Wabunge akina nani walipata ajali Dodoma

Wabunge akina nani walipata ajali Dodoma

Kwa nini majina ya wabunge wetu waliopata ajali wakiwa safarini kwenda Kenya kwenye michezo hayajatajwa? Kuweka siri majina yao kunaashiria nini kwa mustakabali wa Taifa?

Ni haki yetu wananchi kufahamu maendeleo ya afya za viongozi wetu na kutuficha ni makosa!
wanaficha kwa sababu ya kisiasa tu wengine labda wamepta ulemavu, japo wanafanya kosa kuwaficha majina tunatakiwa tuwafahamu maana wanahudumiwa kwa kodi zetu
 
Kwa nini majina ya wabunge wetu waliopata ajali wakiwa safarini kwenda Kenya kwenye michezo hayajatajwa? Kuweka siri majina yao kunaashiria nini kwa mustakabali wa Taifa?

Ni haki yetu wananchi kufahamu maendeleo ya afya za viongozi wetu na kutuficha ni makosa!
Majina ya majeruhi haya hapa msikilize kamanda Katabazi:
View: https://youtu.be/skscjPrmLio
 
Hizo hospital walizomo kwa nini zisiporomoke kama lile ghorofa? Ninajua lazima wazalendo waliokuwa wamelazwa humo kabla ya hawa wa bus sasa hivi ama hawapatiwi huduma ama wamehamishiwa kwenye zahanati na hawapokelewi tena kwa sasa.
 
Ni watunga sheria, kuwakilisha wananchi, kutetea SERIKALI YAO WANAPOTAKA KUUZA NCHI. Kwa hiyo lazima wafichwe na kulindwa sana.
😄 🤣 what a joke 😃
Watunga sheria wanapata ajali za kizembe na wao ndio waliotakiwa kuwa waangalifu zaidi
Kila leo ajali na wanalijua hilo ila hakuna wanachokifanya
Hizo nguvu kwanini wasiwawajibishe mkuu wa polisi na waziri wake?

Ajali za kizembe mpaka lini
 
Back
Top Bottom