Hana afya vipi? Uchaguzi lazima uendelee vipi hamtaki tena uchanguzi.Una akili fupi sana. Yaani wewe unawaza uchaguzi wakati huna afya? Mungu akuhurumie tu wewe mkosa maarifa
Amejichimbia kwenye mahandaki huko kwao, kama osama alivyokuwa anatafutwa na wamarekaniWabunge wa CCM hovyo sana. Yani wanamuona kabisa mwenyekiti wao kala kona wao wamebaki tu kama mazuzu. Yani hawajielewi hata kidogo.
Kaka akidi ilitimia huyo ajui anachoongeaUnataka kusema kuwa wabunge wa CHADEMA wa leo ndio wale wale wa mwaka 2014? Bulaya mtoa taarifa mwaka 2014 alikuwa ni mbunge wa CHADEMA?
Na kati ya CHADEMA na CCM chama gani kilikuwa na wabunge wengi kwenye Bunge la Katiba? Yaani wabunge wachache walisababishaje wabunge wengi washindwe kupitisha Katiba waliyoitaka? Wana CCM waliobaki kwa nini hawakupitisha hiyo Katiba waliyoitaka?
EQ inaweza kuwa na tafsiri ya kitu chochote kile. Au unadhai dunia nzima maana ya ufupisho wa neno EQ itakuwa ni ile ile??Google utaelewa!
Pale gamba linapokosa cha kuchangia na kuamua kujipa faraja ya moyo😅😅😅😅😅😅!Tetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie
Vipi wewe uko uvunguni?mwambie kwanza jiwe alijificha jini ya uvungu
Acha ubishi basi google kwanza.EQ inaweza kuwa na tafsiri ya kitu chochote kile. Au unadhai dunia nzima maana ya ufupisho wa neno EQ utakuwa ni ule ule??
CDMMajizi ya nchi na kutesa raia wasio kuwa na hatia. Mungu yupo!!
Wacha mawazo ya kitoto, bosi wenu mkuu mwenyewe kakimbia ikulu yupo kijijini kwao anachunga n'gombe.Wanachokifanya ni Utoro. Wasimamishwe mara moja.
Endelea na masihara, soon utajibiwaHana afya vipi? Uchaguzi lazima uendelee vipi hamtaki tena uchanguzi.
Kwa akili yako ndefu unafikiri kukimbia bunge wakati waliomba kazi ya ubunge ni sahihi??Una akili fupi sana. Yaani wewe unawaza uchaguzi wakati huna afya? Mungu akuhurumie tu wewe mkosa maarifa
Wakae nyumbani tu, as kodi zetu zinawapa kiburi hicho.
Ila watambue kwamba, wananchi hawajawachagua ili wakakae nyumbani, waliwachagua ili wakawawakilishe bungeni.
Kama unataka wanyimwe mshahara maana yake wafukuzwe ubunge kabla ndio hatua ya kusitisha mshahara inafuata!Tatizo lenu mnapayuka tu hata sheria hamzijui!
Wewe unadai kwamba "huongei na Robot" lakini unataka nitumie Robot (Google) kupata tafsiri ya neno uliloandika nisilolielewa!!Acha ubishi basi google kwanza.
Hawakujua haya Kabla ?
Kama issue ni hili Janga nashauri wakae huko huko nyumbani (Dodoma) na sio kwenye majimbo yao hence self karantini...
Sasa hapo nimekuelewa kuwa mnakosea kumlaumu Rais.Kama Kiongozi wa Nchi yupo nyumbani, Wabunge wakikaa nyumbani kuna ubaya gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabadili ukweli kwamba wabunge wa CHADEMA wamesitisha kwenda Bungeni mpaka baada ya siku 14?Na Lema nae c kanasa? Corona is real
Kwani jiwe alichaguliwa ili akakae Chato?Wakae nyumbani tu, as kodi zetu zinawapa kiburi hicho.
Ila watambue kwamba, wananchi hawajawachagua ili wakakae nyumbani, waliwachagua ili wakawawakilishe bungeni.