Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Inawezekana kilichomsibu utotoni baada ya baba yake kunyakuliwa ndicho kimemfanya awe hivi alivyo.Mkuu nakushauri wacha kupoteza calories zako bure kumuelewesha Pascal.
Maana kamwe hatokuelewa kwani ayafanyayo ni makusudi kujandalia mkate wake wa kesho.
Huna mpango wewe sukuma gang
Wewe ungeteuliwa Ubunge wa viti maalum ule shavu miaka mitano na kiinua mgongo cha milioni 300 pamoja na hao mnaowaonea gere na kuwaita Covid-19 ungegoma?Umeandika uhuru na mzalendo lkn upupu mtupu
Sukuma gang wote mmevurugwa na coronaWewe ungeteuliwa Ubunge wa viti maalum ule shavu miaka mitano na kiinua mgongo cha milioni 300 pamoja na hao mnaowaonea gere na kuwaita Covid-19 ungegoma?
Jibu kutokana na hiari ya moyo wako.
Sukuma gang mshamba
Ndugu yako amekufa huko nenda msibani wewe acha kutupigia kelele.Habari za kumsujudia eti mke wa kiongozi sijui nani hayo yapo kwenu waramba miguu wa uvccm na sukuma gang
Sasa hivi ni kiongozi wa Malaika huko mbinguni. Wewe bado unaendelea kuumia tuuu na ushoga wako!!Jiwe sasa hivi lishageuka mavumbi