Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamefurahi Kanumba kufa?


This's da most bizarre.. eccentric.. flakey.. flaky.. freakish.. gonzo.. off da wall.. outlandish and outre story i hv ever heard..!!
 
Mie binafsi najua lulu anahaki ya kutetewa lakini la Halima kijiingiza huko naona si sawa madhara yake ni makubwa kisiasa kwa upande wake kuliko faida atakayopata (sifa)
 

Pole, unabahati mbaya sana, na huenda wewe ni mmoja ya watu walioenda kufanya fujo polisi osterbay kutaka mtuhumiwa atolewe ili wamuue, kwa faida yako tu coz najua hujui, daima aliekuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kukutwa na umauti wa gafla, huwa ni mtuhumiwa wa kwanza kwenye mauaji husika, ndo mana hata wale wanaofia gesti (mfano yule mzee wa arusha, Ditopile) wale waliokuwa nao wanasumbuliwa na polisi hadi pale ushahidi unapokamilika. mlishabikia Zombe muuaji mkataka anyogwe mbona leo mpo kimya. Ushasukumizwa mara ngapi na kuanguka? mbona kujafa? nakushauri uuzuie moyo wako usiongozwe na hulka na hasira coz unahatarisha afya yako, wengine wapepata pressure kwa ajili ya hasira.
 
Acha unazi kwa Lulu, kama watunga sheria wananza kuwa wanaharakati ni tatizo wao wangekaa kando sheria ichukue mkondo wake si kuanza kuutangazia umma kwa wanataka kumnasua wao ndio waliomtuma kuna watuhumiwa wangapi wakike nchini wenye kesi kama ya Lulu?
 

Too low broda
 

jamani mbishane kwa hoja basi, maana kila mtu akianza kuporomosha mitusi hapa kama tupo kwenye kampeni patakalika kweli? wakati mwingine mtu anaweza kuongea kitu kikakuudhu ila sasa mitusi inazidi. yaani hapo umeanza kitangulizi. NIWALAMBE NISIWALAMBE? taratibu jamani.
 

Hujanielewa concern yangu mkuu. Siwezi ua mtuhumiwa wkt nafahamu presumption of innocence. Tungependa fair trial ifikiwe. Itafikiwa kwa kuwa na uchunguzi huru na mahakama competent iliyo huru pamoja na defence makini. Kesi bado, watu wanadaka walead mashtaka. Watanzania tujifunze kuheshimu utawala wa sheria. Huu ndo msingi, wanasiasa wa leo watapita, lkn utawala wa sheria utadumu na kimsingi ndio wenye tija kwa kizazi cha sasa na kijacho. Tuachane na double stds na umaarufu wa kuokoteza. Hilo tu mkuu.
 
Lulu hana kesi ya kujibu,kimazingira inaonesha wazi kabisaa,hawawezi mkumtia hatiani hata kwa kesi ya manslaughter,ila walichofanya ni kumhifadhi kumuepusha na shari ya wasanii au wapenzi wa mwenda kesi hiyo haihitaji hata wakili ni kupoteza fedha bure,kajikwaa mwenyewe na kufa,
 
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?

Mi naomba nichangie kwa kuzingatia utu kuliko jinsi wengi mnavyoonekana mnajua sheria. Mimi ni mgeni JF lakini kama vile wengi hamfikirii sana: Hivi mtu kuwa na under 18 ni kitu cha kusifia? Alafu kwa kawaida kama mtu yuko under 18 tunaamini hata uwezo wake wa kupambanua mambo ni finyu ukilinganisha na mtu mzima. Hivyo kweli Kanumba kafariki na mimi kama kiongozi wa dini naumia sana maana hakuna mtu anayetakiwa kufurahia kifo cha mtu hata kama alikuwa na makosa.

Lakini je, huyu mtoto mdogo aliyefikishwa kwenye mambo makubwa na huyu marehemu tusemeje? Mmesikia mara zilikuwepo pombe kali, mara kupigiwa simu na watu maarufu, huku marehemu anamgombeza kwa mapenzi, n.k. kama mnavyoyajua mengi. Je huyu mtoto anao uwezo wa kuyabeba hayo yote kweli? Mimi sisemi hana kosa ila ukitazama kwa makini haya mambo yote aliyobebeshwa mtoto huyu kwa muda mfupi hakika yanamzidi uwezo. Na makosa ya hao wanaomzidi uwezo lakini wanamlazimisha awe sawa na wao.

