Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

KAMA kuna cha kuiga kuzuia tusibague. Isije kuteka ,kutesa n.a. kuua kwa "masilahi ya usalama"n.a. ustawi wa nchi ionekane sahihi n.a. kutolewa mifano hiyo lakini "kuandamana,kukosoa n.a. kupinga" watawala inaonekana ni "uhaini" ilhali kwa hao uliowataja inaruhusiwa. Undumila kuwili n.a. unafiki!

Kupinga utawala? Means you go against authority na unataka muachwe mfanye mtakavyo?

Huo ni uhaini tayari.
 
Wewe lazima utakuwa miongoni mwa wale wanaotakiwa wakauze maandazi
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
 
Mkuu Infantry Soldier, hutokea sana viongozi waovu kujificha ndani ya usalama wa taifa.

Wakiiba watasema ni hela zilizo tumika kwenye mambo ya usalama. Baasi, wamemaliza

Kuna mambo umeandika ni sawa lakin kuna wadau wameweka hapo juu ni sawa pia.
Besaa8 alikomaa juu ya PhD ya magu. Akatoweka. Kama alitoweshwa na usalama ni kwanin? Kutisha wengine kama Ben? Kumlinda mkuu dhidi ya aibu ya kukopi kazi za wengine? Kumpunguzia mkuu na presha ya kufuatilia Ben leo kasema nin, na badala yake ajikite kuendesha nchi?

Maneno ya Ben yalikuwa ya ndani sana ukiwa na akili Huru usingeweza kuya dharau. Na hakukuwa na hoja zozote imara au za kujitosheleza kuzikabili hoja za Ben. Na wabongo tunajuana. Uwezo wetu wengi tunajuana. Na kwa mwanasiasa kama Magu kufanya kazi ile ilikuwa issue. Hapa mim nahitimisha kuwa kwa kinachoitwa usalama wa nchi huenda kweli jamaa alipotwezwA ili 'kumsaidia mkuu '. Na je, kumsaidia mkuu ni kusaidia nchi? Unaweza kusema ndio

Kuna maufisadi mengi ambayo watu wakifuatilia hupata shida. Shida zinaweza kutoka kwa vyombo vya dola au hata vikundi vya kiovu.

Magufuli husemwa juu kivuko kibovu. Mwandish au mtu mwingine akiamua kufuatilia vyombo vya dola vikimvuruga tutasemaje hapo? Viongozi hutumia vyombo vya dola ki ovyo sana. Hutumia kulinda maovu yao. Halafu baadae husingizia usalama wa nchi

Mapungufu ya viongozi hufichwa kwa nguvu kubwa mno. Na wao kwa kujua hilo hujifanyia hata ya ovyo bila kujali. Laiti vyombo vya dola vingekuwa haviwapi kashikashi wanao hoji huenda viongozi wetu wangekuwa makini kwa wayafanyayo. Lakin sasa wana jivurugia vurugia tu

Mwaka huu wataelekeza mabilioni kuzalisha umeme kwa njia ya gesi. Miaka mitatu baadae wataelekeza matrilioni kuzalisha umeme kwa njia ya maji. Na hapo katikat hakuna maelezo yoyote ya kwa nin umeme wa gesi ni kama hatuendelei nao. Wanajua hakuna wa kuuliza. Atayeanza kuuliza uliza anatoweshwa fasta kama Ben.

Na hii tabia huambukiza hata watendaji wa chini serikalin na kwenye taasisi za umma Kama juu hawatoi maelezo yoyote kwanin wa chin watoe.

Mwisho wa siku ofisi za umma zinaendeshwa kama mali binafsi

Acheni kusingizia usalama wa nchi Kuficha madhaifu yenu
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Umeongea hivyo kwa vile hao 380 wanaodaiwa kupotea sio baba, mama ako na ndugu zako.
Kumbuka kua mnayowafanyia Watanzania ipo siku yatawafika.
Mana saizi mmekamata vyombo vyote vya habari ili uovu wenu usijulikane. Sawa, ila Mungu si dhalimu.
 
