Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Hivi swala la watu kupotea na kuuwawa ni classfied!? Tunaongea hivyo labda kwa sababu wale walopatwa na maafa hayo si ndugu zako. Lakini ingekuwa ni wapendwa wako sidhani kama ungeliona classfied.
Na vip kama wale waliokuwa wanauwawa kwa kupigwa risasi kila siku wangekuwa ndugu zako?
 
Hao yamkini ni wale unao waona je unajua kwenye operation zao ni wangapi wanauwawa?
Unajua mpaka wampate huyo gaidi ni wangapi wanakuwa wameshapitiwa.na mkono wa moto?
 

TOFAUTI NI KWAMBA HAKUNA MTU ANAYETAKA KUJUA SIRI ZA SERIKALI ILA WATU WANATAKA HAKI ITENDEKE. KWA MFANO, KAMA SERIKALI INAMTUHUMU BEN SAANANE KWA KUFANYA BIASHARA HARAMU INGESEMA WAZI KWAMBA ANATAFUTWA NA POLISI. NA SIO KITU KIGENI KUSIKIA POLISI WANATOA TANGAZO KWAMBA MTU FULANI ANATAFUTWA.
HIKI NI KISINGIZIO KINACHOTUMIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KUEPUKA LAWAMA KUTOKA KWA WANANCHI. KITU KINGINE NILITAKA KUONGEZEA NI KWAMBA ZITTO ALIKUWA SPECIFIC KWA KUTAJA MAJINA YA WATU WALIOTOWEKA KAMA BEN SAANANE HALAFU MWIGULU NCHEMBA AKAKIMBIA SWALI KWA KULIJIBU KIUJUMLA BILA HATA KUTAJA MOJA YA MAJINA YA WATU WALIOTAJWA. KWA MFANO, ANGEWEZA KUSEMA KWAMBA BEN SAANANE ANATAFUTWA KWA TUHUMA KADHA WA KADHA, HUKU SIO KUTOA SIRI ZA SERIKALI.
KAMA NINGEKUWA NI ZITTO KABWE NINGEMUULIZA WAZIRI SWALI LA NYONGEZA, JE BEN SAANANE ALIKUWA ANATUHUMIWA KWA KOSA LOLOTE? KAMA NILIVYOTAJA HAPO JUU NI KAWAIDA KWA POLISI DUNIANI KOTE KUTOA MATANGAZO YA WATU WANAOTAFUTWA KWA TUHUMA MBALI MBALI. WATU WANATAKA KUJUA KAMA HAO WATU MAARUFU WALIOTOWEKA WALIKUWA NA TUHUMA ZOZOTE.
 
Hao yamkini ni wale unao waona je unajua kwenye operation zao ni wangapi wanauwawa?
Unajua mpaka wampate huyo gaidi ni wangapi wanakuwa wameshapitiwa.na mkono wa moto?
Kwenye posts zingine nimeeleza bayana kwamba wanaua only when necessary!

Ikiwa shaka ya Zitto (na yangu pia) kuhusu MKIRU ipo sawa basi askari wetu huko MKIRU sio kwamba "waliua" when only it's necessary lakini hiyo ilikuwa ndo hukumu kwa wote waliotuhumiwa!

But all in all, endeleeni kutetea uovu kwa sababu nyie sio yaliyowakuta na kv nafsi zenu zimekosa utu but this's not right!

Mahakama zetu zimejaa kesi kibao zenye miezi na miaka kwa sababu tu upelelezi haujakamilika! Kinyume chake, polisi wale wale ambao wana kesi kadhaa mahakamani ambazo hawajakamilisha upelelezi; huko MKIRU iliwachukua only few weeks kupeleleza na kuwabaini magaidi!!

Only fools can believe that! Unless hao watuhumiwa wawe detained pahala for interrogation, or else, kilichofanyika ikiwa ni vile inavyohisiwa basi kinaweza kufanywa na tawala za kidhalimu peke yake!

Guys... I repeat!! Endeleeni kutetea na kushangilia udhalimu kama huu kwa sababu mnadhani hauwahusu!! Hata UKIMWI wakati unaingia watu walikuwa wanawakejeli wenye UKIMWI na kuwaita MALAYA tu hao but today sidhani kama kuna familia ambayo haijasindikiza "MALAYA" kaburini!
 
