Tetesi: Wabunge wa CCM wanaoikosoa serikali kuadhibiwa

Tetesi: Wabunge wa CCM wanaoikosoa serikali kuadhibiwa

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Kuna taarifa zimetapakaa hapa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba wabunge wote wa CCM wanaoikosoa serikali hadharani huenda wakaadhibiwa.

Inasemekana moja ya adhabu hizo ni kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi wa mkuu wa 2020 kwa lengo la kuwafutilia mbali katika ulingo wa siasa.

Adhabu ya pili inayopendekezwa ni kuwapoka nafasi za ujumbe katika halmashauri ya taifa ya CCM na ujumbe wa mkutano mkuu ili kuwaweka mbali zaidi na CCM.

Kada mmoja wa CCM aliyepo chamani na serikalini kwa muda mrefu alipoulizwa kuhusu tetesi hiz alijibu: "Ni kweli chama kina taratibu zake za kuisimamia serikali lakini sio kwa kuikosoa serikali hadharani. Hivyo, wana CCM wote wanaokosoa utendaji wa serikali hadharani sharti waadhibiwe...ila kwa sasa siwezi kukuambia aina ya adhabu tutakayowapa."

MAONI YANGU
Ikiwa kweli CCM itawaadhibu hawa wabunge wazalendo walioamua kusimama upande wa wananchi watakuwa wamefanya kosa kubwa sana. Elewa kwamba wana CCM wengi hawapendi uburuzwaji isipokuwa wanaogopa kusema ukweli kwa kuogopa kuadhibiwa na chama na serikali. Sasa endapo CCM na serikali wataamua kuwaadhibu watetezi hawa wa maslahi ya wananchi kwa namna yoyote, watajenga chuki mbaya sana mbele za wananchi.
 
Kuna taarifa zimetapakaa hapa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba wabunge wote wa CCM wanaoikosoa serikali hadharani huenda wakaadhibiwa.

Inasemekana moja ya adhabu hizo ni kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi wa mkuu wa 2020 kwa lengo la kuwafutilia mbali katika ulingo wa siasa.

Adhabu ya pili inayopendekezwa ni kuwapoka nafasi za ujumbe katika halmashauri ya taifa ya CCM na ujumbe wa mkutano mkuu ili kuwaweka mbali zaidi na CCM.

Kada mmoja wa CCM aliyepo chamani na serikalini kwa muda mrefu alipoulizwa kuhusu tetesi hiz alijibu: "Ni kweli chama kina taratibu zake za kuisimamia serikali lakini sio kwa kuikosoa serikali hadharani. Hivyo, wana CCM wote wanaokosoa utendaji wa serikali hadharani sharti waadhibiwe...ila kwa sasa siwezi kukuambia aina ya adhabu tutakayowapa."

MAONI YANGU
Ikiwa kweli CCM itawaadhibu hawa wabunge wazalendo walioamua kusimama upande wa wananchi watakuwa wamefanya kosa kubwa sana. Elewa kwamba wana CCM wengi hawapendi uburuzwaji isipokuwa wanaogopa kusema ukweli kwa kuogopa kuadhibiwa na chama na serikali. Sasa endapo CCM na serikali wataamua kuwaadhibu watetezi hawa wa maslahi ya wananchi kwa namna yoyote, watajenga chuki mbaya sana mbele za wananchi.
Hao wabunge ni wanafiki. Kama leo umesikiliza mazungumzo ya rais na wahariri utakubaliana na mimi hao ni wabunge maslahi. Hivi inaingia akilini shirika kama NDC, hela zake linaweka CRDB na tena kwa fixed deposit, CEO anapata 10 percent ya faida ya fixed deposit, then serikali inaamua kukopa/kuuza T bills, then bank kutumia hizo hizo za serikali inaenda kuikopesha serikali na serikali inakuja kulipa hizo hela na riba juu yake.
 
Hao wabunge ni wanafiki. Kama leo umesikiliza mazungumzo ya rais na wahariri utakubaliana na mimi hao ni wabunge maslahi. Hivi inaingia akilini shirika kama NDC, hela zake linaweka CRDB na tena kwa fixed deposit, CEO anapata 10 percent ya faida ya fixed deposit, then serikali inaamua kukopa/kuuza T bills, then bank kutumia hizo hizo za serikali inaenda kuikopesha serikali na serikali inakuja kulipa hizo hela na riba juu yake.
Hivi wewe bado unamuamini Bwana Yule na misifa yake?
 