Kwenye nchi isiyotofautisha usalama wa taifa na maslahi ya kisiasa ya rais/chama tawala; nchi ambayo teuzi katika vyombo vya dola zinafanywa kisiasa na amri za rais zinatekelezwa bila kuhojiwa, “classified information” hazina tofauti na siri za kimafia.
 
Mtoa huu uzi kwa maandishi yake tu, itoshe kumjua ni mmoja wa waunga mkono wa utekaji na uuwaji wa watu wasiyo na hatia Nchini! Aina ya watu wa hivi, siyo wa kuwafurahia kbsa, Akili zao zimejikita ktk umwagaji damu kwa ghalama yoyote ilimradi ni kuulinda utawala dharimu. Mifano unayoitoa kutoka CHINA ni mwendelezo ule ule wakutuonesha ulivyokatili! China ni Nchi ya kutolea mfano!? Hii Nchi kidemokrasia haiko salama, ugandamizaji na uuwaji kwa wale wanaoikosoa Serikali, ni kipao mbele chao cha kudumu. Swala hapa ni kwamba, Serikali ya CCM, iachane na utawala wa chuma, iache kuua watu hovyo! Siasa za kigaidi zilishapitwa na wakati, wawaachie kazi hiyo Al-shabab, Al-Quida na Boko haram. Ni aibu kubwa kuona Nchi iliyohuru na kihistoria ilikuwa na Rais aliyepinga Dunia nzima mauwaji ya wanadamu kiholela ssa ndiyo inajipanga kuwa Nchi ya umwagaji Damu tena kwa Raia wake wenyewe, hii ni laana kubwa!
 
Infantry soldier ,Una utashi kama wangu,you surpassed tactical points.
Anaelewa atakuwa ameelewa ,naomba uwe unanitagi pia kwenye hizi maada.
Mengine tubishane tu ila kwenye usalama wa Tz Yangu nipo rigid ,
Naipenda Nchi Yangu.
Usalama dhidi ya nani na kwa manufaa ya nani?!
Tz ni ya waTz wote, tukubaliane namna bora ya kuongozana na si kutawalana kikoloni!!. Isije kuwa kwa sababu tu mtu haipendi CCM, basi kawa threat kwa taifa. Hapana
 
Kupinga utawala? Means you go against authority na unataka muachwe mfanye mtakavyo?

Huo ni uhaini tayari.
Kupinga watawala ipo kikatiba. Na ndiyo maana kuna kambi rasmi ya upinzani bungeni !!!. Unaweza ukaipinga serikali na chama tawala, lakini bado ukawa mzalendo wa dhati kwa taifa lako !!
 
Mawazo ya hovyo kabisa haya!

Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo for almost 18 months now; wewe unataka kuaminisha watu kwamba this means nothing but just abduction for the sake of national security!!

Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba that's okay for the sake of national security!!

Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyokuwa posed na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!

Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!

By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!
Ukiandika bila kuchanganya kizungu unapungukiwa nini?
 
KAMA kuna cha kuiga kuzuia tusibague. Isije kuteka ,kutesa n.a. kuua kwa "masilahi ya usalama"n.a. ustawi wa nchi ionekane sahihi n.a. kutolewa mifano hiyo lakini "kuandamana,kukosoa n.a. kupinga" watawala inaonekana ni "uhaini" ilhali kwa hao uliowataja inaruhusiwa. Undumila kuwili n.a. unafiki!
Mi nashangaa baadhi yenu mmemezeshwa maneno hata ukiulizwa leo una maanisha nini huna hata cha kujieleza..embu tuambie hivi nchi haina sheria zilizotungwa na bunge..? Kama unaambiwa usiandamane kwa sababu kuna viashiria vya uvunjifu wa amani kwanini unalazimisha..
Haya embu tuambie unaupinga utawala huu kwa lipi hasa, tueleze sababu makini za kutetea hoja yako..na hasa kwa jinsi utawala huu unavyojitahidi kupambana na mafisadi
 
Kwahiyo kupiga watu risasi na kuwaua bila kuthibitisha kwamba wanahusika ndo amani hiyo?!

