Wambie wakuonyeshe nakala za fomu zilizosainiwa na mnyika kwenda Tume.Mkuu wanafanya nini huko maana wale ni CHADEMA na wamekuwa wakijimbanua hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wambie wakuonyeshe nakala za fomu zilizosainiwa na mnyika kwenda Tume.Mkuu wanafanya nini huko maana wale ni CHADEMA na wamekuwa wakijimbanua hivyo.
Mkuu wabunge hawa walichaguliwa na wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na wana wajibu wa kuwatumikia wananchi na sio vinginevyo.Very comical!Hivi hao wabunge wa CCM walichaguliwa na nani?Walipatikanaje?Ndiyo wakaongee na wananchi ambao hawawajui?The laughter of a lifetime!😝😝😝😝😝😝
Kwani mimi nimebisha?They had all the voters' votes!Na zilitosha.😝😝😝😝Mkuu wabunge hawa walichaguliwa na wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na wana wajibu wa kuwatumikia wananchi na sio vinginevyo.
Nakala zinabakia kwa wabunge?Wambie wakuonyeshe nakala za fomu zilizosainiwa na mnyika kwenda Tume.
Kuwapa ushindi na kwenda kuwawakilisha wananchi.Kwani mimi nimebisha?They had all the voters' votes!Na zilitosha.😝😝😝😝
Sasa kwa nini wanaona aibu? Disgusting,huh?😝😝😝😝Kuwapa ushindi na kwenda kuwawakilisha wananchi.
Rufaa zao majibu anayo magu.Chadema hawakuidhinisha hao covid 19.Nakala zinabakia kwa wabunge?
CHADEMA wasikilize zile rufaa ili tujue mbivu na mbichi.
Hakuna anayeona aibu ila kuna baadhi ya wabunge inaonekana bado hawajarejea majimboni. Wanaagizwa kurejea majimboni.Sasa kwa nini wanaona aibu? Disgusting,huh?😝😝😝😝
Ndiyo, tuliwachagua.
Majibu ya rufaa zao yatatolewa na Baraza Kuu la CHADEMA na Mbowe aliahidi wazi kuwa watawasikiliza ila wanafanya uchaguzi wa BAWACHA na kuacha kuwasikiliza.Rufaa zao majibu anayo magu.Chadema hawakuidhinisha hao covid 19.
Mungu aweza kuwasikiliza kama walionewa,shahidi yupo na malaika
Hadi unaagizwa kurudi jimboni means you were not ready for that job!Unakumbushwaje kuvaa chupi wakati umevaa suruali chukuchuku?Hakuna anayeona aibu ila kuna baadhi ya wabunge inaonekana bado hawajarejea majimboni. Wanaagizwa kurejea majimboni.
Hahahahahahahaha Mkuu, yawezekana walikuwa wanakutana na wawekezaji au kuna masuala binafsi walikuwa wanarekebisha.Hadi unaagizwa kurudi jimboni means you were not ready for that job!Unakumbushwaje kuvaa chupi wakati umevaa suruali chukuchuku?
Mwendazake aliwasukimiza kuwa wabunge.😝😝😝😝Hahahahahahahaha Mkuu, yawezekana walikuwa wanakutana na wawekezaji au kuna masuala binafsi walikuwa wanarekebisha.
Kwa sababu wamekumbushwa hatutarajii kuwaona wakibakia tena bali wataelekea majimboni.
Aliyewachagua kasepa, waacheni wajifariji.Ndiyo, tuliwachagua.
Mmmmmh hapana. Uongozi ni wito.Mwendazake aliwasukimiza kuwa wabunge.😝😝😝😝
Sisi wananchi ndiyo tuliowapa dhamana wanatakiwa kurudi majimboni.
Kwa zile vurugu utasema wananchi walichagua?Sisi wananchi ndiyo tuliowapa dhamana wanatakiwa kurudi majimboni.
Ndo maana wanajifariji na machungu.Mwendazake aliwasukimiza kuwa wabunge.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Tusiandikie mate wino ungalipo.Kwa zile vurugu utasema wananchi walichagua?
Hao walichaguliwa na mtu mmoja.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app