Ulishawahi kusikia kesi ya ujajusi inasikilizwa mahakamani hapa Tanzania, let alone Africa? Ina maana hakuna majasusi maadui wanaokamatwa hapa Tanzania? Kama wanakamatwa wanapelekwa wapi?
Why unahoji kuhusu majasusi wakati mada inahusu Washukiwa wa ugaidi?!

But all in all, ni majasusi wa aina gani unaowazungumzia wewe? With unofficial cover or with official cover?!

Kama ni with unofficial cover, labda nikukumbushe ni kiasi cha mwaka mmoja au miwili tu iliyopita kuna Watanzania walikamatwa Malawi kwa tuhuma za ujasusi!!

Kila mwenye kufuatilia alifahamu tukio lile hadi siku mahakama inawaachia huru!

Kwa case ya Majasusi with official cover; in most cases huwezi kuwafikisha mahakamani kwa sababu kwa sababu diplomatic immunity!! Utakachofanya ni kuwatimua tu nchini!

But REMEMBER, hapa tunazungumzia watuhumiwa wa ugaidi na sio Majasusi! Au unataka kuniambia hujawahi kusikia watuhumiwa wa ugaidi wakifikishwa mahakamani hapa Afrika?!
 
Kibiti hakukuwa na ugaidi ila matukio ya mauaji ya watu wasio na hatia kwa hisia za kisiasa na waathirika wakubwa wakiwa viongozi wa chama kinachotawala na watumishi wa hiyo serikali inayotawala.
 
Yaani wewe ni hovyo kabisa, unashabikia mauwaji na utekaji kwa kwa ufuasi wako kwa ccm kwa kujifanya eti ww ni security expert?

Wacheni kuteka na kuuwa watu wasio na hatia yoyote kwa mambo ya kijinga kabisa. You can't sale your toxic rubbish to the people with positve brain. Only ccms, and not all will buy such a negative explanation.
 
Tatizo ni kutenganisha usalama wa nchi/ raia na usalama wa watawala au chama tawala. Ndiyo maana nchi ulizotaja (ukiondoa china) zina checks and balance. Vyombo vya usalama havina unlimited power kufanya hayo unayoyasema. Wanawajibika kwa aina fulani chini ya wawakilishi wa wananchi (bunge). Ni kweli kuna classified information hawazitoi kwa kila mtu (hata Rais) lakini wakifanya mabaya (au wakiwa na tuhuma) hulazimika kutoa maelezo kwa Kamati husika. Tena tuhuma kama ya kuteka raia wao haina kinga yoyote. Taratibu za raia (wanayepasa kumlinda) ziko wazi - mkamate mpeleke kwenye vyombo vya sheria.
 
TERROR CAN BE USED TO FIGHT TERRORIST THEMSELVES. Ugaidi ndio dawa ya kuwatia adabu magaidi. Wewe baki na mindset yako ya judicial procedures, acha wanausalama wafanye yao. Tulia ulindwe mkuu
Kwahiyo unasema nitulie nilindwe na Serikali ya Magaidi sio? Nilindwe na serikali inayoua raia wake kwa kisingizio cha ugaidi sio? Serikali ambayo mamia ya kesi imeshindwa kuchunguza for months if not years but within few weeks iliweza kuwafahamu Magaidi wa MKIRU na kuwaua?

Ni wapi wamepata uwezo wa ghafla kiasi hicho?!

Hivi nyie watu are you really reasonable au mnaongea tu kwavile yaliyowakuta sio nyinyi?

Mtaendelea ku-justify udhalimu wa serikali hadi lini?

Baada ya Ben Saanane alipotoweka; watetezi wa udhalimu walisema Ben Saanane "amejiteka mwenyewe!"

Siku Tundu Lissu alipomiminiwa risasi; mwanzoni watetezi wa udhalimu walisema sio kweli... ni kiki tu hizo! Ilipothibitika pasipo na shaka yoyote kwamba madhalimu yalitaka kumuua Tundu Lissu; watetezi wao wakabadilisha single na kudai Tundu Lissu ni msaliti!