Hongera kwa kuwa mfuasi mtiifu ambayo baada ya kushindwa kupambana na rushwa imegeuka kuwa ya kufanya mauaji bila kuthibitisha hatia!

Binafsi ningejisikia aibu kuwa mfuasi kindakikindaki wa serikali "iliyochaguliwa" huku ikitekeleza hukumu zake sawa na wanavyofanya Magaidi hatari duniani!

Hata Beberu Kuu Marekani, huwa anakamata Magaidi hatari kabisa, kuwahoji na kuwapeleka Guantanamo ili mradi tu wajiridhishe ikiwa wanahusika na tuhuma tajwa!

Tena basi wanafanya haya kwa watu ambao majority wala sio raia wake!

Na hata walio raia wake; majority wala sio raia wa asili but still they wanafahamu huwezi kukamata mtu na kummiminia mvua ya risasi simply because taarifa za kiusalama zilimtilia shaka mhusika au mhusika alitajwa!!

Na ndio maana haikushangaza kuona kwamba miongoni mwa waliotajwa hawakuwa na hatia na hivyo kuachiliwa huru!

Kinyume chake leo tuna serikali ambayo mtu kutajwa tu inatosha kupewa hukumu ya kifo bila hata ya kufanya intensive investigation!!

Mungu awalaani wote wanaotetea ushenzi na udhalimu kama huu kwa sababu yoyote ile!

Wananchi wanalipa kodi ili majeshi yetu yaweze kulipwa mishahara ili hatimae watumie weledi wao kuhakikisha haki inatendeka!

Unapokuwa na majeshi yanayofanya kazi kwa staili ile ile inayofanywa na Magaidi then hapawezi kuwa na tofauti kati ya Magaidi na askari wanaolipwa ili kulinda Wananchi!!

Kwa hakika nchi inahitaji maombi!
Gaidi au mhalifu haitaji kubembelezwa...walipouawa viongozi wa chama na Serikali sikuwaona hapa mkilaani sanasana mlisema acha wakomeshwe ....Jeshi limeenda kuwakomesha wahusika na sasa pako shwari ndio mnaanza kutuletea porojo za haki za binadamu.
Dawa ya terror ni more TERROR ....ndio maana Kibiti,Arusha,Amboni na kwingineko pametulia.
 
Kwahiyo kupiga watu risasi na kuwaua bila kuthibitisha kwamba wanahusika ndo amani hiyo?!

Hongera kwa kuwa mfuasi mtiifu ambayo baada ya kushindwa kupambana na rushwa imegeuka kuwa ya kufanya mauaji bila kuthibitisha hatia!

Binafsi ningejisikia aibu kuwa mfuasi kindakikindaki wa serikali "iliyochaguliwa" huku ikitekeleza hukumu zake sawa na wanavyofanya Magaidi hatari duniani!

Hata Beberu Kuu Marekani, huwa anakamata Magaidi hatari kabisa, kuwahoji na kuwapeleka Guantanamo ili mradi tu wajiridhishe ikiwa wanahusika na tuhuma tajwa!

Tena basi wanafanya haya kwa watu ambao majority wala sio raia wake!

Na hata walio raia wake; majority wala sio raia wa asili but still they wanafahamu huwezi kukamata mtu na kummiminia mvua ya risasi simply because taarifa za kiusalama zilimtilia shaka mhusika au mhusika alitajwa!!

Na ndio maana haikushangaza kuona kwamba miongoni mwa waliotajwa hawakuwa na hatia na hivyo kuachiliwa huru!

Kinyume chake leo tuna serikali ambayo mtu kutajwa tu inatosha kupewa hukumu ya kifo bila hata ya kufanya intensive investigation!!

Mungu awalaani wote wanaotetea ushenzi na udhalimu kama huu kwa sababu yoyote ile!

