YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Hawakuhitaji hata kupiga tarumbeta Ku ji lock down in MTU mwenyewe kuamua kuwa mimu.mbowe na wangu Joyce Mukya tu na ji lock down tujifukizie so kitu cha kusubiri MTU aambiwe na mwingineNaunga mkono maamuzi haya ya akili ya wabunge wa CDM kutokuendelea na vikao vya bunge. Hii ndiyo maana halisi ya kuongea kwa vitendo. Lakini hii inaonesha kuwa kuwa si lazima kusubiri kila kitu kiamuliwe na viongozi wa CCM ambao hawana maono.