Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

You don't believe that, do you?!

If you do, unaweza kutengeneza theory ya kwanini inawezekana awe amekimbia nchi au awe ametekwa na magaidi?!

Btw, huyo IGP alikuwa anaitaka taarifa ipi asiyoifahamu?! Ben Saanane wanahitaji watu wawape taarifa; what about Tundu aliyenusurika kuuawa ndani ya government compound inayolindwa na serikali wenyewe?!

Hapa napo wanahitaji mtu awapelekee taarifa wakati security system is within their control?!

Tell you what; nyie endeleeni tu kutetea udhalimu unaofanyika kwa sababu tu waathirika wa huo udhalimu sio nyinyi! But trust me, popote penye udhalimu; no one is safe!

Leo mtu anaweza kuwa kwenye system na akadhani yanayotokea hayawezi kumkuta lakini uzoefu unaonesha kwamba; udhalimu una silika ya kisasi!

Kama si kisasi hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa akina Sadam Hussein basi itakuwa kisasi cha jahanam kwa wale wanaoamini!

mtu adui anaweza kuwa hata ni
ndugu yangu mimi au ndugu yako
wewe wa karibu lakini mimi na wewe
tusiwajue ila wataalam wa mambo ya
usalama wa nchi husika wakawajua
mpaka njama zao.
 
Mkuu chige, umeandika mengi lakini usitegemee hao maharamia wenye kuwa na lengo la kuua au kukata vichwa vya watu wakakamatwa na kuhojiwa kwa upendo kama vile maharusi wanavyoingia ukumbini.

Haramia ni mshenzi tu, hivyo kushughulika nae sio vibaya zikatumika mbinu za kishenzi. Maharamia walikata vichwa vya wanafunzi wa kule Gharissa, wasichana wamesaafiri kwenda mji mwingine kwa nia ya kutafuta elimu wanachinjwa kinyama kabisa!!.

Halafu hao mapunguani wanaowachinja wanafunzi eti wakamatwe kistaarabu, No way my friend.
Wow!!! Yaani Jeshi la Polisi lile lile ambalo kuna matukio kadhaa kwa miaka sasa wameshindwa kuwafahamu Wahusika!

Leo hii, Jeshi la Polisi lile lile limeweza kuwafahamu Wahusika huko MKIRU just within few weeks na kuwapoteza!!

Even high school kid can never believe that!!

Hamkawagi kusema "sio kwa serikali hii" as if hiyo serikali ya JPM ipo very special!! Lakini wakati mnafikiria kusema "sio kwa serikali hii" bado nitaendelea kuwakumbusha Tundu Lissu alitaka kuuawa within government quarter inayolindwa na hadi leo tunaambiwa Wahusika hawajulikani!

Au wameamua tu kuficha?!

Sasa hili jeshi ambalo majority ya matukio wameshindwa kuwapata Wahusika; uwezo wa ghafla huko MKIRU waliutoa wapi kama si tu walikuwa wanaua watu just kwa kuambiwa kwamba fulani na fulani anahusika!

But look again!! Wale Maharamia walikuwa armed!! Pamoja na yote hayo hatukusikia askari yeyote kukatika angalau kidole as if walienda kupambana na mgambo wenye virungu!!

Wale jamaa wanafanya mashambulizi ya kuvizia! Ktk mazingira kama hayo, there's no way anaweza kukosekana majeruhi!

Hii maana yake nini? Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba REAL KILLERS walishakimbia kitambo na Polisi wakaishia kuwapoteza ndugu tu simply because walishindwa kutaja walipo Wahusika!!

Kwavile walishatoroka, it's obvious mauaji yatasimama jambo ambalo akina nyie mnataka kudanganya watu kwamba Wauaji wametokomezwa kumbe it's possibly waliotokomezwa sio Wauaji Halisi huku Wauaji halisi wakiwa wame-keep low profile !
 
mtu adui anaweza kuwa hata ni
ndugu yangu mimi au ndugu yako
wewe wa karibu lakini mimi na wewe
tusiwajue ila wataalam wa mambo ya
usalama wa nchi husika wakawajua
mpaka njama zao.
Wataalamu gani unaowazungumzia wewe?!

Hawa hawa ambao licha ya Tundu Lissu kutaka kuuawa kwenye nyumba za serikali zenye ulinzi lakini hadi leo wanatuambia wahusika hawafahamiki!!

