BILGERT JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 6,534 Reaction score 11,011 Jun 17, 2023 #21 peno hasegawa said: Kabla ya muda huo kuna watakao ingia barabarani mkuu vinginevyo kila kitu kinauzwa tena mkiona Click to expand... Hawa watanzania wenye maneno mengi nyuma ya keyboard?
peno hasegawa said: Kabla ya muda huo kuna watakao ingia barabarani mkuu vinginevyo kila kitu kinauzwa tena mkiona Click to expand... Hawa watanzania wenye maneno mengi nyuma ya keyboard?
Bams JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 19,362 Reaction score 48,879 Jun 17, 2023 #22 Hoaxer said: Kwa uhakika zaidi Waitara, Kitila Mkumbo, Mrisho, Gwajima, Tulia na Sanga hawatarudi 2025. Labda wafu wafufuke. Click to expand... Musukuma, Zungu, Nape, Tulia, Kibajaji, jamani msiwasahau katika orodha ya wanaotakiwa kupumzishwa kwa nguvu, japo ni wahongaji wazuri wa wapiga kura,
Hoaxer said: Kwa uhakika zaidi Waitara, Kitila Mkumbo, Mrisho, Gwajima, Tulia na Sanga hawatarudi 2025. Labda wafu wafufuke. Click to expand... Musukuma, Zungu, Nape, Tulia, Kibajaji, jamani msiwasahau katika orodha ya wanaotakiwa kupumzishwa kwa nguvu, japo ni wahongaji wazuri wa wapiga kura,
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Jun 17, 2023 #23 Wengi hutumia pesa nyingi sana kuhonga, mwisho wanabaki na madeni