Wabunge 19 ni sawa na watumishi hewa kwa kuwa hawatambuliki kokote

Wabunge 19 ni sawa na watumishi hewa kwa kuwa hawatambuliki kokote

Katiba mpya ingesaidia vp katika hili au ingezuia vp jambo kama hili kutokea?
 
Katiba mpya ingesaidia vp katika hili au ingezuia vp jambo kama hili kutokea?
Ndio tunauliza sasa! Ni kipi kitawafanya viongozi wetu wakifuate na wakiheshimu, pindi kunapotokea mambo kama haya!

Na ikiwa jambo kama hili lililoamliwa na sheria zetu za nchi na mahakama ikathibitisha, lkn hakuna utekerezaji kutoka kwenye mhumili unaopaswa kutii!

Nani ataisimamia katiba yetu mpya ambayo tunadhani inaweza kuwa mwarobaini wa hayo?
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??
"Business as usual" Nabii mtenda miujiza kalifia hekalu labda tumsubiri arudi kwa njia nyingine
 
IQ yako wewe ndo imekufanya uilaumu CCM kwa jambo la wabunge wa CHADEMA

CCM inahusikaje hapo?
Naungana naye kuwa IQ yako iko chini sana, kama unashindwa kuelewa hata hili basi huna tofauti na kuku wa mayai ambaye anataga tuu na haulizi yale mengine yako wapi!
 
Mahakama haijatoa uamuzi bali yanahitajika tu marekebisho
Hakika wakongwe walisema
JamiiForums1648251390.jpg
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??
Mi naona aibu kuzaliwa Tanzania
 
Badala upinzani uungane na kushirikiana kutoa hii SISIEM madarakani , huu ni wakati wa kujenga chama na kuunda mikakati ya kuchukua Dola.

ila nasikitika kuona ndo wako buzy kubomoana.


HII NCHII HAKUNA UPINZANI WENYE TIJA NA AKILI WALIOPO NI WAJINGA TU
Bila katiba ni bure
 
Ndio tunauliza sasa! Ni kipi kitawafanya viongozi wetu wakifuate na wakiheshimu,
pindi kunapotokea mambo kama haya!
Na ikiwa jambo kama hili
lililoamliwa na sheria zetu za
nchi na mahakama ikathibitisha, lkn hakuna
utekerezaji kutoka kwenye
mhumili unaopaswa kutii!
Nani ataisimamia katiba yetu
mpya ambayo tunadhani
inaweza kuwa mwarobaini wa
hayo?
Ngoja tusubiri majibu.
 
Kiuharisia Speaker hawezi kuwafukuza Bungeni hao covid19 kisa tu kasikia fununu kwamba wameshindwa mahakamani. Bali CDM wanalo jukumu la kuchukua mahakamani copy of judgment kisha wakaipeleka kwa speaker officially ndiyo speaker anaweza kufanya uamuzi stahiki. Elewa hilo mkuu acha lawama kwa jambo ambalo halihitaji lawama.

..Spika aliwahi kufafanua hapa.

..hakuna ulazima wa Cdm kumpa taarifa ya maamuzi ya mahakama.

 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??

Kaka tafuta ela, Achana na mambo ya wanawake,
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??
Ivi mkt alizuia Maandamano pia?
 
Ivi mkt alizuia Maandamano pia?
Na ikiwa ni hivi usemavyo! Basi wao na wanaowalinda wavunja katiba, lao moja na hawatustahili wote!

Lakini ili kuleta heshima, hili ni la kupinga kwa nguvu zote!
 
Kaka tafuta ela, Achana na mambo ya wanawake,
Mbona unaleta habari za wanawake hapa kaka..?

Tunazungumzia hatima ya Taifa letu linalojumuisha jinsia zote mkuu!!

Na kila jinsia inaumhimu sawa na nyingine
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??
Awali ya yote Spika Litakuwa KUTOA tamko mara tu mahakama ilipotupilia mbali. Kinyume Kuna amri anasubiria!!
 
Katiba mpya yenyewe ije tu, make tusiyoweza kuyatetea ni machache tu ambayo yanahatarisha maslahi ya wanasiasa.
 
Mbona unaleta habari za wanawake hapa kaka..?

Tunazungumzia hatima ya Taifa letu linalojumuisha jinsia zote mkuu!!

Na kila jinsia inaumhimu sawa na nyingine

Hatma ya taifa Kwa watu 19 Tu?
 
Back
Top Bottom