ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Hawa covid 19 ni wanufaika wakuu, wa Hiki kinachoitwa maridhiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wahujumu kama wahujumu wengine waliopo magerezaniKumbe waliwazidi akili Chadema, sasa hilo halitakiwi, wangechukua hizo nafasi kwa utaratibu wa chama kuliko kutolewa gerezani na kuapishwa kuwa Mbunge huoni kuna uvunjivu wa sheria? kama ndivyo kwa nini waendelee kuwa Bungeni.
Covid kosa lao ni kukataa kutii amri haram ya CHADEMA kuwa wasiotambue Serkali halali. Kumbuka orodha ya vitomaalum hutolewa nackuopewa Tume ya Uchaguzi kabla hata ya uchaguzi, kinachobaki ni kuchukua the top number (in this case 19) baada ya matokeo kutangazwa chama kinastahili viti maalum vingapi. Wote wakuu walishindwa kihalali - mbowe, msigwa, sugu, lema, heche, zitto, mbatia ubungeni na tundulissu urais - iliwauma sana khasa baada ya majivuni yao.Kiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge halali kabisa kwa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wasubiri matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!.
P
Mjane asiyetambulika rubondoCovid kosa lao ni kukataa kutii amri haram ya CHADEMA kuwa wasiotambue Serkali halali. Kumbuka orodha ya vitomaalum hutolewa nackuopewa Tume ya Uchaguzi kabla hata ya uchaguzi, kinachobaki ni kuchukua the top number (in this case 19) baada ya matokeo kutangazwa chama kinastahili viti maalum vingapi. Wote wakuu walishindwa kihalali - mbowe, msigwa, sugu, lema, heche, zitto, mbatia ubungeni na tundulissu urais - iliwauma sana khasa baada ya majivuni yao.
Ngosha au unaogopa kuitwa tena kuhojiwa na spika?wabunge halali kabisa
Wewe sijui ni kuchoka akili au kukwama kiuchumi hivyo kutafuta style ya kutokea kwa njia zile vijana waitazo uchawa!Kiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge halali kabisa kwa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wasubiri matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!.
P
Tena sema mfano wa malaika anayejigeuza kuwa shetaniWewe paskali mayala ni mfano halisi wa mtu mzima hovyo.
Ashakata tamaa ya maisha maana alitegemea yule Mungu wao angempatia teuzi lkn haikuwaWewe sijui ni kuchoka akili au kukwama kiuchumi hivyo kutafuta style ya kutokea kwa njia zile vijana waitazo uchawa!
Hivi mbunge si lazima atokane na chama cha siasa? Na siku zote hapa nchini yule ambaye hana chama anapoteza ubunge?
Pasco sio kwamba huelewi ila unawatafuta watu wakunenee mabaya bure!
Akili zako sijui huwa zimehifadhiwa wapi humo.mwilini mwakoKiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge halali kabisa kwa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wasubiri matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!.
P
Nyodo kama hizi Rais Tolbert wa Liberia na chama chake walikuwa nazo na wakawa hawaheshimu katiba wala sheria. Hakika watu walichukia lakini walishindwa kuwaondoa kwa kura kutokana na mbinu zao kama hizi za ccm.Baada ya miaka 100 hakuna atakaekuwepo. Labda wayafungulie kesi makaburi yao. Halafu futa wazo la chama kingine kuingia madarakani hivi karibuni. CCM bado ipo sana.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Covid kosa lao ni kukataa kutii amri haram ya CHADEMA kuwa wasiotambue Serkali halali. Kumbuka orodha ya vitomaalum hutolewa nackuopewa Tume ya Uchaguzi kabla hata ya uchaguzi, kinachobaki ni kuchukua the top number (in this case 19) baada ya matokeo kutangazwa chama kinastahili viti maalum vingapi. Wote wakuu walishindwa kihalali - mbowe, msigwa, sugu, lema, heche, zitto, mbatia ubungeni na tundulissu urais - iliwauma sana khasa baada ya majivuni yao.
Naaam,Michepuko ya Jiwe
Kadhalika CDM aliyewaroga, kashindwa kunufauka na ulozi wake, Kama ulivyo kwa wachawi wengine..Wana ccm walisharogwa
Hizi ngonjeraa hazisaidiiii. Pia acheni kuwatukana eti niwahijum uchumii. Kama niwahijum uchumii Kwa Nini hamjawafungulia kesi ya uhujumu uchumi mahakamaniii??Leo hii kina mama wa cdm maarufu kama Bawacha wameandamana kuujulisha umma dhidi ya hujuma za covid 19.
Naamini kama watatokea wakashitakiwa kiukweli kabisa kabisa na haki ikatendeka basi hawa kikombe cha uhujumu hakitawaepuka.
View attachment 2617591
Vuvuzelas as usual![emoji107]Kiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge 19 wa viti maalum Chadema, ni wabunge halali kabisa kwa mujibu wa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wanaoandamana sasa, ningewashauri wasubiri kwanza matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!, ndipo waandamane.
P
Wewe acha kujitoa ufahamu halafu mwanasheria .Kiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge 19 wa viti maalum Chadema, ni wabunge halali kabisa kwa mujibu wa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wanaoandamana sasa, ningewashauri wasubiri kwanza matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!, ndipo waandamane.
P
Leo hii kina mama wa cdm maarufu kama Bawacha wameandamana kuujulisha umma dhidi ya hujuma za covid 19.
Naamini kama watatokea wakashitakiwa kiukweli kabisa kabisa na haki ikatendeka basi hawa kikombe cha uhujumu hakitawaepuka.
View attachment 2617591