Wabunge Kenya waanza mikakati ya kujilimbikiza mishahara wananchi nao wagoma!

Wabunge Kenya waanza mikakati ya kujilimbikiza mishahara wananchi nao wagoma!

hawa wamepeleka kitimoto bungeni kuwa wabunge ni walafi kama hawa, sisi tunawachekea chekea.. picha KTN TV
969369_10152794989420533_1111353602_n.jpg
Hawa wenzetu wametupiga bao sana katika masuala yanayohusu taifa lao. Sisi bongo ni bongo lala tu. Watu wanajifanyia wanavyojisikia, na chuo kikuu kipo hapo hapo karibu na jengo la bunge, lakini hakuna critical minds zinazoweza kuhoji uhalali wa baadhi ya mambo yanayofanywa na wabunge wetu. Sasa utajiuliza kama hata hawa wasomi ambao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhoji haya mambo wanakaa kimya, je kuna jipya gani linaweza kutoka kwa wakulima? Tuna shida kubwa, vijana wetu hawajifunzi uzalendo.
 
Wakenya ni noma... wanashirikisha hadi kitoweo kwenye maandamano! Hakika ujumbe wao umefika.
 
Aka kaugonjwa ni ka Africa nzima
Kila anaepata nafasi cha kwanza kulifikiria ni Tumbo lake
 
attachment.php

Kenyan demonstrators have released a litter of pigs and poured blood on the pavement outside the gates of parliament in Nairobi to protest a proposed law that would raise wages for parliamentarians.

Police and parliament officials chased the pigs after using tear gas, batons and water cannons to disperse the nearly 250 protesters who marched through downtown Nairobi Tuesday and sat down at the entrance to parliament.

The names of specific MPs has been written on the bodies of some of the pigs, which were rounded up and loaded them onto a lorry.

At least 10 people were arrested.

"We will not allow members of parliament to increase their salaries at will," Okiya Omtatah, one of the protest organisers shouted.

"They are greedy just like the pigs we have brought here," Omtatah added.

Mithika Linturi, a parliamentarian supporting a proposed bill, said the protesters had little regard for the law and that "there are proper channels to air their grievances".

"Kenya is not a banana republic. This premise should be respected," Linturi told reporters as he made his way into parliament, adding that parliamentarians had "a right to their opinions, even if they do not please everyone."

The proposed bill would disband the commission that regulates MP's salaries and thus lead to a pay rise for the law makers.

The bill is the first act of Kenya's parliamentarians since their election in March 4 polls.

Constitutional amendment

Al Jazeera's Nazanine Moshiri, reporting from Nairobi, said that this is about far more than just a a salary increase.

"This is about a change to constitution because this bill would in effect call for a change to the constitution."

Our correspondent said that President Uhuru Kenyatta would have to make the final decision though.

Kenyan parliamentarians are already some of the best paid on the continent, although their tax-free monthly salary of some $13,000 in the previous parliament has been cut to around $7,000.

The wages were cut after recommendations by the salaries commission, the body MPs now wish to close.

In January, parliamentarians voted themselves a $107,000 send-off bonus, their last work before parliament closed ahead of elections, after earlier efforts to grant themselves the windfall were vetoed by the then President Mwai Kibaki.

That effort too was blocked.

Source: Al Jazeera and agencies | May 14, 2013
 

Attachments

  • MPigs.jpg
    MPigs.jpg
    84 KB · Views: 198
i wonder why did the protesters elect to use these innocent animal,to me i think it is the gross breach of animal rights and freedom ,I believe ,every reasonable person will strongly condemn this behavior in order not to happen again any ware in this world
 

Pig+14-02.jpg


A demonstrator carries head of a pig that was slaughtered and blood poured in front of Parliament to show his dissatisfaction with Kenyan MPs to increase their pay and threat against SRC. Civil organizations took the street but were dispersed by police.


Pig+14-03.jpg


Piglets used by Protesters arrested by police officers at a protest against MP's payrise in Nairobi's parliament road on May 14 2013 ANTHONY OMUYA (NAIROBI)


Pig+-14-01.jpg


A demonstrator puts to order piglets on a pool of blood that were subjected to symbolize Kenyan MPs in front of Parliament buildings on May 14, 2013.Civil society demonstrated to express their displeasure with the current Parliament. DENISH OCHIENG (NAIROBI)


pay1.jpg




pay2.jpg


Kenyans protest against MPs demand for a pay raise outside the National Assembly in Nairobi May 14, 2013 ANTHONY OMUYA.



pay3.jpg


Kenyans protest against MPs demand for a pay raise outside the National Assembly in Nairobi May 14, 2013 ANTHONY OMUYA.
 
Video: Wabunge hawashibi...wafananishwa na nguruwe!


 
Last edited by a moderator:
Polisi wa Nairobi nchini Kenya Jana walitumia Mabobu ya Machozi kuwaazuia Wanaharakati wa Asasi mbalimbali na Wananchi wa kawaida waliokua wakiandamana na kutaka kuingia ktk Jengo la Bunge kupinga kitendo cha Wabunge hao waliochaguliwa takriban miezi miwili iliyopita kutaka kujiongezea Mshahara na Marupurupu!!

