900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
wanaficha kwa sababu ya kisiasa tu wengine labda wamepta ulemavu, japo wanafanya kosa kuwaficha majina tunatakiwa tuwafahamu maana wanahudumiwa kwa kodi zetuKwa nini majina ya wabunge wetu waliopata ajali wakiwa safarini kwenda Kenya kwenye michezo hayajatajwa? Kuweka siri majina yao kunaashiria nini kwa mustakabali wa Taifa?
Ni haki yetu wananchi kufahamu maendeleo ya afya za viongozi wetu na kutuficha ni makosa!
walimtukana sana Lisu sasa nawenyewe waonjeUkiona anachechemea ndiye ๐ผ
Majina ya majeruhi haya hapa msikilize kamanda Katabazi:Kwa nini majina ya wabunge wetu waliopata ajali wakiwa safarini kwenda Kenya kwenye michezo hayajatajwa? Kuweka siri majina yao kunaashiria nini kwa mustakabali wa Taifa?
Ni haki yetu wananchi kufahamu maendeleo ya afya za viongozi wetu na kutuficha ni makosa!
Wabunge hao hapo:Kwa nini majina ya wabunge wetu waliopata ajali wakiwa safarini kwenda Kenya kwenye michezo hayajatajwa? Kuweka siri majina yao kunaashiria nini kwa mustakabali wa Taifa?
Ni haki yetu wananchi kufahamu maendeleo ya afya za viongozi wetu na kutuficha ni makosa!
Wote wanaochechemea kuanzia leo waitwe Waishimiwa.Ukiona anachechemea ndiye ๐ผ
๐ ๐คฃ what a joke ๐Ni watunga sheria, kuwakilisha wananchi, kutetea SERIKALI YAO WANAPOTAKA KUUZA NCHI. Kwa hiyo lazima wafichwe na kulindwa sana.
Saasisha mafue shonza juliana Catherine magige