slimshedy
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,049
- 1,012
Hichi chama hakipo kwajili ya kuwasaidia wananchi wahanga wa tetemeko kagera wanalala nje nakuambiwa wajenge nyumba zao wenyewe wakati mashirika yametoa pesa nyingi kwajili ya wahanga hao hapo hapo hichi chama kinawapa wabunge wake milioni kumi kumi kama rushwa tena kwa siri tujiulize je ni watetezi kweli wa wanyonge kama wanavyojinadi au niwanafki?