hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Mtu alitolewa gerezani usiku na kwenda kula kiapo ili awe mbunge!
Sasa tunajiuliza nini kilikuwa kimemuweka gerezani?
Au hukumu ya mahakama ilifanyika usiku usiku?
Au alikuwa gerezani bila kuwa na hatia?
Kwani kiapo kilifanyika usiku?