Hivi unafikiriaje mtoto wa mtoto mdogo kumudu wapenzi zaidi ya mmoja tena wote maarufu/masupa star? Mtoto huyu asiangamizwe na kufikiri ni haki, hata marehemu na hao waliosalia anaowafahamu lulu pia wana makosa makubwa. Hivyo kwa kuwa amekufa tusione ni sawa kumwangushia kila lawama mtoto huyu lulu. Mtoto huyu ana haki ya kuetetwa na kurekebishwa jamani.
 
Naombeni mumsikilize kwa umakini sana huyu mtoto asiye na
hatia.

 
Last edited by a moderator:
Wewe ulikuwa humo chumbani alimofia Kanumba
 

Marehemu kanumbaana kesi ya kujibu ya ubakaji
 

Marehemu kanumba ana kesi ya kujibu ya ubakaji
 
Naombeni mumsikilize kwa umakini sana huyu mtoto asiye na
hatia.

Speaker nashukuru sana kwa hiyo clip uliyoweka hakika huyu mtoto ni mwongo.
 
Last edited by a moderator:
Chonde chonde Watanzania wenzangu, hakuna msiba (kifo) kisichokuwa na mchawi!
Kuendelea kumtuhumu 'LULU' pasipo kuangalia upande wa pili wa shilingi hatutendi haki!
Kama tuhuma hizi kwa lulu ni 'genuine',
basi naye Kanumba anastahili the same accusation!
Lulu yawezekana alikuwa na madhaifu yake, kama ulivyo wewe na mimi. Tusijidanganye, under the sun no body is perfect!
Kisa hiki cha Lulu na Kanumba kinanikumbusha mfano wa bwana Yesu juu ya mwanamke mzinifu aliyeletwa kwake na Mafarisayo ili kuona kwamba Yesu angesema nini juu yake!
Suluhisho la Yesu lilikuwa - 'asiyekuwa na dhambi (madhaifu) awe wa kwanza kumpiga mawe!
Tungekuwa 'fair' tungelaumu pande zote mbili, kuendelea kumshutumu 'Lulu' sidhani kama ni njia sahihi ya kumshape binti huyu anayetwishwa mzigo mzito mabegani mwake bila kuangalia upande wa pili wa shilingi.
Bravo Mdee endelea kutafuta namna binti huyu atakavyosaidiwa.
Familia yake inamhitaji.
To be honest, hata Lulu asingekwenda kwa Kanumba ucku ule, kama ni mapenzi ya Mola, Kanumba angetutoka tu.
 
upuuzi mtupu...mnaumiza kicchwa sababu ya lulu??? who is lulu??? for what??? acheni awe na kesi asiwe na kesi kivyake...mnarukiarukia mambo tu....hili ni jukwaa la siasa sio ushakunaku na umbea page...lulu.lulu lulu to hell wa ngapi wameua na wapo huru na ni wangapi hawajaua lakini wamehukumiwa maisha au kunyongwa???? world is not fair....!!! moderator tutolee hizi pumba hapa
 

Anza kuwatukana hao wanasisa (wabunge) kwa sababu ndio source ya umbeya na upuuzi unaouita.
 
Mdee alipaswa akae nje ya suala hili la Lulu. Zaidi ya yote ataonekana kama anasaka umaarufu wa bure (ambao yeye tayari anao kwa umakini na uwezo wake wa kujenga hoja.)

Kama suala ni kutetea watoto mbona mtoto Rama mla vichwa hakupata support ya namna hii? Ama kwa kuwa Lulu ni maarufu?
 
Ivi tumokosa maneno ya kufikiria ya maana tunakaa kujadili kitu ambacho kimekwisha ondoka wt is lulu and wat is kanumba katika maisha yako au mmeathirika nini katika maisha yenu?

Pia mh mdee ana haki ya kusema pia vile mh bulaya nae ana haki ya sema

poeples mambo ya kanumba tuyaache tujadili mambo ya msingi wao kanumba na lulu ndo wanajua walikuwa wanafanyann kumtetea lulu siyo vibaya watanzania wenzangu lulu akuua ayeua ni mwenyimungu ndiye anajua nilini utakufa na sababu nini ata angekuwa wapi kama kifo kimepangwa unakuwa uwe nani au la
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…