Nimehitimisha kuwa chadema imejaa makunguru tupu.Bora wanaokimbilia uvunguni lakini wanabaki nyumbani kwao kuliko amiri jeshi mkuu anayekimbia nyumba na mkoa kwa ujumla na anaenda kujifungia chattle.
Mtu anayejali hafanyi yale anayoambia tu bali anakwenda zaidi kuliko anayoambiwa (wameambiwa wakae 14 days) ila baada ya hizo siku nadhani watarudi makwao..., sasa tuna uhakika watakaa kweli ndani bila muingiliano (rejea story ya wale wanajeshi wa Italy waliokuwa wamekaa sehemu bila muingiliano wakakutwa na Corona) which means kuna watu walikuwa wanatoroka ndani na kufanya yao..Mpwa twende taratibu basi! Karantini ni siku 14 sasa unataka waongeze nyingine ili uje kusema wanakaa na kula pesa tu? Nakubaliana na wewe kabisa kuwa hakuna sababu ya kushindwa kufanya vikao vya bunge kwa teleconference! Zile Billions za misaada zinaishia wapi? Sielewi
Nawezaje kukataa sasa??Namwombea sn ester matiko asipate hii kitu maana sio kwa kumpenda Huku jamani,nimekufa nimeoza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe una mawazo ya kizamani sana. Sijui nyinyi watu wa Lumumba mkoje??Vita ni vita tu,
Hii nayo ni vita, inapaswa waache kujiita makamanda na kuvaa magwanda kwakua vita hawaviwezi hawa, kwenye amani wanajiita makamanda vita ikija wanakimbia uvunguni mwa kitanda, haha, makamanda uchwara wa chadema.
Mkifa tukija kuandika kuwa mmekufa kwa ujinga wenu, mnasema hatuna ubinadamu! Akili zetu nia za kuweza kuandika CHADEMA tuNimehitimisha kuwa chadema imejaa makunguru tupu.
Soma Post Na: 152Umesoma mpaka mwisho?
kweli kabisa ndiyo maana wanakufa kufaTetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie
Nyie lipaneni na mfe
Sasa inakuhusu nini wewe? Fanyakazi mkuu. Pilipili usizozila za kuwasha nini?Sasa kwa muktadha wa hoja yako hapa chini unaposema EQ ya Jile79 ni ndogo sana ulikuwa una maanisha nini?
ila kuna wengine wamechaguliwa kunywa kahawa na wanyonge kijijini kwaoWakae nyumbani tu, as kodi zetu zinawapa kiburi hicho.
Ila watambue kwamba, wananchi hawajawachagua ili wakakae nyumbani, waliwachagua ili wakawawakilishe bungeni.
Bora wao ukilinganisha na nani ?, Kuzinduka kwao sasa hizi hakufuti makosa waliyofanya mwanzo..., (ndio maana nikasema better late than never) ingawa naweza kusema tayari its late if not too late...Kwa hiyo unatakaje?
Bora walio zinduka kuliko ambao mpaka bado wamelala na hawajulikan wataamka lini!
Nadhani wanafwata ushauri wa wataalmu kwamba karantini iatakiwa iwe 14 days. Hapo hakuna tatizo.
Intelijensia ya kidiplomasia ktk siasa inaitwa ; to hijack the situation. You grab before it becomes obvious. Viewing or forecasting?Dah..timing! Intelijensia kali wamemuwahi nanii
E-parliament...
Inasikitsha mno.Mkifa tukija kuandika kuwa mmekufa kwa ujinga wenu, mnasema hatuna ubinadamu! Akili zetu nia za kuweza kuandika CHADEMA tu
We puumbavu,hivi ndugai atafikiwa lini na hiyo corona? Shenzi ninyi