAMINYA HAKI BILA AIBU NA KANISANI ANAPEWA SITI YA MBELE.
Ya kaisari mpeni kaisari, ya Mungu mpeni Mungu.

So akiwa kazini, ni kazi tu mambo ya hofu ya Mungu akienda church .
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Kama una taarifa zilizojitosheleza, kwa Nini sasa hao vigogo kadhaa usiwataje?

Tofauti na hapo ni Umbea kama umbea mwingine tu.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
acha wafanye hivyo ili tuwapate wote waliotumika kuchezea pesa zetu,
 
Halima Mdee ajibu maswali yafuatayo.

1. Kikao gani cha Chadema kiliwateua kuwa wabunge wa viti maalum.

2. Kiongozi gani wa Chadema aliandika barua na kujaza fomu za kumtambulisha Halima na wenzake kwa Tume ya Uchaguzi kwamba wameteuliwa kuwa wabunge viti maalum.

Halima Mdee na wenzake wangekuwa WAKWELI basi utetezi wao ungejikita ktk vipengele hivyo muhimu hapo juu.

Wewe nae hacha kuuliza maswali ya hivyo kama mtoto mdogo,unataka kutuambia kwamba wakati wanaenda kuapishwa hakukuwa na list ilyotumwa ya wanaotakiwa kuapishwa na ilikuwa na Sahihi ya aliyewateua kwenda kuapishwa Bungeni?
 
Wewe nae hacha kuuliza maswali ya hivyo kama mtoto mdogo,unataka kutuambia kwamba wakati wanaenda kuapishwa hakukuwa na list ilyotumwa ya wanaotakiwa kuapishwa na ilikuwa na Sahihi ya aliyewateua kwenda kuapishwa Bungeni?

..Chadema wanadai hawakutuma listi ya wabunge wa viti maalum.

..Na hiyo ndio sababu iliyopelekea wawafute uanachama kwa kosa la kujipeleka bungeni bila ridhaa ya chama chao.
 
Mbowe alikuwa Ikulu kabla ya mkutanio wa Baraza kuu la Chadema
Hata Mimi nilikuwepo kwenye majadiliano, agenda ya msingi ilikuwa Ni hao COVID-19, na tulikubaliana na Mh. Rais kuwa Bunge ama serikali wasiingilie maamuzi ya CHADEMA juu ya hao COVID-19, na tulimtahadharisha Mbowe kuwa afate taratibu kwa mujibu wa Katiba yao na hatutowagusa, hayo mengineyo hayatuhusu
 
Jamani kwani nyie hamtaki kuona Ndugai na Mahera wakibananishwa na kibatala mahakamani? mzee mdee na mabinti zake 18 wakilambishwa sakafu?

Acheni iendelee hivihivi dunia ishuhudie unafiki wa nchi inayojifanya inafata sheria na demokrasia
 
CCM wanajimaliza wenyewe.
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Mbona habari nyepesi sana hii?
Kila mtu anajua watakata rufaa.
Kwa akili zako mchakato wa kukata Rufaa pekee Mbunge Mdee mwanasheria mwenye degree 2 hauwezi mpaka apate msaada wa Speaker?
Au unafikiri hawakujipanga mapema?
Au unafikiri hawakujua kama watafukuzwa?

Daaah Poleni sana
 
Kicks of the dying horses...

Halima Mdee hiki ni kipindi cha 4 yuko Bungeni, hana cha kupoteza ila anawaponza wenzake. Let's imagine mahakama ikawapa ushindi, 2025 sio mbali, watagombea kupitia CHADEMA ipi? Au watasubiri tena viti maalum kwa style hii hii.
 
Jamani kwani nyie hamtaki kuona Ndugai na Mahera wakibananishwa na kibatala mahakamani? mzee mdee na mabinti zake 18 wakilambishwa sakafu?

Acheni iendelee hivihivi dunia ishuhudie unafiki wa nchi inayojifanya inafata sheria na demokrasia
Cross examination very soon
 
Ivi kweli wabunge 19 wa chadema kwenda Mahakamani kutetea ugali wao wali hitaji vigogo wa CCM kuratibu!!! Yaani mnatuona watanzania wote ma mbumbumbu?
Asili mia kubwa ya wananchi wanaamini kushambuliwa kwa Lisu zilikuwa hujuma
_Uchaguzi mkuu 2020,ulitawaliwa na hujuma
_Pia asilimia kubwa ya kesi ya ugaidi iliyomkabili Mwenyekiti wa cdm hata kabla MAAMUZI ya mahakama ilikuwa hujuma
_Wananchi sasa wanasubili kama hujuma zitaendelea hata katika hili la kuvuliwa uanachama wa akina Mndee.
Matukio haya yakiendelea yanaweza kuleta ushindi kwa vyama vingine vya upinzani kwa nguvu ndogo tu.Ccm watchout
 
Hao wanawake wajinga wasipokuwa makini sasa wanaenda kuwa maadui wa taifa, hizo kodi za watanzania wanazokula bure huko bungeni wanajitafutia laana.
Sasa laana ipi Imani zingine ni mzigo watu wanakula sadaka itakuwa kodi
 
Back
Top Bottom