Hizo style kwa sasa hazifanyi kazi hata mkiamua kumkomoa atahama chama na ubunge kwake sio issue kwani hana njaa ataishi hata kwa michango ya wapiga kuraNi mbaya sana kutumikia mabwana wawili, by the way katibu Mkuu slaa alipokosoa chama chake wale Jamaa walisemaje vile, walimtukana matusi yote mpaka babu kahama nchi, Leo wanamshabikia bashe kutukana chama chake! Unamtukana dr. Mpango kiasi kile! Ccm mdhibitini huyu faster msimcheleweshe kama mamvi tujifunze kutokana na makosa