Wabunge na Viongozi wanatuhumu wakurugenzi na wakuu wa Idara mara kwa mara!

Wabunge na Viongozi wanatuhumu wakurugenzi na wakuu wa Idara mara kwa mara!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
#Kaziiendelee

Kuna viingozi wa kisiasa ambao mara nyingi huwatuhumu na kuwashtaki wakurugenzi na Wakuu wa Idara mara kwa mara.

Wanaweza wakawa na hoja lakini pia wanaweza wakawa ni sehemu ya tatizo kwa maana ya kuwachongea wakuu wa Idara ili wapate urahisi wa kufanya mambo yao kwa interest binafsi.

Wanasiasa hawa ni vyema wakachunguzwa kwa kina.

Hebu tutaje orodha ya wanasiasa ,wabunge ambao mara nyingi huwachongea wakurugenzi na wakuu wa Idara.
 
Wakuu wa idala ni shida sana hata eneo nilipo bas tu hila kwa vile ni chama kimoja ngoja tujikongoje
 
Tundu Lissu mkwamishaji mkuu wa maendeleo nae tumtaje? Au utabiri unaendelea kutimia?
 
Wote wanakadi ya chama cha kijani..hope mtayajadiri kwenye vikao halali vya chama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom