Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Kwani aliepo madarakani ni yule dhalimu wako?

Ni msaidizi wa dhalimu, ni hivi dhalimu ni dhalimu hata ukeshe hapa mtandaoni huwezi kubadili ukweli huu.
 
Mihemko kama sukuma gang wanavyohemka..

Pili mwenyekiti ni kitengo 😬😬
 
Kwani wakiingia humo bungeni,mkiwa humuwatambui mnaumia nini?
Achaneni nao endeleeni na mambo yenu

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Wanaoumia ni wananchi wote wanaolipa kodi.kwasababu zinazotumika kuwalipa hao watu ni kodi tunazozilipa wananchi wote wazee kwa vijana.Chadema wanaweza wakaamua kukaa kimya kama hao watu uwepo wao haukihusishi chadema na chadema wakaendelea na mambo yao maana wao hawatoi ata shilingi kwenye kuwahudumia.ila je ni sawa mwananchi kugharamia maslahi ya mtu kwenye taasisi ya umma ambaye uwepo wake umekiuka taratibu.
 
Zile Nchi za kijinga kama Nchi gani?
 
Kwenye kifo cha Magu ulikuwa unademka kwamba ni karma ila hapa hutaki kuamini kma ni karma?
Naomba unipe hiyo quote otherwise utakuwa unaongelea nonsense. Wewe kila habari ni Magufuli, nimeshamtaja hapa? Ungekuwa mama Janeth pengine ningekuelewa
 
Maadam jambo hili limefika mahakamani, ngoja mahakama itoe maamuzi ya mwisho wasije kusema wameonewa.

It is the last kicks of a dying horse.
Hii kesi itachukua miaka mitatu kuisha, ni hadi 2025 july ndio uamuzi utatolewa kuwa chadema wameshinda kesi na wakina halima kufukuzwa
 
CDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
 
Wengi mpo gizani, kesi hii ikichukuwa muda mrefu ni miezi mitatu tu, muulize ofisa wa mahakama yeyote unayemjuwa.
Sawa mkuu, wewe upo kwenye mwanga. Kwamba figisu za nchi hii ni wewe tu unazijua!
 
Hao wengine unaowataja walienda mahakamani? au kwa kuwa katiba ya chadema haiitambui mahakama basi na nyie hamuitambui?
 
Unapaswa kujua tu kuwa hao wabunge bado wanahitajika huko.
Hiyo kesi yenyewe kuja kuisha 2025.
Wangekuwa hawaitajiki wangeshaondolewa faster tu, kama spika tu aliondolewa faster tu kwa hao Wala isingeshindikana
Mkuu Memento, kwaantiki hiyo unatuambia kuwa hawa ni muhimu sana zaidi ya Spika? Hata huyu aliyepo anaweza kuondolewa na Serikali faster?
 
Serikali inaendeshwa kihuni
CHADEMA, na hasa Mbowe, sasa ni lazima wajue kuwa hakuna kilichobadilika, ila namna tu ya utekelezaji wa hujuma ndiko kulikobadilika.
badala ya kuwaponda vichwa na kuwatupa gerezani, sasa wanaitwa ikulu na kupewa chai na lugha nyororo sana ya kuwatia usingizi.

Mbowe ni lazima aogope sana.
 
Lissu alishasema Kuwa Chifu Hangaya hana nia ya maridhiano bali analazimishwa na mabeberu.
 
Maadam jambo hili limefika mahakamani, ngoja mahakama itoe maamuzi ya mwisho wasije kusema wameonewa.

It is the last kicks of a dying horse.
Na mahakama itakapoamua kuimaliza hii kesi 2025, sijui itakuwaje mkuu Quinine?
 
Maigizo hayataisha Tanzania CHADEMA wakomae wao Kama wao ova.
Kwamba BUNGE linasema kumfuta mwanachama Uanachama tufuate KATIBA ya Nchi na Si ya CHAMA tena? Ivi mnajua ni Kodi zetu mnapoteza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…