Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Yeye tu ndiyo mwerevu aliyegundua kuwa kijijini kwake nako ni Ikulu. Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wote walikuwa wajinga. Hawakujua vijijini kwao nako ni ikulu wakafanyie kazi huko?Ikulu iko kila mkoa yuko ikulu.chato