Talha
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 202
- 224
Hofu imetujaa ya kutoshinda na hakika kusikilizwa bado ni tatizo.Inauma sana mkuu!
Mkuu, uewahi kujiuliza, ni kwa nini watanzania huwa hatuwezi kuzisimamia haki zetu kwa gharama yoyote...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu imetujaa ya kutoshinda na hakika kusikilizwa bado ni tatizo.Inauma sana mkuu!
Mkuu, uewahi kujiuliza, ni kwa nini watanzania huwa hatuwezi kuzisimamia haki zetu kwa gharama yoyote...?
Ndio tunauliza sasa! Ni kipi kitawafanya viongozi wetu wakifuate na wakiheshimu, pindi kunapotokea mambo kama haya!Katiba mpya ingesaidia vp katika hili au ingezuia vp jambo kama hili kutokea?
Kama unashindwa kuona uhusika wa CCM kwenye huu uhuni, basi ni kweli IQ pamoja na ufahamu wako una walakini.IQ yako wewe ndo imekufanya uilaumu CCM kwa jambo la wabunge wa CHADEMA
CCM inahusikaje hapo?
"Business as usual" Nabii mtenda miujiza kalifia hekalu labda tumsubiri arudi kwa njia nyingineNdugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!
Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??
Au kuna mwenye ziada ya haya??
Naungana naye kuwa IQ yako iko chini sana, kama unashindwa kuelewa hata hili basi huna tofauti na kuku wa mayai ambaye anataga tuu na haulizi yale mengine yako wapi!IQ yako wewe ndo imekufanya uilaumu CCM kwa jambo la wabunge wa CHADEMA
CCM inahusikaje hapo?
Hakika wakongwe walisemaMahakama haijatoa uamuzi bali yanahitajika tu marekebisho
Mi naona aibu kuzaliwa TanzaniaNdugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!
Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??
Au kuna mwenye ziada ya haya??
Bila katiba ni bureBadala upinzani uungane na kushirikiana kutoa hii SISIEM madarakani , huu ni wakati wa kujenga chama na kuunda mikakati ya kuchukua Dola.
ila nasikitika kuona ndo wako buzy kubomoana.
HII NCHII HAKUNA UPINZANI WENYE TIJA NA AKILI WALIOPO NI WAJINGA TU
Ngoja tusubiri majibu.Ndio tunauliza sasa! Ni kipi kitawafanya viongozi wetu wakifuate na wakiheshimu,
pindi kunapotokea mambo kama haya!
Na ikiwa jambo kama hili
lililoamliwa na sheria zetu za
nchi na mahakama ikathibitisha, lkn hakuna
utekerezaji kutoka kwenye
mhumili unaopaswa kutii!
Nani ataisimamia katiba yetu
mpya ambayo tunadhani
inaweza kuwa mwarobaini wa
hayo?
Kiuharisia Speaker hawezi kuwafukuza Bungeni hao covid19 kisa tu kasikia fununu kwamba wameshindwa mahakamani. Bali CDM wanalo jukumu la kuchukua mahakamani copy of judgment kisha wakaipeleka kwa speaker officially ndiyo speaker anaweza kufanya uamuzi stahiki. Elewa hilo mkuu acha lawama kwa jambo ambalo halihitaji lawama.
Ndugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!
Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??
Au kuna mwenye ziada ya haya??
Ivi mkt alizuia Maandamano pia?Ndugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!
Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??
Au kuna mwenye ziada ya haya??
Na ikiwa ni hivi usemavyo! Basi wao na wanaowalinda wavunja katiba, lao moja na hawatustahili wote!Ivi mkt alizuia Maandamano pia?
Mbona unaleta habari za wanawake hapa kaka..?Kaka tafuta ela, Achana na mambo ya wanawake,
Awali ya yote Spika Litakuwa KUTOA tamko mara tu mahakama ilipotupilia mbali. Kinyume Kuna amri anasubiria!!Ndugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!
Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??
Au kuna mwenye ziada ya haya??
Mahakama haijatoa uamuzi bali yanahitajika tu marekebisho
Unamaanisha kina kivuli kinamlinda spikaAwali ya yote Spika Litakuwa KUTOA tamko mara tu mahakama ilipotupilia mbali. Kinyume Kuna amri anasubiria!!
Mbona unaleta habari za wanawake hapa kaka..?
Tunazungumzia hatima ya Taifa letu linalojumuisha jinsia zote mkuu!!
Na kila jinsia inaumhimu sawa na nyingine