Ndio hao Wataalamu wenyewe?!

Kuna matukio mangapi ya uhalifu mkubwa yaliyopata kutokea over the past 3 years na Wahusika tunaambiwa hawafahamiki?!

Hao wataalam walikuwa wapi wakati hayo ya yakitokea?!

Na utaalamu waliotumia MKIRU wameutoa wapi ghafla namna hiyo?!
 
Wow!!! Yaani Jeshi la Polisi lile lile ambalo kuna matukio kadhaa kwa miaka sasa wameshindwa kuwafahamu Wahusika!

Leo hii, Jeshi la Polisi lile lile limeweza kuwafahamu Wahusika huko MKIRU just within few weeks na kuwapoteza!!

Even high school kid can never believe that!!

Hamkawagi kusema "sio kwa serikali hii" as if hiyo serikali ya JPM ipo very special!! Lakini wakati mnafikiria kusema "sio kwa serikali hii" bado nitaendelea kuwakumbusha Tundu Lissu alitaka kuuawa within government quarter inayolindwa na hadi leo tunaambiwa Wahusika hawajulikani!

Au wameamua tu kuficha?!

Sasa hili jeshi ambalo majority ya matukio wameshindwa kuwapata Wahusika; uwezo wa ghafla huko MKIRU waliutoa wapi kama si tu walikuwa wanaua watu just kwa kuambiwa kwamba fulani na fulani anahusika!

But look again!! Wale Maharamia walikuwa armed!! Pamoja na yote hayo hatukusikia askari yeyote kukatika angalau kidole as if walienda kupambana na mgambo wenye virungu!!

Wale jamaa wanafanya mashambulizi ya kuvizia! Ktk mazingira kama hayo, there's no way anaweza kukosekana majeruhi!

Hii maana yake nini? Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba REAL KILLERS walishakimbia kitambo na Polisi wakaishia kuwapoteza ndugu tu simply because walishindwa kutaja walipo Wahusika!!

Kwavile walishatoroka, it's obvious mauaji yatasimama jambo ambalo akina nyie mnataka kudanganya watu kwamba Wauaji wametokomezwa kumbe it's possibly waliotokomezwa sio Wauaji Halisi huku Wauaji halisi wakiwa wame-keep low profile !
Mkuu umeandika mengi tu, lakini kwa kukumbusha ni kwamba operations dhidi ya maharamia huwa habari zake hazitangazwi wazi wazi kama vile maombi ya kazi. Sio kila kitu ni lazima mlipa kodi akifahamu japo ni yeye ambaye fedha ndio inawezesha mengi kufanyika.

Tundu Lissu na habari zake pia sio kigezo cha lawama kwa jeshi la polisi. Huyu ni mtu ambaye alilazwa ndani mara kadhaa kabla ya lile shambulizi. Unataka kuniambia alipokuwa ndani asingeweza kufanyiwa unyama?.

Dereva wake mpaka kesho hayupo nchini na wanasema bado anatibiwa ile hali ya wasiwasi inayotokana na lile tukio, wasiwasi unamsumbua mtu kwa miezi karibu nane!!!.

Mambo mengine sio ya kuwekwa hadharani, yanabakia katika usiri ili lengo la kuyafanikisha liweze kutimizwa.
 
Ninatamani waone nakala ya hiyo gazeti lakini sababu ni wanafiki watajifanya vipofu.
Hilo gazeti lina-prove nini?!

Btw, gazeti ambalo mara kwa mara limekuwa likishutumiwa na serikali kwamba linaandika habari za uongo kiasi cha kulifungia mara kwa mara; how come leo hii mnafanyia sherehe habari toka kwenye same newspaper?!

Ukitafakari hayo, hutachelewa kupata jibu kwamba wanafiki ndio nyinyi sasa!!
 
Mkuu umeandika mengi tu, lakini kwa kukumbusha ni kwamba operations dhidi ya maharamia huwa habari zake hazitangazwi wazi wazi kama vile maombi ya kazi. Sio kila kitu ni lazima mlipa kodi akifahamu japo ni yeye ambaye fedha ndio inawezesha mengi kufanyika.

