Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kuna wengine wameji-BRAND wenyewe kwenye majimbo yake na siyo chama.... Ndiyo maana kuna wengine hata wakihama chama, bado wanshinda tu... Tmeshuhudia akinaCCM tuna sheria moja tu, ss ni wa kijani na lazma wote tufanane. Sasa hao kina Bashe wataisoma tu hamna namna
1. Zitto Kabwe
2. Shibuda alikuwa hivyo
na wengine wengi...
Sasa mkitaka kupoteza majimbo wanyimeni nafasi ya kugombea halafu wakihama ndo mtajuwa