Few months later; Mwandishi wa Mwananchi akatoweka and presumably murdered!!

Kama kawaida; watetezi wa udhalimu wakajitosa kutetea udhalimu unaotendeka!

Leo hii bila aibu mnatetea watu kupotezwa huku mkiwa hamuishiwi justifications!!

Hivi unaweza kuingia field and within few weeks ukafahamu ni nani na nani gaidi halisi na nani ameingizwa tu mkumboni?

Kama huo uwezo wanao; wanashindwa nini basi kuutumia katika kuwapata wahalifu wengine?!
 
Infantry soldier ,Una utashi kama wangu,you surpassed tactical points.
Anaelewa atakuwa ameelewa ,naomba uwe unanitagi pia kwenye hizi maada.
Mengine tubishane tu ila kwenye usalama wa Tz Yangu nipo rigid ,
Naipenda Nchi Yangu.
TUNACHOKITAFUTA SASA NI UHURU WA MANYANI!
yaani mtu anadai taarifa nyeti kabisa zinaoweza ku compromise usalama wetu kama taifa zizsemwe kwenye magazeti au bungeni kwa kivuli cha demokrasia??huu ni upuuzi!
Kwanza hata tafsiri ya hili demokrasia ya kizungu nahisi ni tofauti na hii tunayohubiriwa!
mtuni hatari kwa usalama, ''unaiondoa hatari isiwepo'' its that simple!watu 53 milioni hawawez ishi kwa tabu eti sababu kuna kundi la watu 1000 ambao ''wakishughulikiwa'' italeta 'kisiasa'!
 
Sio kila upelelezi ni rahisi kufanyika mara moja. It might takes years. Inawezekana amekimbia nchi ama magaidi wamemteka. Ndio maana IGP anasema mtu yeyote mwenye taarifa zitakazoweza kuisaidia police apeleke
hahahaahha eti mwenye taarifa
 
[emoji1] [emoji1] wasio na hatia.. ila waliokuwa wana uwawa na wasio na hatia walikuwa na hatia.!!
 
Huyo mtu adui anaweza kuwa
hata ni ndugu yangu mimi au
ndugu yako wewe wa karibu
lakini mimi na wewe tusiwajue
ila wataalam wa mambo ya
usalama wa nchi husika
wakawajua mpaka njama zao
 
Huyo mtu adui anaweza kuwa
hata ni ndugu yangu mimi au
ndugu yako wewe wa karibu
lakini mimi na wewe tusiwajue
ila wataalam wa mambo ya
usalama wa nchi husika
wakawajua mpaka njama zao
Wahalifu wengine wote wanashindwa kuwabaini lakini from nowhere, huko MKIRU wakaweza kuwabaini within few weeks if not days!!

Hata Zombe na wenzake walivyopeleka watu Magwepande na kuwamiminia risasi to death na wenyewe si walituambia hivyo hivyo... majambazi!
 
kwamfano wanasiasa waliopigwa risasi/kupotezwa walikua na madhara gani kwa taifampaka watekwe au kushambuliwa?
mtu kusema tutashitakiwa kufuatia uvunjifu wa mikataba hovyo na mwingine kusema ana 'phd feki' ni makosa yanayo hatarisha amani ya taifa?
Hukuambiwa huyo aliyepigwa risasi alikua anaangaika usiku kucha kutafuta nyaraka muhim za serikali ili aendelee kuropoka na kufurahisha mabwana zake?Kuna taarifa ni confidential na public na zote ziko kwa maslai ya umma.Yeye confidential news alikua anazitoa public tena kwa dharau na kejeli kwa maslai ya nani?Huyo mpuuzi ingekua ni China au Urusi angekua kashanyongwa au kutiwa sumu.
 
Ukiacha reference za jf,unauthibitisho upi kuwa kuhoji PhD ndiko kulikomfanya Ben apotee?
 
mkaamua kumtandika risasi duh
 
Asante, kumbe JF bado ina watu makini! Maana sasa hivi imevamiwa na waimba taarabu na mateka wa wanasiasa uchwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…