Tundu Lissu na habari zake pia sio kigezo cha lawama kwa jeshi la polisi. Huyu ni mtu ambaye alilazwa ndani mara kadhaa kabla ya lile shambulizi. Unataka kuniambia alipokuwa ndani asingeweza kufanyiwa unyama?.

Dereva wake mpaka kesho hayupo nchini na wanasema bado anatibiwa ile hali ya wasiwasi inayotokana na lile tukio, wasiwasi unamsumbua mtu kwa miezi karibu nane!!!.

Mambo mengine sio ya kuwekwa hadharani, yanabakia katika usiri ili lengo la kuyafanikisha liweze kutimizwa.
Hivi ni mmeanza lini kutotangaza? How come mnajigamba kwamba vita dhidi ya maharamia hazitangazwi ilihali wakati wakati wa kwenda lazima mpige kelele?


Kamanda Sirro huyo... baada ya kuukwaa u-IGP, akafunga msafara hadi Mkuranga kutoa ujumbe kwamba "TUNAKUJA!"

Kuna hii hapa tena:
Screenshot_2018-05-08-00-43-32.png


Ukiangalia hiyo tarehe, Kamanda Sirro alikuwa ameshateuliwa kuwa IGP!

That said, stop hii porojo kwamba eti hawatangazi!! Kilichopo ni kuficha what exactly happened kwenye hiyo operation! Wanaficha cuz' kuna uwezekano mkubwa sana polisi wameua waliomo na wasiokuwamo na hicho ndicho kinafichwa...!!

Na kwa staili ya wale Maharamia, baada ya kuona full armed police force iliyoenda kupambana nao, it's obvious wengi walitoroka na kwenda mbali kabisa na Pwani!

Kuna kila dalili, wengine waliopotezwa ni ndugu tu wa Watuhumiwa baada ya kushindwa kutaja ndugu zao wapo wapi!!

KEEP THIS POST: I'm very certain wauaji bado wapo and all they did is just to keep their profile low! Kwa maana nyingine; mauaji hayajamalizwa bali yapo tu suspended!!
 
Mimi nawapongeza wanausalama wote kwa kazi nzito lakini iliyoleta matokeo huko Kibiti.
Nawashauri waendelee kutumia nguvu stahiki kukabiliana na wapuuzi wote wanaotaka kuvunja amani.
Nakumbuka kipindi mauaji yalipokuwa yanaendelea tuliwalaumu polisi sasa kuna amani bado tunataka kuwalaumu.
Pamoja sana mkuu
 
Hivi ni mmeanza lini kutotangaza? How come mnajigamba kwamba vita dhidi ya maharamia hazitangazwi ilihali wakati wakati wa kwenda lazima mpige kelele?


Kamanda Sirro huyo... baada ya kuukwaa u-IGP, akafunga msafara hadi Mkuranga kutoa ujumbe kwamba "TUNAKUJA!"

Kuna hii hapa tena:
View attachment 769700

Ukiangalia hiyo tarehe, Kamanda Sirro alikuwa ameshateuliwa kuwa IGP!

That said, stop hii porojo kwamba eti hawatangazi!! Kilichopo ni kuficha what exactly happened kwenye hiyo operation! Wanaficha cuz' kuna uwezekano mkubwa sana polisi wameua waliomo na wasiokuwamo na hicho ndicho kinafichwa...!!

Na kwa staili ya wale Maharamia, baada ya kuona full armed police force iliyoenda kupambana nao, it's obvious wengi walitoroka na kwenda mbali kabisa na Pwani!
Mkuu mengi yanaendelea chini kwa chini na hayawezi kujulikana kwako na kwangu, yakishajulikana tu maana yake ni kushindwa kwa inteligensia nzima ya kiusalama.
Kuna kila dalili, wengine waliopotezwa ni ndugu tu wa Watuhumiwa baada ya kushindwa kutaja ndugu zao wapo wapi!!

KEEP THIS POST: I'm very certain wauaji bado wapo and all they did is just to keep their profile low! Kwa maana nyingine; mauaji hayajamalizwa bali yapo tu suspended!!
 
Hivi ni mmeanza lini kutotangaza? How come mnajigamba kwamba vita dhidi ya maharamia hazitangazwi ilihali wakati wakati wa kwenda lazima mpige kelele?


