Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #101
Mkuu mtu akiingia kazini kupitia mlango wa nyuma lazima atakuwa mtumwa wa aliye muingiza kazini kwa njia haramu.Mwenye makosa makubwa ni spika ambaye anavunja katiba kwa kutotekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na katiba.
Huyu subwoofa aliingizwa na Jiwe maana kabla ya hapo hakuna aliemjua Betina