Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Jamaa yupo chato anakucheki tu unavyohaha kumteteaKumbe unaelewa huna uwezo wa kufanya lolote zaidi ya kutoa mapovu tu nyuma ya keyboard!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo chato anakucheki tu unavyohaha kumteteaKumbe unaelewa huna uwezo wa kufanya lolote zaidi ya kutoa mapovu tu nyuma ya keyboard!
Unataka kusema kuwa wabunge wa CHADEMA wa leo ndio wale wale wa mwaka 2014? Bulaya mtoa taarifa mwaka 2014 alikuwa ni mbunge wa CHADEMA?Sasa hivi tunaongelea Wabunge wanaokimbia Bunge hata 2014 walikimbia Bunge la Katiba wakasababisha tusipate Katiba Mpya kwa kuwa waliona haina maslahi kwao.
Google utaelewa!EQ ndio nini na inahusika vipi na hoja aliyotoa Jile79 ?
Yeye yupo karantini, watu wengine wachape kazi![emoji16][emoji16][emoji16]"Ila Jiwe ni kima kabisa eti watu waendelee kuchapa kazi uku yeye kajificha duh"
Waliomba ubunge wa nini kama wanalimitations katika kuwawakilisha wananchi?? Ukiona huwezi jambo unaacha tu sio kudangaya watu na kuja kuwakimbia huko mbeleni, huo ni kama utapeli flani hivi.Wanajua sana kwamba wamechaguliwa ili kuwakilisha wananchi bungeni na siyo ili wakafie bungeni.
Hata ningekuwa mimi ningesepa tu, huo ushujaa wa kuiendea hatari ninayoiona kwa macho yangu sina.
Kimbia hatari uitwe mwoga lakini usalimishe uhai wako ua subiri hatari ili uitwe shujaa halafu ukatulie kaburini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama jinsi unavyotetea majizi?Narudia tena uwezo wako wa kuchambua mambo ni zero!
Naona na chat na robot. Kwa heriUnataka kusema kuwa wabunge wa CHADEMA wa leo ndio wale wale wa mwaka 2014? Bulaya mtoa taarifa mwaka 2014 alikuwa ni mbunge wa CHADEMA?
Inawezekana,si umeona wabunge wa Chadema wanavyokufa? Hivi wamefika wangapi vile?Tetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie
Narudia tena......Una IQ ya zero kwa kuangal;ia role models wako....Kakojoe kalale lkn usisahau kufuata buku7 yako lumumba kwa kazi kubwa uliyofanye siku ya leo.....YAANI UMECHAPA KAZI SAWASAWA NG'OMBE WEWENarudia tena uwezo wako wa kuchambua mambo ni zero!
Yapi?Kama jinsi unavyotetea majizi?
Una akili fupi sana. Yaani wewe unawaza uchaguzi wakati huna afya? Mungu akuhurumie tu wewe mkosa maarifaWaliomba ubunge wa nini kama wanalimitations katika kuwawakilisha wananchi?? Ukiona huwezi jambo unaacha tu sio kudangaya watu na kuja kuwakimbia huko mbeleni, huo ni kama utapeli flani hivi.
Nawashauri wananchi nao wawakimbie watakapokuja kuwaomba kura kipindi cha uchaguzi kwani wameonesha kutoheshimu kura zao.
Kuugua corona siyo lazima ufe mkuu!Inawezekana,si umeona wabunge wa Chadema wanavyokufa? Hivi wamefika wangapi vile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga kweli hili jamaa....Kama jinsi unavyotetea majizi?
According to sita akidi ilitimia walizuiajeSasa hivi tunaongelea Wabunge wanaokimbia Bunge hata 2014 walikimbia Bunge la Katiba wakasababisha tusipate Katiba Mpya kwa kuwa waliona haina maslahi kwao.
Majizi ya nchi na kutesa raia wasio kuwa na hatia. Mungu yupo!!Yapi?
mwambie kwanza jiwe alijificha chini ya uvungu. hivi unajua kama wabunge wengi wa CCM wamekimbia hovyo hovyo hawapo bungeni?Waliomba ubunge wa nini kama wanalimitations katika kuwawakilisha wananchi?? Ukiona huwezi jambo unaacha tu sio kudangaya watu na kuja kuwakimbia huko mbeleni, huo ni kama utapeli flani hivi.
Nawashauri wananchi nao wawakimbie watakapokuja kuwaomba kura kipindi cha uchaguzi kwani wameonesha kutoheshimu kura zao.