Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Umefafanua kitaalam sana kijana wangu. Hakika wewe sio mtu wa kawaida. Kudos mjeda...!!!!!!!!!
 
kwamfano wanasiasa waliopigwa risasi/kupotezwa walikua na madhara gani kwa taifampaka watekwe au kushambuliwa?
mtu kusema tutashitakiwa kufuatia uvunjifu wa mikataba hovyo na mwingine kusema ana 'phd feki' ni makosa yanayo hatarisha amani ya taifa?
Hakuna la maana uliloliandika hapa kaka yangu
 
Upo sahihi sana mkuu kuwa wanajulikana ni viongozi wa bunge kutoka chama tawala na upinzani.

But remember that's just a facade (a tip of an iceberg) probably kuna vyeo wanavyovibeba "shadowy" pasipo mimi na wewe kufahamu. Ninadhani hapa utakuwa umenielewa ndio maana ikawa ni Gag of 8 na sio 7 or 9.
 
Haloooo. Uzi mtamu sana huu Soldier. Umeandika nondo tupu hapa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…