Waandamanaji hao walikua na Mabango yenye Ujumbe mbalimbali na huku Wakiwa na "NGURUWE" waliolishwa Damu,Wakiwafananisha na Wabunge wao kwa Kitendo chao cha kutaka Kujiongezea mshahara kuwa ni ULAFI KAMA WA NGURUWE na kuwa Wanataka Kuwanyonya Wanakenya Damu zao.

Kwa Tanzania sijui kama jambo kama hili linawezekana ukizingatia kwamba Wananchi wa Tanzania wamezoea Kuburuzwa na Watawala na hata Wabunge tuliowachagua.
Tumeshuhudia Bunge la Tanzania likipitisha Miswada Mibovu huku baadhi ya Wabunge hususan wa CDM wakipinga lakini kwa sababu ya Uchache wao bado Miswada hiyo ilipita.
Hatukuona wananchi wakionyesha hisia zao kupinga Baadhi ya Sheria Kandamizi ambazo zimekua zikipitishwa na Bunge kwa Maslahi ya Wachache.

Mwanzoni mwa mwaka huu nchini Kenya kabla ya Uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, Wana harakati na Wananchi wa kawaida waliandamana na MAJENEZA hadi Majengo ya BUNGE kupinga Kitendo cha Wabunge waliokua wanamaliza Muda wao kutaka kujilipa pesa nyingi zaidi ya ml 150 za Kitanzania kwa kila Mbunge.

Je watanzania Sisi nani Katuloga hata tushindwe kupinga Baadhi ya Mambo yanayofanywa na Wabunge wetu mfano Kugeuza Bunge kuwa Sehemu ya Mipasho na Ngonjera huku Maswala Muhimu kama Maji Afya Elimu nk.yakikosa Wasemaji??
 
  • Thanks
Reactions: MTK
umesahau kuwa asilimia kubwa ya watanzania ni waoga, wanafiki na wategeaji. wanapenda ready made, wafe wengine, wafungwe wengine, wateseke wengine wao wafaidike. tena matunda yakitokea ndio utawaona wakiongea kinafki
 
Jeez yaani mtu anapigwa hivyo na watu wako vere confortable wanachukua na picha za matukio

yaani hawa mapolice:embarassed2:
 
Waafrica bwana tumeathirika sana na tamaa za ajabu ajabu na tabia za wizi wuzu tu. Hawa Wakenya walikuwa katika hatua nzuri sana ya kudumisha umoja wao na mustakabali wa demokrasia Kenya. Tatizo njaa zinafanya watu wakiwa viongozi wanatamani kuwa mabilionea, na hili ndo tatizo! Miafrika ndivyo tulivyo!. Inabidi walichofanya watu wa Kenya na sisi tuwe na msimamo kama huo endapo wabunge wanajiongezea pesa tu bila sababu!
 
nitawahoji,
wanaoafiki hoja hii ipite waseme "ndioooo !!!"
 
Watanzani ni watu wa ajabu kwa maana ya ''so special'' mtaendelea kupata tabu mkiwafananisha na watu kama wakenya au mataifa mengine... Hicho ndo kitu kikubwa wanasiasa mnakisahau na kutaka wafanye mambo wanavyotaka wao. tunasahau kuwa tuna utamduni wetu katika kuamua kufanya vitu na si WAJINGA kama mnavyofikiri, ili kuamua hatuhitaji nguvu kiivyooo au maandamano kiivyooo, Ukikaa chini kwa utaratibu watakusikiliza na kukuelewa japo tuna tabia ya kuchukua muda mrefu hadi kufikia kutoa maamuzi ambao faida yake kubwa ni kutoa maamuzi yenye umakini fulani!!

Hao wakenya mnawasifia au kuwatolea mfano wana matatizo kuliko mnayoyasikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna demockrasia kuliko TZ. Fuatilieni hali zao halisi kimaisha ukilinganisha na idadi yao, msipumbazike na taarifa za kwenye makaratasi.... wallahi TUKO huru sana kuliko wao, wana matatizo kuliko sie japo wanzungumza kiingereza kuliko sie kama nacho ni kigezo!lol kwa kifupi tu Kubeba nguruwe na kwenda nae bungeni ukimlisha damu inaonyesha ni jinsi gani ULIVYO CHOKA na maisha na unatafuta haki kwa njia hiyo! itachukua miaka mingi kwa Tz kuwa hivyo...

Sie bado tuna OPTIONS katika kufanya mambo mengi lkn hawa jamaa hakuna, hakuna yaani hata ardhi iko mikononi mwa wenye pesa, unategemea nini kwa kizazi kipya?

TANZANIA ITAENDELEA KUWA TANZANIA na aina yake SPECIAL ya kufanya mabadiliko Kisiasa sio lazima kuwa kama mataifa mengine....
 
Wao wanavyo mdhibiti raia.

images
images
images
images
images
images


SISI tunavyo mdhibiti raia
images
images
images
images
 
salaam zaidi, hii ilikuwa jana pale bungeni!Pig+-14-01.jpgA demonstrator puts to order piglets on a pool of blood that were subjected to symbolize Kenyan MPs in front of Parliament buildings on May 14, 2013.Civil society demonstrated to express their displeasure with the current Parliament. DENISH OCHIENG (NAIROBI)
 
Back
Top Bottom