Wabunge walifanyiwa Presentation wakasema safi. Rais Samia sasa kaingia line

Wabunge walifanyiwa Presentation wakasema safi. Rais Samia sasa kaingia line

Sure kabisa mkataba uwe wazi tuusome na kuulewa

Hao akina Samia na kikwete Leo wapo kesho hawapo

Tutabaki sisi vijana na vizazi will pay the price.

Tuone huo mkataba kwanza tuuchambua Kisha tukubaliane
Uzoefu unaonyesha wazi hakuna mwenye hati miliki ya Tanzania. Kama mkataba hauko na maslahi na nchi, tunaomba Mwenyezi Mungu afagilie mbali.
Tumechoka na kashfa za aina ya IPTL...
 
Mimi binafsi sijawahi kuuona huo mkataba. Haina maana JPM akiukataa ndio final. Ila as a precaution, lazima tujue nini kilichomo. Kuukata ni suala moja...na kilichomo ni kitu kingine kabisa.
We should not try sale our souls to the devils. Hawana huruma. Watatutesa sana
Ukweli ni kwamba hakuna mkataba. Kilichokuwa kinafanyika ni mazungumzo, ili yakikamilika ndo kuwe na mkataba. Wachina wakagomea vipengele fulani. Sasa naona enzi za upigaji zimerudi na wapiga debe. wao sasa wanavumisha tu mradi wa Bagamoyo na hakuna anayezungumzia mradi uje kwa makubaliano yapi.
 
Back
Top Bottom