Ni kazi ya jk..umbwa weweShughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Wewe Chizi kweli, Raisi ndio ametoa Hela ya ujenzi!!Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
kwa katiba ipi inayowapa mamlaka hayo? zaid ya rais kulivunja bunge na wao kurud majimbon kusubir huruma ya wananchi...70% yao hawa uhakika wa kurud bungen kama uchaguz utarudiwa kesho.....wanafki waleeeeeeeUnasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Kumbe tunaongozwa JK!Ni kazi ya jk..umbwa wewe
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji42]Najaribu kujiuliza ivi imetokeaje mpaka Tanzania tukaongozwa na KICHAA...
Sijapata jibu bado.
Naona una stock kubwa ya virobaKama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.
Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.
Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.
Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.
Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Ha!ha!ha!Yaani kauli moja tu ya Magufuli Bunge halipo....mnavyoambiwa mhimili mmoja umejikita chini muwe mnaelewa....Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
Mkuu siasa haziko hivo. Sisi Wananchi tunafurahia kuwa na rais Magufuli, mchapa kazi wa kiwango hiki. Yaan mpaka miaka hii mitano iishe, nchi Itakuwa na kila kitu tulichokuwa tunakitaman.Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.
Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.
Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.
Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.
Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Huenda babaako alikuwa kichaa muulize vizuri mamaako alikoipata mimba yako.Najaribu kujiuliza ivi imetokeaje mpaka Tanzania tukaongozwa na KICHAA...
Sijapata jibu bado.
TULIFUNDISHWA KATIKA SOMO KA URAIA KUWA BUNGE LINA UWEZO WA KUMTOA RAIS MADARAKANI KWA KUPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NAE.
Wabunge wenyewe wanaoburuzwa na serikali kila siku, sitegemei jipya toka kwao.
Maana hao ndio wanoongoza kwa kula rushwa hasa kwenye kamati zao humo.
Juzi tu kamati ya mali asili na utalii wameshikana mashati huko loliondo kwa kutuhumiana kula rushwa toka Mfalme wa Loliondo.
Tatizo bunge lenyewe limekaa kinafiki tu zaidi ya kujali matumbo yao tu.!
fomu nilienda kuchukua peke yangu
Marekani walitaka kumpima Trump.Najaribu kujiuliza ivi imetokeaje mpaka Tanzania tukaongozwa na KICHAA...
Sijapata jibu bado.
We nae utakuwa zero brain mtu kujiuzulu kwenye kamati sio sawa na mambo ya ubungeWafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.