Kila chama duniani kila taratibu zake
Huwezi kukosoa chama chako hadharani
Kuna carcus ya chama, huko ndio mahala kwa kukosoa
Wanastahiri adhabu
 
Huyo kada asiyekua na jina itakua wa ukawa huyo
 
Hao wabunge ni wanafiki. Kama leo umesikiliza mazungumzo ya rais na wahariri utakubaliana na mimi hao ni wabunge maslahi. Hivi inaingia akilini shirika kama NDC, hela zake linaweka CRDB na tena kwa fixed deposit, CEO anapata 10 percent ya faida ya fixed deposit, then serikali inaamua kukopa/kuuza T bills, then bank kutumia hizo hizo za serikali inaenda kuikopesha serikali na serikali inakuja kulipa hizo hela na riba juu yake.
Kwani huo mfumo unaoushangaa uliwekwa na chadema?
 
CCM tuna sheria moja tu, ss ni wa kijani na lazma wote tufanane. Sasa hao kina Bashe wataisoma tu hamna namna
yes..mtu anasimama bungeni anatoa povu kutetea hela ya serikali imwagwe tu mtaani kuliwa na wajanja eti ndio kuzungusha hela. uchumi gani wa kijambazi.
 
Kuna taarifa zimetapakaa hapa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba wabunge wote wa CCM wanaoikosoa serikali hadharani huenda wakaadhibiwa.

Inasemekana moja ya adhabu hizo ni kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi wa mkuu wa 2020 kwa lengo la kuwafutilia mbali katika ulingo wa siasa.

Adhabu ya pili inayopendekezwa ni kuwapoka nafasi za ujumbe katika halmashauri ya taifa ya CCM na ujumbe wa mkutano mkuu ili kuwaweka mbali zaidi na CCM.

Kada mmoja wa CCM aliyepo chamani na serikalini kwa muda mrefu alipoulizwa kuhusu tetesi hiz alijibu: "Ni kweli chama kina taratibu zake za kuisimamia serikali lakini sio kwa kuikosoa serikali hadharani. Hivyo, wana CCM wote wanaokosoa utendaji wa serikali hadharani sharti waadhibiwe...ila kwa sasa siwezi kukuambia aina ya adhabu tutakayowapa."

MAONI YANGU
Ikiwa kweli CCM itawaadhibu hawa wabunge wazalendo walioamua kusimama upande wa wananchi watakuwa wamefanya kosa kubwa sana. Elewa kwamba wana CCM wengi hawapendi uburuzwaji isipokuwa wanaogopa kusema ukweli kwa kuogopa kuadhibiwa na chama na serikali. Sasa endapo CCM na serikali wataamua kuwaadhibu watetezi hawa wa maslahi ya wananchi kwa namna yoyote, watajenga chuki mbaya sana mbele za wananchi.
nchi hii kuna siku zitajapigwa kavukavu mchana kweupe!!
 
CCM tuna sheria moja tu, ss ni wa kijani na lazma wote tufanane. Sasa hao kina Bashe wataisoma tu hamna namna
ni muda tu. ukweli hushinda unafiki siku zote. ukweli hauna itikadi siku zote
 
CCM tuna sheria moja tu, ss ni wa kijani na lazma wote tufanane. Sasa hao kina Bashe wataisoma tu hamna namna
Bashe kama zito kabwe... Kwa tiketi ya chama chochote anachukua jimbo
..Yule dk aliyemuonea wivu dk mwaka.. Alilikimbia Jimbo
 
Kila chama duniani kila taratibu zake
Huwezi kukosoa chama chako hadharani
Kuna carcus ya chama, huko ndio mahala kwa kukosoa
Wanastahiri adhabu
Ukiona wanatoka hadharani ujue huko kwenye carcus ya chama wamesha sema sana na hawakuchukuliwa kwa uzito, na mbunge wa chama cha kijani akianza kuongea hadharani hivyo ujue amesha fanya maamuzi magumu tayari, yaani naliwalo basi liwe. Hata hata hivyo lazima ujue siku hiyo kiongozi wao alikuwepo pale pale ndani ili kuwatia moyo.
 
Back
Top Bottom