Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Inawezekana kilichomsibu utotoni baada ya baba yake kunyakuliwa ndicho kimemfanya awe hivi alivyo.Mkuu nakushauri wacha kupoteza calories zako bure kumuelewesha Pascal.
Maana kamwe hatokuelewa kwani ayafanyayo ni makusudi kujandalia mkate wake wa kesho.