gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Kwahiyo Cdm waliteua hadi mtu aliyeko magereza.Acha kujiaibisha.Wewe ndio ujui kama lilifanyika, Mimi najua lilifanyika na majina waliteua wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Cdm waliteua hadi mtu aliyeko magereza.Acha kujiaibisha.Wewe ndio ujui kama lilifanyika, Mimi najua lilifanyika na majina waliteua wenyewe
Kwahiyo Cdm waliteua hadi mtu aliyeko magereza.Acha kujiaibisha.
Bado hujaeleweka naomba tulia andika vizuriHao wanachama walioandamana hawajitambui. Hakuna uhujumu wowote kwasababu hata kama kina mdee wasingewazidi akili lazima michepuko, ndugu, na wake za vigogo wa CHADEMA wangechukua hizo nafasi. Kwanza hata katika hilo kundi la Covid19 kuna mke wa Kigaila ambaye ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA.
Haya uliyo andika ndiyo tunaitaga mawazo ya vijiwe samri au vijiwe vya wavua chaza.Siasa zetu ni nafasi za ulaji tu,
Waacheni watu wajipatie kipato.
Wakiondoka hiyo pesa wanayopata mtachakua nyinyi.?
Si itatafunwa tu na wajanja.
Acheni wivu fanyeni kazi.
Wewe Pascal Mayalla nguli wa masuala ya kisheria nini kimekupata siku hizi?Kiukweli tuna wanachama wenye akili za ajabu sana humu kwenye vyama vyetu, wale ni wabunge 19 wa viti maalum Chadema, ni wabunge halali kabisa kwa mujibu wa taratibu zote za kibunge!. Wanawake hawa wanaoandamana sasa, ningewashauri wasubiri kwanza matokeo ya kesi iliyopo Mahakamani!, ndipo waandamane.
P
Is your statement FACT or OPINIONHao wanachama walioandamana hawajitambui. Hakuna uhujumu wowote kwasababu hata kama kina mdee wasingewazidi akili lazima michepuko, ndugu, na wake za vigogo wa CHADEMA wangechukua hizo nafasi. Kwanza hata katika hilo kundi la Covid19 kuna mke wa Kigaila ambaye ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA.
Lete evidencesWewe ndio ujui kama lilifanyika, Mimi najua lilifanyika na majina waliteua wenyewe
Lete evidences
Mwenye makosa makubwa ni spika ambaye anavunja katiba kwa kutotekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na katiba.Mkuu hawa wanajandalia kesi ya uzeeni tu maana jinai haifutiki hata baada ya miaka 100.
Siku ukiingia uongozi wa chama tofauti na ccm basi hawa lazima watalipa fedha za watanzania.
Hujielewihawana kazi za kufanya, wameenda kutingisha vitako vyao pengine wapate wanaume wa kuwatongoza. Mtu mzima na akili zako utaenda kufanya vitu vya kipumbavu km vile.
Mwenye makosa makubwa ni spika ambaye anavunja katiba kwa kutotekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na katiba.