ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kumbe hata hoja hauna.Majina yalitoka tume kwenda Kwa spika
So kama kuna kuchimbika means kutaanzia tume
Na serikali haiwez kuingia kwenye aibu hiyo just because kufurahisha chadema
Tena chadema ambayo haina nguvu yoyote now
Kumbe hata hoja hauna.
Na mikopo yote wow
Yan mhimili mkubwa unaweza kuibiwa na wadada 19 aisee hatari sana
Tulia Anasema NiniNadhani bunge linataka kujitakasa!
Hawa 19 wanaweza kutumiwa na maadui.
Comment ya mwaka hii. Hata kina Sirro na Kingai walijua kesi ya Mbowe ni “slam dunk case”. Hawakujua kuwa hirizi waliyokuwa nayo tayari ni expired!Wanasema ni heri upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga
Kabudi.
Bashiru.
Polepole.
Ndugai.
Sabaya.
Mtoto wa Dada.
Covid19 .
Hawa watu wanapitia wakati mgumu sana tuwaombee.
Kama
Hivi umesahau kipindi Cha Magufuri kilikuwaje? Kulikuwa hakuna mhimili Wala nini. Hivyo Mambo ya hovyo yalikuwa yanakingiwa kifua as long as Yana waumiza CHADEMA.
Unakumbuka kioja Cha Mwambee. Mwambee mbunge wa ndanda alihama CHADEMA na kuhamia ccm, Tena akakabidhiwa na kadi hadharani na kiongozi wa chama. Mwambe kwa ustaarabu akajiondoa kwenye ubunge. Cha kushangaza spika Ndugai akamwita arejee bungeni Kama mbunge wa CHADEMA. Kama Hilo lilitokea sembuse kuwalipa wabunge hewa?.
Naamini chama kinafahamu, usishangae 2025 wakaweka na kugombea ubunge
Majina yapi au yale ya Mchongo ? Shame...How hujuma ? Tume wakileta barua ya majina ya viti maalum ambayo chadema walipeleka utabakia na msimamo huo.?
Majina yapi au yale ya Mchongo ? Shame...
Mzee Mdee ataunga mkono juhudi za Zitto Kabwe
Pole ndugu,Nyie si mko ki uharakati Tu?
Basi na uchaguzwi ufutwe, nyie si mliokota Kura fake kibao Tu hahahaha
Shida ya vijana wa chadema mko kiuharakati zaidi ndio maana mambo mengi mnapigwa na viongozi wenu
Pole ndugu,
Hii ndio hasara tuliyoachiwa na mungu wa Burigi aliyeamini katika ukandamizaji na kukomoana.
Hata katiba hii mbovu iliyopo haizuii vyama vya siasa kufanya harakati/mikutano/maandamano.
Uoga wenu baada ya kupoteza mvuto ndio unawanya muwe hivyo. Katiba MPYA yaja na nina hakika utatibiwa kwa faida yetu wote kama TAIFA.
Wewe wasema. Viongozi wetu wamefunguliwa kesi, kupigwa risasi na wengine kufilisiwa Mali zao Kama Mh Mbowe. Kwa magumu wanayopitia hata wakitupiga Ni halali yao.
And this time itakuwa the same mtaambiwa vumilieni mpaka 2025
Watajiuzulu!Haya ngoja wamalize hao chadema tuone si tuko hapa hapa
Ndugu,Katiba inaruhusu mikutano
Mbona hamfanyi now?