Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Wanafiki wakubwa hawa, mpaka wavunje likatiba lao la 2010 ndo mambo yatakwenda kama wanavyotaka, vinginevyo Tanganyika hiyoooo inakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali 3 mwiko.
I always desire to be wise...I also pray to be wise! Kuna wakati ni rahisi sana kujikuta umepitwa na mambo ukawa kituko cha historia. Historia inaandikwa na matukio kama haya...tutumie busara sio hizo mbinu za kale za kishirikina zisizo na nafasi kwenye modern times. Hoja zijibiwe kwa hoja na sio viroja.
Mkuu hujachelewa rudi shule