Wananchi wanalipa kodi ili majeshi yetu yaweze kulipwa mishahara ili hatimae watumie weledi wao kuhakikisha haki inatendeka!

Unapokuwa na majeshi yanayofanya kazi kwa staili ile ile inayofanywa na Magaidi then hapawezi kuwa na tofauti kati ya Magaidi na askari wanaolipwa ili kulinda Wananchi!!

Kwa hakika nchi inahitaji maombi!
Gaidi au mhalifu haitaji kubembelezwa...walipouawa viongozi wa chama na Serikali sikuwaona hapa mkilaani sanasana mlisema acha wakomeshwe ....Jeshi limeenda kuwakomesha wahusika na sasa pako shwari ndio mnaanza kutuletea porojo za haki za binadamu.
Dawa ya terror ni more TERROR ....ndio maana Kibiti,Arusha,Amboni na kwingineko pametulia.
 
Kwahiyo kupiga watu risasi na kuwaua bila kuthibitisha kwamba wanahusika ndo amani hiyo?!

Hongera kwa kuwa mfuasi mtiifu ambayo baada ya kushindwa kupambana na rushwa imegeuka kuwa ya kufanya mauaji bila kuthibitisha hatia!

Binafsi ningejisikia aibu kuwa mfuasi kindakikindaki wa serikali "iliyochaguliwa" huku ikitekeleza hukumu zake sawa na wanavyofanya Magaidi hatari duniani!

Hata Beberu Kuu Marekani, huwa anakamata Magaidi hatari kabisa, kuwahoji na kuwapeleka Guantanamo ili mradi tu wajiridhishe ikiwa wanahusika na tuhuma tajwa!

Tena basi wanafanya haya kwa watu ambao majority wala sio raia wake!

Na hata walio raia wake; majority wala sio raia wa asili but still they wanafahamu huwezi kukamata mtu na kummiminia mvua ya risasi simply because taarifa za kiusalama zilimtilia shaka mhusika au mhusika alitajwa!!

Na ndio maana haikushangaza kuona kwamba miongoni mwa waliotajwa hawakuwa na hatia na hivyo kuachiliwa huru!

Kinyume chake leo tuna serikali ambayo mtu kutajwa tu inatosha kupewa hukumu ya kifo bila hata ya kufanya intensive investigation!!

Mungu awalaani wote wanaotetea ushenzi na udhalimu kama huu kwa sababu yoyote ile!

Wananchi wanalipa kodi ili majeshi yetu yaweze kulipwa mishahara ili hatimae watumie weledi wao kuhakikisha haki inatendeka!

Unapokuwa na majeshi yanayofanya kazi kwa staili ile ile inayofanywa na Magaidi then hapawezi kuwa na tofauti kati ya Magaidi na askari wanaolipwa ili kulinda Wananchi!!

Kwa hakika nchi inahitaji maombi!
Gaidi au mhalifu haitaji kubembelezwa...walipouawa viongozi wa chama na Serikali sikuwaona hapa mkilaani sanasana mlisema acha wakomeshwe ....Jeshi limeenda kuwakomesha wahusika na sasa pako shwari ndio mnaanza kutuletea porojo za haki za binadamu.
Dawa ya terror ni more TERROR ....ndio maana Kibiti,Arusha,Amboni na kwingineko pametulia.
 
Huyu mjinga aliyeandika siku moja mke wake atekwe na apigwe mande mbele yake ndiyo atajua uchungu wa mwana aijuae mzazi
Kwani wale watekaji wa Kibiti walikuwa wanafanyaje?
 
Usinipangie... kwa maana sina mkataba na wewe wala na yeyote wa kusoma ninachoandika!

Jadili mada iliyopo mezani
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Siku hizi umekua na akili za kipuuzi sana!! Huna hoja, huna mada zenye akili tena!! Umebaki kutetea upumbafu... Kwa kifupi umekua bure kabisa!!

Kwa mamlaka niliyonayo nimeamua kukupuuza.
 
Back
Top Bottom