Kamanda Sirro huyo... baada ya kuukwaa u-IGP, akafunga msafara hadi Mkuranga kutoa ujumbe kwamba "TUNAKUJA!"

Kuna hii hapa tena:
View attachment 769700

Ukiangalia hiyo tarehe, Kamanda Sirro alikuwa ameshateuliwa kuwa IGP!

That said, stop hii porojo kwamba eti hawatangazi!! Kilichopo ni kuficha what exactly happened kwenye hiyo operation! Wanaficha cuz' kuna uwezekano mkubwa sana polisi wameua waliomo na wasiokuwamo na hicho ndicho kinafichwa...!!

Na kwa staili ya wale Maharamia, baada ya kuona full armed police force iliyoenda kupambana nao, it's obvious wengi walitoroka na kwenda mbali kabisa na Pwani!

Kuna kila dalili, wengine waliopotezwa ni ndugu tu wa Watuhumiwa baada ya kushindwa kutaja ndugu zao wapo wapi!!

KEEP THIS POST: I'm very certain wauaji bado wapo and all they did is just to keep their profile low! Kwa maana nyingine; mauaji hayajamalizwa bali yapo tu suspended!!

Mkuu mengi huendelea chini kwa chini, huwa hayatangazwi. Hakua inteligensia ambayo ipo tayari kuanika yanayofanyika kwa undani. Tatizo letu watanzania ni msisimko kuwa mkubwa kwenye kila jambo.

Hakuna tena nafasi ya mambo ya kiusalama kujulikana kwa kila mtu. Uliyoyafahamu kwa ufupi ni sehemu ndogo tu ya mengi ambayo hatutakiwi kuyafahamu, mwisho wetu ni kufanya speculations tu.
 
Wenye Akili wamekuelewa
Usalama wa nchi ninshu ngumu na usiyotakiwa kuwekwa siasa

Hongera sana ndugu
 
Mawazo ya hovyo kabisa haya!

Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo kwa takribani miezi 18 sasa; wewe unataka kuaminisha watu kwamba mambo kama hayo yanatokea kwa ajili ya usalama wa taifa?!

Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba, hayo hayapaswi kuhojiwa kwa ajili ya usalama wa taifa!!

Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyosabishwa na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!

Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!

By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!

Unaweza kutueleza hapa hao wahatarishaji wakubwa wa usalama wa Tanzania wamezuiwa gereza lipi kwa miezi yote hii?!

Btw, hivi unafahamu tofauti kati ya kulinda taarifa za siri za kiusalama (classified info) na kuficha maovu yaliyofanywa na watu walio kwenye system?

All in all, yote yana mwisho haya na endeleeni kutetea udhalimu kwavile hayajawakuta!

Na uzuri ni kwamba, majority ya watetezi wa udhalimu unaoendelea wala hampo kwenye inner circle, na kwa maana nyingine; hata nyie hampo salama!!

Ikiwa hata Nape ameshawahi kutolewa bastola hadharani; seuze nyie ambao wengine hata kula yenu ni shida!!

Wengine mkikesha kuangalia filamu na tathimlia za kivita na kijasusi kutoka Hollywood, mnadhani tayari ndo mmeshakuwa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi na kijasusi!
U nailed it bro
 
NONSENSE!!
Nonsense kama hujui kusoma hata picha huwezi kuona? Mabosi wako wanaongea halafu wewe kutoka huko mchafu koge Kazuramimba unaleta ubishi? Hovyo kabisa.
 
Nonsense kama hujui kusoma hata picha huwezi kuona? Mabosi wako wanaongea halafu wewe kutoka huko mchafu koge Kazuramimba unaleta ubishi? Hovyo kabisa.
Stress za kufanywa kimada, mpelekee mshua manake ndie kakufanya nyumba ndogo na sio mimi!!! Pole sana....
 
Kwa vile washajiwekea umwagaji damu ni halali kwao,kwa hiyo kila sababu itatafutwa ili tu kuhalalisha ule umwagaji wao wa damu,hii ni mbinu kongwe ya madikteta wote duniani.
 
Wenye Akili wamekuelewa
Usalama wa nchi ninshu ngumu na usiyotakiwa kuwekwa siasa

Hongera sana ndugu
Mpaka kura wanasaidia wanaiba, ndio wako wengi kwenye chama tawala doing politics.
Wenye Akili wamekuelewa
Usalama wa nchi ninshu ngumu na usiyotakiwa kuwekwa siasa

Hongera sana ndugu
Siasa zipi hizo mkuu, wakati mpaka wanatoa msaada wa kuiba kura kwa ccm, tena wapo ndani ya upinzani kuvuruka vyama vya upinzani.
Mnazani hizo propaganda zenu sitaisaidia nchi, sanasana mnazidi kuizoifisha, na ndio maanna kila siku ni afadhali ya jana
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Umesomeka ulipojipambanua CHINA kama rejea yako pendwa kwa mambo haya.Nchi za magharibi ulizojaribu kugusia kwa mbali mashirika yake ya kipelelezi na kijasusi yanapambana na maadui walio tishio kwa nchi zao dhidi ya ustaarabu wao na sio wakosoaji wa serikali zao.Jipe muda kufuatilia kama wanasiasa na watu wengine maarufu wakosoaji wakuu wa serikali hizo wanapotea au kudhuriwa halafu uje na ushaidi hapa sio hizi porojo zako za kuhalalisha maovu.
 
Mawazo ya hovyo kabisa haya!

Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo kwa takribani miezi 18 sasa; wewe unataka kuaminisha watu kwamba mambo kama hayo yanatokea kwa ajili ya usalama wa taifa?!

Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba, hayo hayapaswi kuhojiwa kwa ajili ya usalama wa taifa!!

Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyosabishwa na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!

Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!

By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!

Unaweza kutueleza hapa hao wahatarishaji wakubwa wa usalama wa Tanzania wamezuiwa gereza lipi kwa miezi yote hii?!

Btw, hivi unafahamu tofauti kati ya kulinda taarifa za siri za kiusalama (classified info) na kuficha maovu yaliyofanywa na watu walio kwenye system?

All in all, yote yana mwisho haya na endeleeni kutetea udhalimu kwavile hayajawakuta!

Na uzuri ni kwamba, majority ya watetezi wa udhalimu unaoendelea wala hampo kwenye inner circle, na kwa maana nyingine; hata nyie hampo salama!!

Ikiwa hata Nape ameshawahi kutolewa bastola hadharani; seuze nyie ambao wengine hata kula yenu ni shida!!

Wengine mkikesha kuangalia filamu na tathimlia za kivita na kijasusi kutoka Hollywood, mnadhani tayari ndo mmeshakuwa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi na kijasusi!
Best comment
 
Jambo lamsingi nikujua Vita dhidi ya Watawala na Watawaliwa katika kupigania Power kwa upande mmoja, na Uhuru kwa Upande mwingine havita isha. Hivyo vitisho vya Usalama wa Nchi ni moja ya Silaha ya Watawala. Aluta Continue.
 
Kiwango kidogo cha uelewa wa watanzania ni tatizo kubwa sana kuyaelewa masuala ya usalama wa nchi. Wao kitu rahisi ni kula, kunywa, kulala na kuanza kutukana. Mengine usiwaulize utapoteza mda wako bure.

Wanadhani kuna madhara yatakuja kwa serikali na yasiwafikie wao kokote walipo na ndugu zao. Hawajuhi kuna watu wanahangaika kuwalinda wao na familia zao wakiwa wamelala fofofo kama mizoga wengine wanategua mipango ya siri waliyoivujisha wao wenyewe. Ni sawa na kulikata tawi ulilolikalia ukifikili wewe utakuwa salama

Hiyo Kazi ni Sehemu ya Majukumu yao na ni Wajibu wao kuwajibika sawasawa kabisa na Kazi waliyo ichagua kama vile kwa Madaktari/Walimu/ na kada nyingine ,wanapo kosea na kwenda kinyume na Kazi yao ni lazima tuwahoji haswa na kama tunge kuwa na Mfumo mzuri na Kitanzi wange kula kama wakipatikana na Hatia ya Mauaji.

Mnao waua ni Binadamu wenye Hisia /wenye kuumia/ ,Majeshi yanalipwa kwa Kodi zetu sisi Wananchi.Usiwape Nafasi ya Uungu wakati kama tuki waamulia tuna malizana nao tu Mtaani tunapo Ishi nao.Hata kama una nufaika na Mfumo jaribu kuwaza kwa kukaa katikati.
 
Back
Top Bottom